Tanesco jaribuni hii!

MAKOLE

JF-Expert Member
Feb 5, 2012
618
280
Nimeona tangazo la Tanesco kupitia ofisi yake ya uhusiano ikitoa nafasi kwa wananchi kutoa maoni yao kuwa wanataka tanesco iweje ili kuboresha huduma. Kwa maoni yangu na jinsi ninavyoiamini Jamii Forum ingekuwa ni sehemu muhimu sana kwa Tanesco kupata maoni sahihi na kwa wakati muafaka.

Namshauri afisa uhusiano wa Tanesco asiogope kujaribu kuitumia Jf ili kufanikisha lengo lao.

Nawasilisha!
 
Nimeona tangazo la Tanesco kupitia ofisi yake ya uhusiano ikitoa nafasi kwa wananchi kutoa maoni yao kuwa wanataka tanesco iweje ili kuboresha huduma. Kwa maoni yangu na jinsi ninavyoiamini Jamii Forum ingekuwa ni sehemu muhimu sana kwa Tanesco kupata maoni sahihi na kwa wakati muafaka.

Namshauri afisa uhusiano wa Tanesco asiogope kujaribu kuitumia Jf ili kufanikisha lengo lao.

Nawasilisha!

wasi thubutu kabisa ! Mitusi hawataweza kuibeba !
 
Nimeona tangazo la Tanesco kupitia ofisi yake ya uhusiano ikitoa nafasi kwa wananchi kutoa maoni yao kuwa wanataka tanesco iweje ili kuboresha huduma. Kwa maoni yangu na jinsi ninavyoiamini Jamii Forum ingekuwa ni sehemu muhimu sana kwa Tanesco kupata maoni sahihi na kwa wakati muafaka.

Namshauri afisa uhusiano wa Tanesco asiogope kujaribu kuitumia Jf ili kufanikisha lengo lao.

Nawasilisha!

huu ni ujinga mwingine wa Tanesco, sipati picha kwa shirika lenye management na board, linarusha jiwe gizani ati wateja ndio wawaeleze shirika liweje bila mwongozo wowote wa maoni!.
 
Si mara zote kuna "mitusi" mbona mara nyingi tu kunakuwa na constructive opinion?

huu ni ujinga mwingine wa Tanesco, sipati picha kwa shirika lenye management na board, linarusha jiwe gizani ati wateja ndio wawaeleze shirika liweje bila mwongozo wowote wa maoni!.

mchillo, na mie napingana na huyo anayedai kwamba Tanesco wataambulia mitusi iwapo wataleta hoja hiyo JF. Katika hizi forums tuna watendaji wa Tanesco wengi tu, ingawa hawajitambulishi rasmi, huwa wanatupatia data za ndani nasi tunawapa ushauri. Naamini katika JF kuna watu wanaofanya kazi katika 'utility company' za aina ya Tanesco kutoka nchi mbali mbali, hivyo wangeweza kutupatia uzoefu wa kuijenga Tanesco mpya toka huko walipo, iwapo Tanesco ingelea rasmi hoja hiyo hapa JF, hata kwa jina bandia. Gama, ni kweli walichofanya Tanesco ni 'uhuni' fulani hivi. Hawajasema wanataka maoni toka section ipi, kati ya tatu walizo nazo i.e. generation, transmission & distribution. Ya mwanzo (generatio)na hii ya mwisho (distribution) ndizo zenye migongano mikubwa ya kimaslahi kwa sababu ndiko ulaji ulipo. Transmission hakuna shida sana.
 
Last edited by a moderator:
mchillo, na mie napingana na huyo anayedai kwamba Tanesco wataambulia mitusi iwapo wataleta hoja hiyo JF. Katika hizi forums tuna watendaji wa Tanesco wengi tu, ingawa hawajitambulishi rasmi, huwa wanatupatia data za ndani nasi tunawapa ushauri. Naamini katika JF kuna watu wanaofanya kazi katika 'utility company' za aina ya Tanesco kutoka nchi mbali mbali, hivyo wangeweza kutupatia uzoefu wa kuijenga Tanesco mpya toka huko walipo, iwapo Tanesco ingelea rasmi hoja hiyo hapa JF, hata kwa jina bandia. Gama, ni kweli walichofanya Tanesco ni 'uhuni' fulani hivi. Hawajasema wanataka maoni toka section ipi, kati ya tatu walizo nazo i.e. generation, transmission & distribution. Ya mwanzo (generatio)na hii ya mwisho (distribution) ndizo zenye migongano mikubwa ya kimaslahi kwa sababu ndiko ulaji ulipo. Transmission hakuna shida sana.

najua ni kwanini wanafanya uhuni huu, mara zote management za tanesco zimekuwa za kimajungu huku kila nayepata nafasi akijihami na kutaka waliomtangulia waonekane wabaya, hakuna anayekuja na hoja zinazolenga kunufaisha shirika, bali kujijenga yeye binafsi na kundi lake.
 
Last edited by a moderator:
@mchillo, na mie napingana na huyo anayedai kwamba Tanesco wataambulia mitusi iwapo wataleta hoja hiyo JF. Katika hizi forums tuna watendaji wa Tanesco wengi tu, ingawa hawajitambulishi rasmi, huwa wanatupatia data za ndani nasi tunawapa ushauri. Naamini katika JF kuna watu wanaofanya kazi katika 'utility company' za aina ya Tanesco kutoka nchi mbali mbali, hivyo wangeweza kutupatia uzoefu wa kuijenga Tanesco mpya toka huko walipo, iwapo Tanesco ingelea rasmi hoja hiyo hapa JF, hata kwa jina bandia. Gama, ni kweli walichofanya Tanesco ni 'uhuni' fulani hivi. Hawajasema wanataka maoni toka section ipi, kati ya tatu walizo nazo i.e. generation, transmission & distribution. Ya mwanzo (generatio)na hii ya mwisho (distribution) ndizo zenye migongano mikubwa ya kimaslahi kwa sababu ndiko ulaji ulipo. Transmission hakuna shida sana.

lile tangazo limekaa kinafiki na kimajungu, yaani wataalamu wote waliojaa humo na ma Masters na PhD, then wapewe ushauri kutoka mtaani ? Hivi m'mechukua muda kidogo kufikiri ?
I cant buy it !:A S-coffee:
 
wasi thubutu kabisa ! Mitusi hawataweza kuibeba !

Ukiwa 'jf' unaweza dhani ni huku tu, la hasha! Hata 'fb' kule kuna hali kama hii na wamefungua page yao kule. Siku moja tembelea page za makampuni ya simu kule uone dhahama wanayoipata ndio utaamini
 
Ukiwa 'jf' unaweza dhani ni huku tu, la hasha! Hata 'fb' kule kuna hali kama hii na wamefungua page yao kule. Siku moja tembelea page za makampuni ya simu kule uone dhahama wanayoipata ndio utaamini

..............yaaani mie ndo niwashauri mbinu gani watumie ili umeme upatikane 24/7 !
Mizaha mingine bora mtu akutukane !
 
..............yaaani mie ndo niwashauri mbinu gani watumie ili umeme upatikane 24/7 !
Mizaha mingine bora mtu akutukane !

Utalipwa mkuu_hakuna ushauri usio na malipo....swali_ni je watalipa wangapi..?...maake wote tutatoa ushauri
 
Back
Top Bottom