TAMWA: Vitendo vya ukeketaji vikemewe hadharani

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
TAMWA inatoa wito kwa viongozi mbalimbali wa serikali kuanzia ngazi ya kata hadi wizara kukemea hadharani vitendo vya ukeketaji kwa watoto wa kike, huku tukiwashirikisha wanaume katika mchakato mzima wa kupinga ukeketaji dhidi ya watoto.

Ukeketaji licha ya kuvunja haki za binadamu pia unaleta madhara ya kimwili ikiwamo vifo na maambukizi ya magonjwa.
 
Back
Top Bottom