"Tamko la Pinda"

Jamani nadhani tujifunze utamaduni wa kujiuzuru, kama kakili kosa basi awe tayari kuachia ngazi, kuna watanzania zaidi ya mil 40. Wapo watakaoweza ilinda katiba yetu. Asamehewe kwa sababu kakubari makosa si sababu ya kuachiwa, huyu Mh Pinda ameisha toa kauli tata nyingi mno tokea aingia madarakani....hapa sasa he shouls swallow the bitter pills....
hivi mtu akikiri kosa lazima ajiuzuru?
 
Jamani nadhani tujifunze utamaduni wa kujiuzuru, kama kakili kosa basi awe tayari kuachia ngazi, kuna watanzania zaidi ya mil 40. Wapo watakaoweza ilinda katiba yetu. Asamehewe kwa sababu kakubari makosa si sababu ya kuachiwa, huyu Mh Pinda ameisha toa kauli tata nyingi mno tokea aingia madarakani....hapa sasa he shouls swallow the bitter pills....

Haya akijiuzulu Pinda, wewe uchukue nafasi yake. Blaa blaa nyiiiingi kama vile hakuna binadamu aliyewahi kuchemsha big time kuliko alivyochemsha hapa.

Kama kuna utamaduni wa kujiuzulu, wajiuzulu kwanza mafisadi, wanaojivinjari na fedha za walipa kodi. Hawa nao wanastahili adhabu ya kifo, sio tu kujizulu, Pinda wape mafisadi adhabu ya kifo.
 
Sidhani kama anaweza kutoa hotuba ya namna hii:

a. Kwanza si kawaida ya CCM kukiri makosa na kuyakubali kuwa ni kwao (sikumbuki kiongozi aliyekubali kosa lake bila kulirembaremba)

b. Akikubali namna hiyo anajiweka vulnerable huko mbele ya safari

c. Akikubali makosa namna hiyo na kwa uhuru huo atapata nguvu kubwa mno Bungeni na kwenye jamii. Kitu ambacho kitafutanya sisi wengine kukosa la kusema!

So, ingawa yawezekana kuwa kweli lakini siamini kama kuna mtu anaweza kumshauri au hata kumshawishi Waziri Mkuu kutoa tamko kama hilo.
 
Jamani nadhani tujifunze utamaduni wa kujiuzuru, kama kakili kosa basi awe tayari kuachia ngazi, kuna watanzania zaidi ya mil 40. Wapo watakaoweza ilinda katiba yetu. Asamehewe kwa sababu kakubari makosa si sababu ya kuachiwa, huyu Mh Pinda ameisha toa kauli tata nyingi mno tokea aingia madarakani....hapa sasa he should swallow the bitter pills....

Hata raisi Bush alitoa kauli nyingi tuu zilizo tata na hakujiuzuru! Na sasa ndio mjiandae na Joe Biden....sasa sijui na yeye atatakwa ajiuzuru kwa sababu ya gaffes....
 
Sidhani kama anaweza kutoa hotuba ya namna hii:

a. Kwanza si kawaida ya CCM kukiri makosa na kuyakubali kuwa ni kwao (sikumbuki kiongozi aliyekubali kosa lake bila kulirembaremba)

b. Akikubali namna hiyo anajiweka vulnerable huko mbele ya safari

c. Akikubali makosa namna hiyo na kwa uhuru huo atapata nguvu kubwa mno Bungeni na kwenye jamii. Kitu ambacho kitafutanya sisi wengine kukosa la kusema!

So, ingawa yawezekana kuwa kweli lakini siamini kama kuna mtu anaweza kumshauri au hata kumshawishi Waziri Mkuu kutoa tamko kama hilo.

Yaani hata Nyerere......?
 
Ni vzr amekubali makosa(kama ni hilo tamko ni la kweli).

Ila tukae tukijua serikali ya awamu ya nne ina viongozi ambao ni weak sana ktk mambo muhimu, jambo kubwa waliloweka mbele ni SIASA. Kila mara wana-focus kushinda uchaguzi. Hata ukiangalia/kusikiliza speech za kiongozi yoyote kuazia mwenyekiti wa mtaa hadi kwa mkuu wa kaya hutakosa kusia jambo hili ni utekelezaji wa ilani ya chama chetu na mfano wa hayo.
 
