Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,855
- 33,251
Wakulyamba alisema askari huyo alipatwa na umauti juzi majira ya saa 12 jioni na kwamba sababu za kitaalamu za kifo hicho ni kuugua ghafla.
Is that all!!!? hakuna masikitiko wala neno juu ya dereva wake kama alikuwa mchapakazi, mwadilifu nk!!?
Ni watu gani hupaswa kusemewa maneno hayo kama siyo watendaji wa kada ya chini, au mchango wa madereva hauthaminiwi?