uniq
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 5,089
- 31,086
Mimi ni mteja wa TANESCO kwa muda mrefu. Mwezi huu tarehe 19/8/17 nilinunua umeme na makato yake yakawa hivi. Ambapo nilikatwa TAX tu.
Leo tarehe 29/8/17 nimenunua tena umeme nikaona kuna makato yemeongezeka.Kuna VAT, REA na EWURA. Naomba kupata ufafanuzi juu ya hili.
Leo tarehe 29/8/17 nimenunua tena umeme nikaona kuna makato yemeongezeka.Kuna VAT, REA na EWURA. Naomba kupata ufafanuzi juu ya hili.