mkuu tunda utakula sa sita usiku wakati unatakiwa uamke sa kumi kuwahi foleni. chezea kukaa nje ya mjiKwani taamthilia inafika hadi asubuhi? Ikiisha saa 6 usku si utakula tunda? Mimi sioni kama hilo ni tatizo ebu msiwaharibie starehe wenzenu.
mkuu tunda utakula sa sita usiku wakati unatakiwa uamke sa kumi kuwahi foleni. chezea kukaa nje ya mjiKwani taamthilia inafika hadi asubuhi? Ikiisha saa 6 usku si utakula tunda? Mimi sioni kama hilo ni tatizo ebu msiwaharibie starehe wenzenu.
"juma ukirudi njoo na azam cola ya baridi"
la mujer de mi vida ilikuwa nzuri kwa kweli
Sisi wanaume yetu mpira na sasa hivi mashabiki wa Arsenal wanachekaaaaa huku wale wa Man u wakiendelea kufa kwa presha,
Nirudi kwenye mada unajua wanawake wanapenda tamthilia hasa za kifilipino na Mexico tena hata kama hajui kingereza husikia na kuelewa na ukitaka anune mpaka apasuke weka mpira wakati kuna tamthilia kuepusha haya mtoto wa kiume unajichanga unanunue Tv mbili moja chumbani na sebuleni sasa na mimi wenye chumba kimoja sijui,
Nirudi kwenye mada unajua zile tamthilia wanaigiza sasa hawa wanawake wa kibongo wanataka mapenzi kama yale ya kithamthilia oh! mara baby,sweetie mara honey na outing wakati usawa wenyewe wa kulenga kwa manati, kumbukeni na wao wanaigiza hawafanyi hayo yote mnayoyaona.
hahaaaaaa pozi la juma lol
Endeleza tu mapenzi ya kibandidu...
mwanamke akikuambia anataka afanye we nini ooh tamthilia, njemba zikimfanyia unalia ila tu kamasi hizooooo
ukiitwa baby,honey ni tamthilia?
unataka uitweje?
mkuu tunda utakula sa sita usiku wakati unatakiwa uamke sa kumi kuwahi foleni. chezea kukaa nje ya mji
mbona na nyie mnaenda kuangalia mpira mnarudi saa7 usiku na kero zaid unataka ufunguliwe mlango, uandaliwe maji ya kuoga na ukitoka kuoga ukute chakula mezani. Wakati sie tamthilia tunaangalia ndani na hakuna wa kumsumbua
Labda anapenda aitwe FISI BABU
Kama u anaona kutoka outing ni tamthilia, wanaojua mapenzi wakintoa out mkewe asije kulia lia hunu
mkuu tunda utakula sa sita usiku wakati unatakiwa uamke sa kumi kuwahi foleni. chezea kukaa nje ya mji
Hawa viumbe wa kiume kuna muda hawajielewi....
Mbona mnacomplicate mambo? Tamthilia za startv huwa zinakuwa jumanne, ijumaa, jumamosi na jumapili. Siku za jumatatu,jumatano na alhamisi uko free kula tunda, isitoshe siku za wekend si upo? Muda wowote unaeweza kula kwani kula tunda kunachukua muda gani na ni lazima iwe kila siku? Msitafute visingizio vya kuwaharibia sarehe wake zenu.
ndio, kwani babu wewe hujui kuwa huwa vijana wakirudi mpirani wanafanya nini?Kumbe????