Tandahimba: Familia yaishi na nyuki kwa miaka 18

101 East

JF-Expert Member
Feb 25, 2015
1,040
2,121
Mwandishi wa DW, Salma Mkalibala aliitembelea familia ya Mzee Hamisi Lada, kijiji cha Nanyanga, halmashauri ya wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara, Kusini mwa Tanzania, inayoinaishi na nyuki ndani ya nyumba yao kwa zaidi ya miaka 18.

Ambapo Mzee Hamisi amesema nyuki hao no Askari wake wanaomlinda dhidi ya watu wabaya wanaotaka kuvamia nyumbani kwake.

Kwa saa nyumba take haifungwi milango Wakati wote na hakuna mwizi anayeweza kusogelea kwa kuwa kuna ulinzi mkali kutoka kwa nyuki hao.

Video hapo chini

 
Sioni kama kuna muujiza wala ushirikina hapo.
Nafikiri nyuki walihamia kwenye hiyo nyumba, na mwenye nyumba hakuwasumbua (kwa sababu yeyote ile). Baada ya nyuki wale kuishi pale kwa muda mrefu na wakajikuta wanamzowea mwenye nyumba na familia yake, na mwisho wakajikuta wameishi kwa amani na wakawa marafiki ndani ya nyumba.
 
Sioni kama kuna muujiza wala ushirikina hapo.
Nafikiri nyuki walihamia kwenye hiyo nyumba, na mwenye nyumba hakuwasumbua (kwa sababu yeyote ile). Baada ya nyuki wale kuishi pale kwa muda mrefu na wakajikuta wanamzowea mwenye nyumba na familia yake, na mwisho wakajikuta wameishi kwa amani na wakawa marafiki ndani ya nyumba.
Hao siyo classmate wako mkuu



Ova
 
Back
Top Bottom