Leo ndiyo nimeamini kuwa humu JF kuna vilaza na mbumbumbu wakubwa. Hiyo taarifa ya vijana inajieleza na iko wazi kabisa. Oneni aibu na muwashauri wabunge wa Chadema. Soon or later they will go out of sight mirror completely
Hongera kwa kuwafumbua macho vilaza wanojiita wasomi humu JF kwa kutokujadili na kutoa shutuma bila tafakuri za kina juu ya tamko hilo.
MSOMI ni mtu mwenye kuvutiwa na fikra na mwenye mbinu za kizisarifu na kuzitumia vilivyo(fikra hizo) baadhi au zote. Profesa Ali Mazurui.
They will definitely disappear from the sight mirror and surprisingly appear right on your face! Just like right now we all talk about what CHADEMA DID!