Tamko la Vijana 'WASOMI' wa vyuo vikuu Mkoa wa Dodoma Dhidi ya wabunge wa CHADEMA

Leo ndiyo nimeamini kuwa humu JF kuna vilaza na mbumbumbu wakubwa. Hiyo taarifa ya vijana inajieleza na iko wazi kabisa. Oneni aibu na muwashauri wabunge wa Chadema. Soon or later they will go out of sight mirror completely


Hongera kwa kuwafumbua macho vilaza wanojiita wasomi humu JF kwa kutokujadili na kutoa shutuma bila tafakuri za kina juu ya tamko hilo.

MSOMI ni mtu mwenye kuvutiwa na fikra na mwenye mbinu za kizisarifu na kuzitumia vilivyo(fikra hizo) baadhi au zote. Profesa Ali Mazurui.

They will definitely disappear from the sight mirror and surprisingly appear right on your face! Just like right now we all talk about what CHADEMA DID!
 
nyinyi wana chadema jf branch mbona mnakosa ustaarabu wasomi si wametoa mtazamo wao!!!!
wapeni uhuru wa kuongea kama kuna wana chadema udom branch na wao si waseme ya kwao!
mnapenda kulazimisha kila kitu!!!

Wamekosea kujitambulisha wao ni Wasomi Uchwara na ambo ni waumini wa Chama Cha Mafisadi(CCM) kama ulivyo wewe.
Full stop!
Wavitaje vyuo wanavyo viwakilisha na vyama vya wanafunzi vyuoni hapo si blah blah kama hii.
 
Binafsi siamini kama ni mawazo ya 'wasomi' wote wa Dodoma universities. Ingekuwa busara hilo tamko lisainiewe na atleast 500 students maana pale wapo vijana zaidi ya elfu kumi. Hiyo ni moja kati ya propaganda za sisiem ili watu waone kweli ndo msimamo wao. Kazi ipo kweli, kwa umangi meza huu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Na kwa kuwa over 90% ya vyombo vya habari vinamilikiwa na sisiem na vibaraka wao, kesho si ajabu zikawa kwenye front page na vipindi maalumu vya tv. Ee bwana tumaini letu limebakia kwako tu utuokoe na kunguru hawa.
 
Ndg Bwegebwege hiyo imefika mahali pake. Kelele za ndani hata nje wanasikia. Hawa wasomi wasiojua hata kuchambua,bila shaka wamekuelewa. Nadhani si wote ni baadhi tuu.

Giza likizidi, kumekaribia kucha! Kufutwa kwa JKT ndo matunda yake haya yote, REDET, SYNOVATE, nk...
 
Waraka huu umesomwa muda si mrefu mbele ya vyombo vya habari zaidi ya 15 huko Dodoma.

TAMKO LA VIJANA WASOMI WA VYUO VIKUU WA MKOA WA DODOMA, KUHUSU KITENDO CHA BAADHI YA WABUNGE WA CHADEMA KUTOKA NJE YA UKUMBI WA BUNGE.

NDUGU WAANDISHI WA HABARI,
NDUGU WANANCHI,.


Awali ya yote nawashukuru sana kuhitikia wito wetu wa gfafla kuja kujumika pamoja nasi leo hii, akhsanteni sana.

Sisi vijana wasomi wa vyuo vikuu mbalimbali vilivyoko mkoa wa Dodoma kwa pamoja tunapenda kuweka wazi maoni yetu juu ya kitendo kilichofanywa na Wabunge wa CHADEMA jana 18.11.2010 wakati Mhe. Rais alihutubia Bunge.


Kwanza tumeshtushwa na kitendo hicho na kuweka wazi masikitiko yetu kwa kuwa kilichofanyika ni kinyume na matarajio ya wapiga kura waliowachagua waheshimiwa wabunge hao kuwawakilisha ndani ya chombo hicho kikubwa na chenye heshima kubwa ndani na nje ya nchi.


Bunge ni sehemu ya kuwakilisha wananchi kwa hoja chini ya kanuni zilizopo bila kujali itikadi ya chama chochote cha siasa na kazi kubwa ya mbunge ni kuishauri na kuisimamia Serikali kwa niaba ya wananchi waliomchagua au kuwachagua.


