TANESCO yaamriwa kuzima umeme

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
21,372
Reaction score
37,909
Nimefinywa sikio warasimu ndani ya serekali ya Kikwete wameliamuru shirika la umeme TANESCO kuzima mitambo yake ya kuzalisha umeme sehemu kubwa ya nchi hasa miji mkubwa ili waTanzania wengi wasipate fursa hadimu ya kumsikiliza Jaji Warioba.

Hii ni baada ya wanaCCM wahuni wakiongozwa na Mwenyekiti wa wahuni Tanzania Bwana Paul Makonda kushindwa kuzima kiu ya waTanganyika na waZanzibar kutaka kusikia maoni ya msomi Jaji Warioba kushindwa kufikia malengo yaliyokusudiwa.

Nimeongea na wadau mbali toka mikoa mingi ya Tanganyika wamenithibitishia umeme umekatika katika maeneo yao.

Naomba kuwasilisha.

====================

Update:

 
Shetani Ameshahukumiwa,ni Suala La Muda Tu Kufungwa.Mbinu Za Kina Makonda Duni Sana
 
Njia ya Pangani Tanga umeme umekatika wakati Prof Baregu anataka kuanza kuongea
 
Mbona tutakoma nimepita maeneo ya soko kuu Arusha watu kibao wapo na simu zao wanamsikiliza Jaji Warioba mji mzima unazizima na majenereta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…