Hivi wanajamvi, haka katabia ka TANESCO kuchezea switch kila ikifika saa mbili na kuendelea mpaka kwenye saa tatu hivi kila siku ni kwa baadhi ya maeneo tu hapa Dar au kila sehemu..? Mara ukatwe ghafla mara uwashwe mara ukatwe mara uwashwe utafikiri ni kamchezo... Au ndio hasira za ESCROW..!!!..?