Nikweli hiyo 20,000 ipo atatakiwa kutoa mtu yule tu atakayeitwa kwenye interview na huo ni msimo wa chuo na hautabadilika. Labda niwape mfano mmoja mtu analipia form fulani kwaajili ya kujiunga na chuo au shule anafanya mtihani akifeli hela huwa anarudishiwa? kiukweli huwa harudishiwi na hivyohivyo pia kwenye vyeo vya kisiasa kama uraisi,ubunge n.k utaratibu huu upo.