Wafanyakazi wa taasisi za Umma sijui Wana shida gani. Yaani wao mpaka wapate mtu wa kuwapelekesha ndio wafenye kazi.
Sasa Leo niko na hawa TANESCO nina kimradi changu huko musoma, niliwaita TANESCO kuniunganishia umeme kuja ilikuwa shida kwelikweli, mwisho wa siku wakaja wakanipa gharama zao 4.9m (million nne laki 9) wakanipa control number nikalipia.
Nikasubiri umeme kufungiwa, ikawa kesho, kesho, kesho. Majibu Yao ni kesho tu. Mwishowe wakawa hawapokei simu. Yaani unapiga simu kutwa nzima hawapokei.
Utafikiri naomba msaada wakati pesa nimeshawalipa, au wanaandaa mazingira ya Rushwa?
Nchi haiendelei kwa watu jama hawa. customer service.
Sasa Leo niko na hawa TANESCO nina kimradi changu huko musoma, niliwaita TANESCO kuniunganishia umeme kuja ilikuwa shida kwelikweli, mwisho wa siku wakaja wakanipa gharama zao 4.9m (million nne laki 9) wakanipa control number nikalipia.
Nikasubiri umeme kufungiwa, ikawa kesho, kesho, kesho. Majibu Yao ni kesho tu. Mwishowe wakawa hawapokei simu. Yaani unapiga simu kutwa nzima hawapokei.
Utafikiri naomba msaada wakati pesa nimeshawalipa, au wanaandaa mazingira ya Rushwa?
Nchi haiendelei kwa watu jama hawa. customer service.