Kwa mantiki hiyo basi kama Wabunge hawamtambui Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania maana yake hawana kazi ya kufanya ndani ya Bunge kwani kazi yao kubwa ni kuishauri na kuisimania Serikali sasa kama hawaitambui Serikali hiyo hawana sababu ya kuendelea kuwepo Bungeni.


Pili Baada ya uchaguzi wa Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda, wabunge hao pia walinukuliwa na vyombo vya habari na ushaidi tunao wakiweka wazi kumkubali kiongozi huyo, na kauli mbiu yake ya ‘Bunge moja’ je, kitendo walichofanya inaashiria utekelezaji wa kauli mbiu ya Bunge moja?


Tatu msimamo wa kutomtambua Rais ni wa CHADEMA kama chama na waliotoka nje ya Bunge ni wabunge sasa ni vema wabune hao watambue na kutafakari upya kama kweli wanawawakilisha Bungeni wananchi au cha na kutekeleza misimamo yao bila kujali maslahi ya waliowachagua na kumpa kura nyingi Rais Kikwete?.


Nne Kwa badhi ya wabunge wa CHADEMA kutomtambua Rais wakati akilihutubia bunge ni wazi kuwa hata sheria zitakzopitishwa na Bunge hawatahusika kwa kuwa mwenye mamlaka ya mwisho kukubali sheria iliyotungwa na Bunge itumike ni Rais ambaye wanadai hawamtutambui.


Ni dhahiri kuwa watashindwa kufanya kazi yao ya uwakilishi na usimamizi wa Serikali Bungeni .


Je wanawaonesha watanzania dalili gani kama si kutaka kuleta machafuko nchini na mgawanyiko ndani ya Bunge na kwa Jamii kwa ujumla?.


Wananchi waliowachagua wabunge hao wanapaswa kutafakari upya wawakilishi waliowachagua kama wana uelewa wa kutosha kuhusu bunge, sisi vijana wa vyuo vikuu tunajua na tunatambua kuwa Rais ni Sehemu ya Bunge na Bunge haliwezi kukamilika bila Rais na hii ndio maana kila sheria inayopitishwa na Bunge ni lazima yeye Rais aweke sahihi yake.


Katika mazungumo yake na waandishi wa habari wiki hii Mweneykiti wa CHADEMA MHE. Freeman Mbowe, alinukuliwa na vyombo vya habari akisema wabunge wake na madiwani wanaweza kuendelea kuwakilisha wananchi licha ya kutomtambua Rais.


Sisi tunasema hili si sahihi bali ni upotoshaji mkubwa, kamwe mtoto hawezi kudai kuwa hamtabui Baba yake kisha anaendelea kumwita Baba na kutumia kila kitu kinachotolewa na Baba huyo huyo. Huo ni utovu wa nidhamu au kukosa maadili.


Sisi vijana wa vyuo vikuu Mkoa wa Dodoma tunawaomba Watanzania wote wenye nia njema na Taifa letu kuwapuuza wabunge wa CHADEMA na kutambua kuwa lengo lao ni kutaka kutuhamisha kutoka kwenye ajenda ya msingi ya Maendeleo na kubaki kwenye malumbano ya kisiasa kama tulivyoshuhudia katika nchi jirani.


Kamwe tusikubali kudanganywa na watu wachache.


Mwisho tungependa kuwaomba Wabunge wa CHADEMA wawaombe radhi watanzania kwa kuvuruga tashwira safi ya Bunge letu lisilo na ubaguzi na itikadi za kisiasa vinginevyo wanawadharau watanzania waliowachagua wakidhani kwamba niwaadilifu wa Taifa na si cha chama chao.


Tutambue kuwa kazi kubwa ya CHADEMA na Wabunge wake kwa sasa ni kuwachanganya watanzania ili badala ya kuendelea na shughuli za ujenzi wa taifa wabaki na malumbano ya hapa na pale kwa manufaa yao binafsi.


Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Bunge letu na kutuepusha na ubaguzi kama huu uliofanywa na baadhi ya Wabunge wa CHADEMA.


Aksanteni sana.


