Tanesco mtatuuwa na umeme

Tanesco mtatuuwa na umeme

wash755

Member
Joined
Feb 9, 2014
Posts
28
Reaction score
15
Jana tulikaribishwa nyumbani kwa rafiki yetu ili tuangalie fainali za kombe la dunia hiki mitaa ya tegeta basi wakati tukiangalia mtanange huo umeme ulikuwa unaongezeka mara unapungua mara tu baada ya mpira kwisha tulisikia bonge la mlio uliotufanya wote tuogope tulipoangalia juu tukakuta taa ya umeme ikiwaka moto hivyo tulifanya juhudi za kuizima na bahati moto tuliudhibiti
 
Daah poleni sana tanesco hawana maana siku hiz na tatizo wanafanyia kazai mazoea na sii kufuata vipimo vinasemaje::
 
Hii ni nyumba iliyotaka kuungua kutokana na umeme mbaya wa tanesco jana usiku mitaa ya tegeta
 

Attachments

  • 1405369671947.jpg
    1405369671947.jpg
    16.8 KB · Views: 75
Back
Top Bottom