Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,371
nakumbuka kauli ya Mh. mbowe alimwambia waziri mkuu bado sijaridhika nahuo mpango wadharura kwasababu kila mara mnasema ivo ivo, pinda akamwambia siusubiri tushidwe ndoutuulize.
sasa swali linakuja wame shidwa tayari namgao ndohuo unaanza soon, PINDA UTAMWAMBIA NINI MBOWE?
Mkuu huko kwenu utaanza? Sisi tunao kwa wastani wa mwezi na nusu hadi miwili sasa