wewe ndio unapenda posho au bado ni kijana wa miaka ya 90 kama sio 1988.Lazima watarudi...chezea posho weye?
Mbunge anasaini kuingia ndani ya bunge asubuhi halafu anaondoka kwenda site kusimamia ujenzi wake. Halafu jioni anarudi kusaini kuchukua posho kuendeleza shughuli za ujenzi for next day! Only in Tanzania.
Mkuu 124 Ali kama umenimisquote vileNyie endeleeni kuchonga na kuwananga wabunge wazalendo wa upinzani kwa kigezo cha uchache wao ambapo kunahalalisha ubabe ,kedi,umajinuni unaokaribia uhabithi na unabaradhuli kwa wabunge wa CCM .Majority ya wananchi tunawaangalia tu na kuwafuatilia kwa jicho la subra tukisubiri wakti muafaka kuwashughulikia ipasavyo kwa namna mujarab kabisa ambapo itatoa funzo kwa hayawani wa baadae!
Malofa na wajinga in waiting!
ww unajua ya wenzako ya kwako yatakushindaMbowe we akaunti yako inasoma digit zaidi ya kumi, ya mdee na wengineo kapuku inasoma digit NNE haha, wadanganye
.....mapambano yanaendelea Songa mbele UKAWAMuda utasema!
Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
Hahhaah alikua anatufundisha Dada mmoja anaitwa Miss Mbaga alikua na aibu balaa maana ile shule ilikua no Boys tupu na Dada alikua fresh from College hahaahahhaa Magamba Secondary hio, tunasoma Jiografia pamoja na "jiografia"Mkuu umenifurahisha sana
Inaonekana somo la geograph ulifaulu sana kwenye topic ya photograph
Bado sijaelewa vyema ni faida gani inapatikana kwa kususia vikao,maana tunaweza kuona ujinga kumbe ipo faida itokanayo na huo ila kama hamna faida sioni umuhimu wa kufAnya hivyoo!
Mimi najua utotoni nilipokuwa nasusa nikikuwa naambulia kuosha sahani tuuHivi hujui faida ya kususia? Faida ni nyingi kwa mfano kwanza inakuwa ajenda ya mazungumzo ili asiye na sauti asikike pia, na nyingine nyingi zaidi
Akili ya Lumumba bwana. Sasa kama hujui nn kinaendelea mbona unarukia mada?? Kanawe uje...Hahahaha inafurahisha sana. Posho watakosa na maana yake watahesabika watoro bungeni. Na kibaya ukiangalia wanachogomea ni upumbavu mtupu! Hivi kuna kitu gani cha maana wanachogomea??? Miongozo ?? au??
You, Tulia, Baba Jess.. ....the list is longWho Cares?
Kususia ni njia moja wapo kati ya zilizopo za kulazimisha haki itendeke,mambo yenye maslahi kwa taifa yakubaliwe pale yanapotoka upinzani,dhuluma na unyanyasaji wa kuzuia taarifa muhimu kwa wapiga kura na WALIPA KODI zikome.Bado sijaelewa vyema ni faida gani inapatikana kwa kususia vikao,maana tunaweza kuona ujinga kumbe ipo faida itokanayo na huo ila kama hamna faida sioni umuhimu wa kufAnya hivyoo!
MTARUDI TU. NJAA SIYO MCHEZO. MNGEKUWA WAZALENDO MNGETOA POSHO ZENU ZITENGENEZE MADAWATITAMKO LA WABUNGE WA UKAWA DHIDI YA UAMUZI WA NAIBU SPIKA KUWAKATA POSHO.
Kuwa mpinzani katika nchi za Afrika kunahitaji moyo sana wa uvumilivu na kujitoa mhanga wakati mwingine!!
Azimio la bunge la kuzuia wabunge wa UKAWA kulipwa posho halitabadili msimamo wetu mana tulifanya hivyo ktk bunge Maalumu la Katiba kwa kuacha malipo ya milioni 30 hivyo basi hili si geni kwetu.
Tutasimama imara mpaka dakika ya mwisho kupinga udhalimu unaofanywa na naibu spika katika kuendesha bunge kidikteta dhidi ya upinzani.
Silinde Ernest David(Mb)
Jimbo la Momba
Msemaji wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni - wizara ya Fedha na Mipango.
08.06.2016
Dodoma, Tanzania.
Asante kwa ufafanuzi tuombe kunachotafutwa kitendewe hakiKususia ni njia moja wapo kati ya zilizopo za kulazimisha haki itendeke,mambo yenye maslahi kwa taifa yakubaliwe pale yanapotoka upinzani,dhuluma na unyanyasaji wa kuzuia taarifa muhimu kwa wapiga kura na WALIPA KODI zikome.
Kama ingekuwa ni baba au mzazi kwa manawe ingekuwa ni kumuadibisha spika,kumkemea na kumkosoa.