Tunasikitika kwa hali ya mgao wa umeme na tunasema ipo siku kama mtawala alifanya hila kukomoa maskini,ipo siku kila mtu atavuna alichopanda.
Hata hivyo ninyi TANESCO shinyanga mnawezaje kukata umeme masaa 12 mtaa mmoja na kesho yake mnakata tena wakati mitaa mingine haipati mgao mkali namna hii?
Kwa vile mgao upo, kwa nini msifanye kwa haki kila mmoja apate machungu ya mgao huu?
Hata hivyo ninyi TANESCO shinyanga mnawezaje kukata umeme masaa 12 mtaa mmoja na kesho yake mnakata tena wakati mitaa mingine haipati mgao mkali namna hii?
Kwa vile mgao upo, kwa nini msifanye kwa haki kila mmoja apate machungu ya mgao huu?