IMESOMWA NA THOBIAS MWESIGA RICHARD

KWA NIABA YA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU MKOA WA DODOMA

Hawa ndio ambao CCM huwatumia siku zote. Tulikuwa na watu kama hao Chuo Kikuu miaka ya mwanzoni mwa 90 na bado wataendelea kuwepo. Ni waganga njaa ambao wanataka kupewa kazi pale UVCCM. Uzuri ni kuwa watu wanawafahamu na usaliti wao utaanikwa hadharani na kulaaniwa na Watanzania wenye dhamira hai. Songa mbele Watanzania wenye dhamira hai pingeni uchaguzi hewa.
 
jamani mi nina shaka na hili tamko. Je ni kweli linatoka kwa wasomi wa Dodoma? Kuna yeyote amesikia kutoka kwenye chombo kingine chochote cha uhakika? Isije ikawa tunajadili 'tamko la mtoa mada' kwa kivuli cha wasomi wa Dom.
 
'nyinyi wana chadema jf branch mbona mnakosa ustaarabu wasomi si wametoa mtazamo wao!!!!
wapeni uhuru wa kuongea kama kuna wana chadema udom branch na wao si waseme ya kwao!
mnapenda kulazimisha kila kitu!!!'


Naona na wewe umepotea njia. soma juu uone tena, hawaajindika kama udom sisem branch wameandika kama wawakilishi wa vyuo vikuu vya dodoma. Au unataka kusema wote wanaosoma Dodoma ni sisiem? Kwamba admision ya kule lazima uoneshe kadi ya sisiem na ipitishwe na balozi wa nyumba kumi?
 
Wananchi waliowachagua wabunge hao wanapaswa kutafakari upya wawakilishi waliowachagua kama wana uelewa wa kutosha kuhusu bunge, sisi vijana wa vyuo vikuu tunajua na tunatambua kuwa Rais ni Sehemu ya Bunge na Bunge haliwezi kukamilika bila Rais na hii ndio maana kila sheria inayopitishwa na Bunge ni lazima yeye Rais aweke sahihi yake.

Haya ni Matusi kwa watanzania waliochagua wawakilishi wa CDM. Ni vema hawa wanafunzi wakakawa wanasoma hizi ripoti wanazopewa sio tu wanapewa upupu wanaenda kuusoma kama ulivyo.
 
Waraka huu umesomwa muda si mrefu mbele ya vyombo vya habari zaidi ya 15 huko Dodoma.

TAMKO LA VIJANA WASOMI WA VYUO VIKUU WA MKOA WA DODOMA, KUHUSU KITENDO CHA BAADHI YA WABUNGE WA CHADEMA KUTOKA NJE YA UKUMBI WA BUNGE.

NDUGU WAANDISHI WA HABARI,
NDUGU WANANCHI,.


Awali ya yote nawashukuru sana kuhitikia wito wetu wa gfafla kuja kujumika pamoja nasi leo hii, akhsanteni sana.

Sisi vijana wasomi wa vyuo vikuu mbalimbali vilivyoko mkoa wa Dodoma kwa pamoja tunapenda kuweka wazi maoni yetu juu ya kitendo kilichofanywa na Wabunge wa CHADEMA jana 18.11.2010 wakati Mhe. Rais alihutubia Bunge.


Kwanza tumeshtushwa na kitendo hicho na kuweka wazi masikitiko yetu kwa kuwa kilichofanyika ni kinyume na matarajio ya wapiga kura waliowachagua waheshimiwa wabunge hao kuwawakilisha ndani ya chombo hicho kikubwa na chenye heshima kubwa ndani na nje ya nchi.


Bunge ni sehemu ya kuwakilisha wananchi kwa hoja chini ya kanuni zilizopo bila kujali itikadi ya chama chochote cha siasa na kazi kubwa ya mbunge ni kuishauri na kuisimamia Serikali kwa niaba ya wananchi waliomchagua au kuwachagua.


Kwa mantiki hiyo basi kama Wabunge hawamtambui Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania maana yake hawana kazi ya kufanya ndani ya Bunge kwani kazi yao kubwa ni kuishauri na kuisimania Serikali sasa kama hawaitambui Serikali hiyo hawana sababu ya kuendelea kuwepo Bungeni.


Pili Baada ya uchaguzi wa Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda, wabunge hao pia walinukuliwa na vyombo vya habari na ushaidi tunao wakiweka wazi kumkubali kiongozi huyo, na kauli mbiu yake ya ‘Bunge moja’ je, kitendo walichofanya inaashiria utekelezaji wa kauli mbiu ya Bunge moja?


