TANESCO: Rationing is back!

TANESCO: Rationing is back!

Kote huko Mboma anazunguka tu kukopa hakuisaidii Tanesco,wamekopa mara ngapi na hakuna ufanisi wowote,Tanesco si walisema wanaongeza bei ya umeme kuanzia January mwaka huu ili kuongezea hela ya uzalishaji sasa huko kukopa ni kwanini,sisi Tanzania umeme uko juu kuliko nchi zote katika EA.Tatizo ni Tanesco kulipia madeni kwa akina Dowans,IPTL,Songas na wengineo,wenyewe ndio wametuingiza kwenye mikataba mibovu,akina Mkapa na Net solution ,hela ya Tanesco ndio hiyo inayoenda kwenye harambee za makanisa,kwenye kampeni za Arumeru na ndio hizo zitamuingiza mtu Ikulu.
Inasikitisha kuwa mpaka sasa wakati tuna gesi asili kibao,tuna makaa ya mawe baado Tanesco wanalia na mvua.Hapo Kenya wenzetu wanachimba visima vya gesi kwa ajili ya kuzalisha umeme na kampuni inayochimba ni ya umma na si wawekezaji wababaishaji,jamani hata Kenya wanatushinda?wao hawana mito wala gesi nyngi kulinganisha na sisi wala hata makaa hawana.pia pale Stiegler vipi.Huu mgawo ulianza enzi za Mwinyi mpaka sasa zaidi ya miaka 25 hakuna ufumbuzi.Tanesco inabidi igawanywe wawo wawe wasambazaji tu,iundwe kampuni ya umma ya kuzalisha umeme hao kazi yao iwe ni kuzalisha umeme tu,nendeni hapo Kenya mkajifunze!! sio kila mko safarini Ulaya wakati hapa jirani kuna shule tosha.NCHI HII INAKERA SANA BASI TU SAWA NA MTU HUWEZI KUWAKANA WAZAZI WAKO NDIO MAANA naona kukereka na UZEMBE huu wa miaka nenda miaka rudi
 
izo pesa wanazogawa arumeru cwangewapatia tanesco wapunguze deni sasa
 
Hawa mnaowataja si watoa suluhisho kwa matatizo, ni wana siasa za ki Tz.Hakuna lenye ukweli wanalolisema
 
Mtera na Nyumba ya Mungu hakuna maji kabisa but Rufiji maji yako bwelele . Stiegler Gorge mnajifanya hamuioni kila siku mnaiweka katika mashelves. Mradi wa umeme wa gesi umefikia wapi? tuliambiwa na JK by December utakuwa umeisha. Tanzania bana vichekesho vitupu.

Umeme wa majenereta ni ufisadi mtupu kama alivyosema Zitto hakuna jengine zaidi ya wizi watanzania wanaibiwa.
 
Nadhani sasa mtaamini kuwa Ngeleja hayupo pale bahati mbaya ila kawekwa na Chief Maker (RA) and company kwa kazi maalum na muda maalum hadi lengo maalum litimie. Sitashangaa kama hata likitokea badiliko la baraza la mawaziri akabagi hapo hapo. Tanzania ni moja ya nchi zenye umeme unaouzwa ghali sana Afrika licha ya kuwa na hydro power na umeme wa gas. Yet Tanesco is operating on loss!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Halafu watu hao hao wanataka kuloby wapate miaka mingine 10 ili watuuze sisi na baba zetu na mama zetu na watoto wetu na wajukuu zetu???
Hatushauriwi kuombea kifo lakini kwa hili inabidi tufunge na kusali ili play makers wote wafe kabla ya 2015 au wawe physically unfit to play their dirty games. May almighty GOD hear us on this!!!!!!

Ameeeen.......!
 
Kwani ule umeme walitupandishia kwa 40% imekuaje tena du jamani?
 
