Tanesco mlaaniwe

Tanesco mlaaniwe

Hili shirika linafanya vitu makusudi ili kutuibia sisi wananchi na Mama Samia yupo tu na safari zake za uarabuni zisizoisha, haonii tatizo lolote. Kila kukicha wanakuja na visingizio kibao na hawana jipya kwa sasa, wamebaki tu kuwa shirika incompetent lenye kulitia taifa hasara kila mwaka.
Samia is a failed President
 
Hakika,

Leo Jumapili watu wanapumzika nyumbani mnawakatia umeme?!

Ila nyie
 
Ndugu zangu nimetoka kuongea nao wanasema wamechoka kukosekana kwa umeme.

Jumapili badała ya kutengeneza Juisi nzuri unywe umeme hakuna,

Ulale upumzike uwashe AC umeme hakuna,

Uangalie TV upate Habari za ulimwengu umeme hakuna,

Kwa ważalishaji mali kama vile saluni, grilling , n.k umeme hakuna,

Jamani !
 
Back
Top Bottom