Tatu msimamo wa kutomtambua Rais ni wa CHADEMA kama chama na waliotoka nje ya Bunge ni wabunge sasa ni vema wabune hao watambue na kutafakari upya kama kweli wanawawakilisha Bungeni wananchi au cha na kutekeleza misimamo yao bila kujali maslahi ya waliowachagua na kumpa kura nyingi Rais Kikwete?.


Nne Kwa badhi ya wabunge wa CHADEMA kutomtambua Rais wakati akilihutubia bunge ni wazi kuwa hata sheria zitakzopitishwa na Bunge hawatahusika kwa kuwa mwenye mamlaka ya mwisho kukubali sheria iliyotungwa na Bunge itumike ni Rais ambaye wanadai hawamtutambui.


Ni dhahiri kuwa watashindwa kufanya kazi yao ya uwakilishi na usimamizi wa Serikali Bungeni .


Je wanawaonesha watanzania dalili gani kama si kutaka kuleta machafuko nchini na mgawanyiko ndani ya Bunge na kwa Jamii kwa ujumla?.


Wananchi waliowachagua wabunge hao wanapaswa kutafakari upya wawakilishi waliowachagua kama wana uelewa wa kutosha kuhusu bunge, sisi vijana wa vyuo vikuu tunajua na tunatambua kuwa Rais ni Sehemu ya Bunge na Bunge haliwezi kukamilika bila Rais na hii ndio maana kila sheria inayopitishwa na Bunge ni lazima yeye Rais aweke sahihi yake.


Katika mazungumo yake na waandishi wa habari wiki hii Mweneykiti wa CHADEMA MHE. Freeman Mbowe, alinukuliwa na vyombo vya habari akisema wabunge wake na madiwani wanaweza kuendelea kuwakilisha wananchi licha ya kutomtambua Rais.


Sisi tunasema hili si sahihi bali ni upotoshaji mkubwa, kamwe mtoto hawezi kudai kuwa hamtabui Baba yake kisha anaendelea kumwita Baba na kutumia kila kitu kinachotolewa na Baba huyo huyo. Huo ni utovu wa nidhamu au kukosa maadili.


Sisi vijana wa vyuo vikuu Mkoa wa Dodoma tunawaomba Watanzania wote wenye nia njema na Taifa letu kuwapuuza wabunge wa CHADEMA na kutambua kuwa lengo lao ni kutaka kutuhamisha kutoka kwenye ajenda ya msingi ya Maendeleo na kubaki kwenye malumbano ya kisiasa kama tulivyoshuhudia katika nchi jirani.


Kamwe tusikubali kudanganywa na watu wachache.


Mwisho tungependa kuwaomba Wabunge wa CHADEMA wawaombe radhi watanzania kwa kuvuruga tashwira safi ya Bunge letu lisilo na ubaguzi na itikadi za kisiasa vinginevyo wanawadharau watanzania waliowachagua wakidhani kwamba niwaadilifu wa Taifa na si cha chama chao.


Tutambue kuwa kazi kubwa ya CHADEMA na Wabunge wake kwa sasa ni kuwachanganya watanzania ili badala ya kuendelea na shughuli za ujenzi wa taifa wabaki na malumbano ya hapa na pale kwa manufaa yao binafsi.


Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Bunge letu na kutuepusha na ubaguzi kama huu uliofanywa na baadhi ya Wabunge wa CHADEMA.


Aksanteni sana.


IMESOMWA NA THOBIAS MWESIGA RICHARD

KWA NIABA YA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU MKOA WA DODOMA

Sishangai maana vijana walikuwa sehemu ya kuzungusha karatasi ya kutafuta wadhamini ya mgombea wa CCM.
 
Wana JF mwenye photo ya huyu Msomi uchwara aliyewakilisha wenzie kusoma upupu atupostie humu.
 
Vijana hawa si wanavyuo wa vyuo vikuu vya Dodoma, bali ni wale wanavyuo ambao hata wakati JK anasaka udhamini walionekana wakichangia fedha karibu 1m kumsaidia ili apate udhamini ktk nchi nzima, na wengine ndio walioshirikiana na Ridhiwani kusaka udhamini nchi nzima. Hivyo kwa vile wao ni wana CCM, kama wanafaidi basi wasitupelekeshe sisi tunaolia na hali ngumu ya maisha.
 