Afadhali ya UKOLONI wa Mjerumani kuliko ukoloni huu wa CCM, hata kutupatia umeme wa uhakika wanashindwa!!! Kila rasilimali ya kuzalishia umeme wa kutosha Mungu katujaalia, tunachokosa ni akili tu za kuconvert hizo rasilimali kuwa umeme. Katika CCM hakuna mwenye BRAIN ya kuleta umeme wa uhakika, tusubiri hadi hiki chama kife 2015 tupate viongozi wengine wenye akili ya kutumia vyema rasilimali zetu ili tupate umeme wa uhakika.
 
Kuna waziri mmoja wa Elimu Uingereza alifukuzwa kazi simply alimuhamisha mtoto wake kutoka shule ya SERIKALI kwenda shule ya BINAFSI. Hiyo tu ilikuwa SCANDAL ya kumuachisha kazi. Kama waziri hana imani na elimu inayotolewa na shule za serikali ambazo anazisimamia, Je atafanya jitihada ya kuboresha hiyo elimu kama mtoto wake anamuhamisha?

Hayo ndiyo ya Mhando kwamba hana uhakika na umeme wa TANESCO ambao yeye ndiye msimamizi wake mkuu. Tena wangeanda mbali kumpiga STOP hata ya kuweka generator kwa pesa yake because hiyo nyumba ni mali ya TANESCO. Kama anataka akaweka generator kwenye nyumba yake.

Lakini hawa POAC wasiishie hapa, waihoji TANESCO kwanini haikusanyi madeni yake kutoka kwa wadai wakubwa sugu kama JWTZ, ZESCO?
 
kwa hali ilivyo sasa kila mwenye akili timamu anajua kwamba wakubwa wa nchi hii wana hisa kwenye makampni ya kuzalisha umeme wa dharura. kila mtu mwenye akili timamu anajua watanzania hatuwezi kutoka hapa tulipo endapo ccm itaendelea kutawala kwa kipindi kingine.
 
Hayo ndo matokeo ya kuwa na viongozi ambao hawaguswi na matatizo ya wananchi wao, tatizo mkuu wa kaya walishamsifia 'handsome' basi kila hata akielezwa tatizo anakenua anafikiri watu wako interested, wananchi piga chini magamba kuanzia Arumeru mpaka 2015.
 
Sijasikia mpango endelevu bado, nilitegemea kusikia mazungumzo ya Uranium hapa. Kama hatujafikiria kuomba msaada tutumie uranium yetu bado naona tutakuwa na dharura kila mwaka.
 
Zitto anaonyesha jinsi gani anakurupuka kutoa maamuzi.
Mhando si yeye alisebabisha hizo pesa sizitoke na wala hana uwezo wa kushinikiza serikali impatie hizo pesa.
Pia kumbuka huyo ni CEO wa TANESCO anazo benefits na heshima yake kama boss wa TANESCO. Angelikuwa kaweka genereta za kubwa za Tanesco kwake sawa, lakini hii kapewa kama part of his perks. Anastahili kabisa kama CEO.

Hii ni embarrasment kwa CEO na kutaka kumdhalilisha kwa manufaa yako binafsi na uzembe wa kufikilia na kuharakisha kutoa maamuzi.
 
Uamuzi wa ZITTO ni sahihi kabisa, kwa kuwa generator lile ni kubwa sana na automatic generator ambalo gharama za kuliendesha zinatoka serikalini.
kama anataka kuwa na generator anunue lake binafsi, nakuuknga mkono KAMANDA ZITTO kwa hilo kwanini wengine tukae giza wengine watumie pesa za serikali kujinunulia mafuta ya magenerator utafikili wana viwanda?
 
Ni
bora, sasa atajua uchungu wananchi wanaoupata... wakati wa JK Nyerere
Wakurugenzi walikuwa hawana Genereta

sema jirani zake watanufaika maana sioni namna ambavyo TANESCO wataweka mgao kwenye eneo analoishi mkurugenzi wao.
 
Back
Top Bottom