MAKOLE
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 618
- 280
Nimeona tangazo la Tanesco kupitia ofisi yake ya uhusiano ikitoa nafasi kwa wananchi kutoa maoni yao kuwa wanataka tanesco iweje ili kuboresha huduma. Kwa maoni yangu na jinsi ninavyoiamini Jamii Forum ingekuwa ni sehemu muhimu sana kwa Tanesco kupata maoni sahihi na kwa wakati muafaka.
Namshauri afisa uhusiano wa Tanesco asiogope kujaribu kuitumia Jf ili kufanikisha lengo lao.
Nawasilisha!
Namshauri afisa uhusiano wa Tanesco asiogope kujaribu kuitumia Jf ili kufanikisha lengo lao.
Nawasilisha!