Hawa vijana walioandika ambao nina uhakika hawawakilishi wanafunzi wa vyuo vikuu dodoma inaonekana waliandika huu "waraka" (upupu) wakiwa na hang-over ya bia walizonyweshwa na makada wa CCM. Kuna spelling errors kibao na hakuna mtiririko wa kimantiki. Yaani hata tungewakusanya vijana wa kijiweni au wanafunzi wa kindergaten wangeandika something better. Eti wanajiita "vijana wasomi"!!!! wanadhani kuwa chuo kikuu ni usomi!!! waone!!! bangi zinawasumbua hawa. Yaani utadhani barua imeandikwa na watoto wa darasa la pili wa shule ya ikungulyabhashashi ambao wanasomea chini ya mti
 
Jamani tusidanganyike hao ni UDOM tu kwani si mnakumbuka chuo hicho ni ccm ndio waliotoa majengo yao ili kijengwe? Na pia hao wanafunzi walimchangia jeykey shilingi 1.2M kwa ajili ya kampeni so no doubt ni walewale kasoro tarehe.
 
Simply inatosha kusema "hawa vijana wa Dodoma hawajui walitendalo" ngoja wamalize chuo watajutia maneno yao. Ni vibaraka wa chips mayai na kupiga makofi kusiko staili. Tuwasemehe bure muda si mrefu watakiri makosa yao.
 
Inasikitisha kama kuna Msomi anaungana na Madudu ya CHAMA CHA ZAMANI yani Katiba Iliyooza na Tume ya Uchaguzi kwa manufaa ya Chama Cha Zamani. Kama na huko dodoma kuna wanafunzi tena vyuo Vikuu wenye upeo mdogo kiasi hicho basi kazi ya ziada inahitajika kuikomboa nchi yetu kwasababu watu wanaotegemewa kuwa na Fikra za hali ya juu kuhusiana na wapi tulipotoka na wapi tunapokwenda nao wanaumasikini wa Mawazo (Kufikiri) this is very Sad, tuwaombee kwa Mwenyezi Mungu awape kufikiri kidogo! Jamani mpaka hawa wasomi! au wamepewa fedha Chama cha Zamani! these Guys (wanafunzi wa Vyuo Dom) are very Shallow pooor them!!!!!
 
Cope, DA walk out of Parliament in row over Zuma insult



Feb 16, 2010 5:22 PM | By Brendan Boyle
More than half of the opposition stomped out of Parliament after Deputy Speaker Nomaindia Mfeketo ruled that part of a speech by Cope's Mluleki George constituted an unacceptable insult to President Jacob Zuma.

Current Font Size:
#socialMediaBar {padding:5px;} #socialMediaBar ul {list-style-type:none; margin:0; padding:0; vertical-align: middle;} #socialMediaBar ul li {display: inline;}


