pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 10,162
- 12,587
Na hilo ndio lengo lao kwasababu sio kweli kama hawawezi kutatua hilo tatizo ila wanataka tuingie kwenye mfumo kama hvyo kununua solar na ma generator ili mambo yao yaende.Tukipata unafuu wa kipato, tujitahidi kuweka backup ya umeme wa solar. Huwa unasaidia sana kupunguza hizi stress za TANESCO.