Mgawo wa umeme hautakuja kwisha Tanzania mpaka tuamke na kuwatoa watawala wabovu madarakani. Sababu ni moja tu wao wanafaidika na hii migawo. Katika kipindi ambacho sisi tunalalama wao wanapanga jinsi ya kuingia mkataba mwingine mbovu kwa manufaa yao, then mgawo utaisha kwa muda, utarudi tena halafu wanaingia mkataba mwingine wa ovyo. Tamthilia hii itaendelea wa kuchukua hatua ni sisi wapiga kura, yaani mimi na wewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.