Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,745
- 5,446
Shirika la Tanesco siku hizi lina utaratibu wa ajabu kwa mwombaji wa kuunganishiwa umeme. Mteja anajaza fomu na inapokelewa na kisha wanakwambia zamu yako ikifika watakupigia! Hawataji siku wala tarehe na mteja anakaa kusubiri bila kujua hatima yake nini. Huu mfumo unasababisha rushwa ya dhahiri maana haiwezekani mteja kukaa na kusubiri bila kupewa taarifa kuwa ikifika siku kadhaa uje kufuatilia.
Mfumo mbovu wa hovyo unatengeneza mianya ya rushwa maana itabidi umtafute surveyor ili ukadiriwe gharama.
Vv
Mfumo mbovu wa hovyo unatengeneza mianya ya rushwa maana itabidi umtafute surveyor ili ukadiriwe gharama.
Vv