Wakuu nna hasira na TANESCO
Jana nilipitia kununua LUKU maala fulani, nilinunua umeme wa 10,000/- lakini ajabu risit ilionesha kuwa nimestahili umeme wa 5,800/- tu ambazo ni kama forty something units hivi. Sikuelewa kabisa nikajaribu kupitia kale ka-riceipt chao ndo lah!! nakutana na Vat 18% EwURA 2%, 1% sijui nini wamekula kama 2,600/- hivi, then another line fixed costs kaa 2000++, line number three imejirudia tena vat blaha blah wakakata kama 500 hivi.
Ndugu zangu hivi hawa TANESCO wako wako vizuri akilini kweli na huyu JK kweli anastahili kura zetu?
Jana nilipitia kununua LUKU maala fulani, nilinunua umeme wa 10,000/- lakini ajabu risit ilionesha kuwa nimestahili umeme wa 5,800/- tu ambazo ni kama forty something units hivi. Sikuelewa kabisa nikajaribu kupitia kale ka-riceipt chao ndo lah!! nakutana na Vat 18% EwURA 2%, 1% sijui nini wamekula kama 2,600/- hivi, then another line fixed costs kaa 2000++, line number three imejirudia tena vat blaha blah wakakata kama 500 hivi.
Ndugu zangu hivi hawa TANESCO wako wako vizuri akilini kweli na huyu JK kweli anastahili kura zetu?