Zuma_Parliament_2_485650b.jpg

With Zuma's morals again at centre stage, MPs yelled across the floor and one got so angry that she was heard to mutter "https://jamii.app/JFUserGuide you" in Mfeketo's direction.
The row began yesterday when George said during debate on Zuma's state of the nation address: "It appears that the nation is deliberately led to lawlessness with absolutely no morals and respect for the people."
Having reviewed the text overnight, Mfeketo ruled that his comment, taken in the context of his speech, was directed at Zuma or his ministers. She ordered him to withdraw, which he refused to do.
When she ordered him to leave the chamber, most Democratic Alliance and Cope members followed. The IFP and the Freedom Front said they agreed that the ruling was wrong, but said they would stay.
In the hubbub, the DA's Diane Kohler-Barnard was heard to mutter angrily. She acknowledged to TimesLive that she had sworn. She said she regretted it and would apologise if asked to. "I shouldn't have, but I was angry," she said.
Nosiviwe Mapisa-Nqakula, the minister of correction services, heard her expletive from across the chamber and complained in a point of order: "She actually said 'https://jamii.app/JFUserGuide you'." Her intervention ensured that the issue is now part of the parliamentary record.
While the DA said later that Mfeketo was wrong and would be challenged if she did not withdraw the ruling against George, the ANC said it would ask Parliament to discipline Kohler-Barnard for her bad language.
In a statement the Office of the ANC Chief Whip said: "The decision by COPE, with the support of the Democratic Alliance, to walk out of today's sitting of the National Assembly in protest against the ruling on COPE MP Mluleki George is a deplorable conduct that has got no place within a distinguished institution such as Parliament," the Office of the ANC Chief Whip said in statement.
"It is typical of both COPE and the DA, who have anointed themselves as the paragons of morality and good behaviour, to throw toys out of the pram when they are found wanting on issues of proper conduct," the statement said..
The Chief Whip's office said the decision by the Deputy Speaker of the National Assembly to give George the matching orders was well considered and sound in terms of the rules of Parliament. Parliament cannot be turned into a circus where rowdy Members of Parliament can impugn on the integrity of the President and hurl insults at fellow MPs just because they disagree with them.
"The allegation by Mluleki George that the President of the Republic is leading the nation into lawlessness is outrageous and cannot be taken lightly. When taking office the President and Ministers take an oath or solemn affirmation to obey, observe, uphold and maintain the Constitution and all other laws of the Republic. To suggest that the President or his Cabinet have deliberately acted in violation of this constitutional obligation is a serious charge that should be brought before the House through a substantive motion," the statement said.
The Chief Whip's office said "We are also astounded by the conduct of DA MP Dianne Kohller-Barnard, who hurled an F-word at the ANC MPs and the Deputy Speaker as she left the House during the walk out. There is absolutely no justification for such unruliness and vulgarity - no matter how much you disagree with your political opponents. The Office of the Chief Whip will ask Parliament to consider taking action against this particular MP to ensure that such conduct is not repeated again".
DA chief whip Ian Davidson confirmed that his party walked out this afternoon,"in protest over the Deputy Speaker's complete disregard of section 58 of the Constitution".
He said Section 58 affords Members of the National Assembly a right to freedom of speech in the Assembly, and to remain protected against liability to civil or criminal proceedings for anything said before the Assembly.
"The issue arose when Mluleki George MP (COPE) expressed his opinion that the ANC government is taking South Africa down a road to lawlessness. The Deputy Speaker ruled that George was obliged to withdraw his statement. By allowing this ruling to stand, the Deputy Speaker is substantially detracting from the right of Members of Parliament to express in an uninhibited manner their views in the House, thus detracting from the constitutional privilege that members have to freely express their views. The Deputy Speaker must withdraw her decision; if she does not, we will consider taking this matter on review," said Davidson.
"The statement made by George fell well within the ambit of what is permitted by the Constitution, and the Rules of Parliament. The Deputy Speaker cited a rule - Rule 66 of the National Assembly - that is explicitly not applicable to members of Government. That rule states: "No member shall reflect upon the competence or honour... of the holder of an office (other than a member of Government) whose removal from such office is dependent upon a decision of this House, except upon a substantive motion in this House alleging facts which, if true, would in the opinion of the Speaker prima facie warrant such a decision," he said
He said Rule 66 clearly does not apply to the President, as a member of Government. "The Deputy Speaker also disregarded Rule 72 of the National Assembly Rules, which states: "A member may speak (a) when called upon to do so by the presiding officer; or (b) to a point of order."
"The Deputy Speaker's refusal to take my point of order is in clear breach of section 72(b). In terms of sections 70 and 72, she is obliged to take a point of order, at which point she "shall give her ruling or decision thereon either forthwith or subsequently."
He said the irony of the Deputy Speaker's actions is that they proved precisely the point raised by George. "To head towards a state of lawlessness means to begin to systematically disregard the rules and law that govern the state. The Deputy Speaker did precisely that. The Deputy Speaker should withdraw her ruling, and desist from ignoring Rule 72. Freedom of speech and parliamentary privilege cannot be restricted upon whim".



www.timeslive.co.za/local/article310980.ece/Cope-DA-walk-out-of-Parliament-in-row-over-Zuma-insult
 
NAOMBA USIPOTOSHE UMMA NA UKANUSHE KAULI YAKO KUWA HILO NI TAMKO LA WASOMI MKOA WA DODOMA...we ni kiraka wa CCM usiye na haya mbele ya umma kwani mimi binafsi nipo chuo kikuu cha dodoma na hilo tamko sijalisikia hivyo hilo ni tamko lako binafsi lisilo na msingi wowote mbele ya jukwaa la siasa...hizo zako ni SIASA NYEPESI.
NCHI HII ITAJENGWA NA WATANZANIA JASIRI,WAZALENDO NA WENYE AKILI TIMAMU NA SI VIBARAKA WENYE MASLAHI BINAFSI.
 
Back
Top Bottom