Tanesco mlaaniwe

Tanesco mlaaniwe

Haha..kuna jirani yangu aliibiwa tank la maji. Kwa kuwa lilikuwa na maji walikuja na kigodoro wakakiweka chini ya koki wakafungulia maji ili yakiwa yanamwagika mwenye nyumba asisikie. Jirani anaamka asubuhi anakuta godoro bichi na tank wameenda nalo
Ujazo gani maana kama ni kubwa say 3000 litres it will take quite sometime to drain....muda wote mtu hajashituk usingizini? Maana tukilala huwa tunashituka shituka kusikiliza nje kuna nini.....
 
Haha..kuna jirani yangu aliibiwa tank la maji. Kwa kuwa lilikuwa na maji walikuja na kigodoro wakakiweka chini ya koki wakafungulia maji ili yakiwa yanamwagika mwenye nyumba asisikie. Jirani anaamka asubuhi anakuta godoro bichi na tank wameenda nalo
Hao wezi njaa sana
 
Ujazo gani maana kama ni kubwa say 3000 litres it will take quite sometime to drain....muda wote mtu hajashituk usingizini? Maana tukilala huwa tunashituka shituka kusikiliza nje kuna nini.....
Hata ingekuwa lita 5000 huwezi kushtuka, wezi ni watu wa timing sana.

Maandiko hayakosei yanapofananisha kuja kwa siku ya Mungu kama mwizi anavyokuja usiku endeleeni kukaa macho, kesheni mkisali

Hawatabiriki hajulikani atakuja saa ngapi
 
Hata ingekuwa lita 5000 huwezi kushtuka, wezi ni watu wa timing sana.

Maandiko hayakosei yanaposema siku ya Mungu itakuja kama mwizi endeleeni kukaa macho, kesheni mkisali

Hawatabiriki
Ah ah eti atakuja kama mwizi, sema Mkuu yani ukiibiwa watu wanaweza sema wewe ni mzembe maana unaibiwaje kitu kama tank lakini yakikukuta ndio itajua jinsi waizi wanavyo ludisha maendeleo nyuma
 
Ah ah eti atakuja kama mwizi, sema Mkuu yani ukiibiwa watu wanaweza sema wewe ni mzembe maana unaibiwaje kitu kama tank lakini yakikukuta ndio itajua jinsi waizi wanavyo ludisha maendeleo nyuma
Yaani kwa kifupi mtu akiibiwa usimcheke, mpe pole na ujifunze
 
Jana Luku, leo hakuna umeme mpaka sasa hivi. Mlaaniwe milele
Hili shirika linafanya vitu makusudi ili kutuibia sisi wananchi na Mama Samia yupo tu na safari zake za uarabuni zisizoisha, haonii tatizo lolote. Kila kukicha wanakuja na visingizio kibao na hawana jipya kwa sasa, wamebaki tu kuwa shirika incompetent lenye kulitia taifa hasara kila mwaka.
 
Back
Top Bottom