Msisahau shule za sekondari za kizima moto kwenye kata zenu, ambazo hazina waalimu, Lowassa for PM

Wala si shule....ni jengo limejengwa wakaliita shule na naona wanampango wakujenga majengo mengine na kuyaita zahanati za kila kijiji.
 
Yaani hata Nyerere......?

Nyerere ndiye pekee aliyefanya hivyo:

aliandika kitu kinachoitwa "Tujisahihishe" sidhani kama kuna mwana CCM hata mmoja anayekumbuka.

alipohutubia kwenye hafla ya kumuaga ilioyaandaliwa na Jeshi la Magereza mwaka 1985 alipima mafanikio na makosa yake kwa kadiri alivyoyaona.

alipima tena mafanikioo na mapungufu ya utawala wake 1995 kwenye Uwanja wa Sokoine Mbeya, siku ya Mei Mosi.

siyo tu alikubali but he owned them kwa maneno "tusifanye makosa sisi kwani sisi malaika sisi?"

well, naombea Pinda anaweza akawa jasiri kiasi hicho..
 
Nyerere ndiye pekee aliyefanya hivyo:

aliandika kitu kinachoitwa "Tujisahihishe" sidhani kama kuna mwana CCM hata mmoja anayekumbuka.

alipohutubia kwenye hafla ya kumuaga ilioyaandaliwa na Jeshi la Magereza mwaka 1985 alipima mafanikio na makosa yake kwa kadiri alivyoyaona.

alipima tena mafanikioo na mapungufu ya utawala wake 1995 kwenye Uwanja wa Sokoine Mbeya, siku ya Mei Mosi.

siyo tu alikubali but he owned them kwa maneno "tusifanye makosa sisi kwani sisi malaika sisi?"

well, naombea Pinda anaweza akawa jasiri kiasi hicho..

Heheheheee...kwa hiyo alipima makosa na mafanikio wakati akiondoka...vipi wakati bado yuko mtawala...? alikubali makosa yoyote yale?
 
Nyerere ndiye pekee aliyefanya hivyo:

aliandika kitu kinachoitwa "Tujisahihishe" sidhani kama kuna mwana CCM hata mmoja anayekumbuka.

alipohutubia kwenye hafla ya kumuaga ilioyaandaliwa na Jeshi la Magereza mwaka 1985 alipima mafanikio na makosa yake kwa kadiri alivyoyaona.

alipima tena mafanikioo na mapungufu ya utawala wake 1995 kwenye Uwanja wa Sokoine Mbeya, siku ya Mei Mosi.

siyo tu alikubali but he owned them kwa maneno "tusifanye makosa sisi kwani sisi malaika sisi?"

well, naombea Pinda anaweza akawa jasiri kiasi hicho..
Acha kamba mzee...Nyerere aliwahi kukiri lini kuwa alitolostisha? zaidi ya "tujisahihishe" ambapo alisemea kwa viongozi wote yeye kama yeye JKN aliwahi wapi kukiri.....unajua Nyerere alitulostisha sana.....
 
Heheheheee...kwa hiyo alipima makosa na mafanikio wakati akiondoka...vipi wakati bado yuko mtawala...? alikubali makosa yoyote yale?
Ndio nasema Pinda ni best kwa kukiri makosa zaidi ya Nyerere.....
BTW Kanali Chacha Makori yuko wapi??
attachment.php
 

Attachments

  • kanalichachamakori70s.jpg
    kanalichachamakori70s.jpg
    64.7 KB · Views: 108
Hawa viongozi waache tabia ya kukurupuka na kutoa kauli bila kutathmini athari ya kauli zao. Hii kwa Pinda si mara ya kwanza. I hope Wabunge watamsamehe lakini hili liwe fundisho kwa wale viongozi wote wanaopenda kukurupuka katika kutoa kauli.
 
Pinda sio mnafiki wala sio badhilifu ni mtu muungwana anaeonesha upande wake wa ubinadamu kwa kuonesha hisia zake juu ya unyama unaofanywa na hawa mafisadi wanaowaua binadamu wenzao kitu ambacho hata wanyama hawafanyiani!! Pinda ni mkweli wala hawezi kufananishwa na fisadi Lowassa aliyeTUMIA CHEO TULICHOMKABIDHI KUTUIBIA. kILA MPENDA HAKI HANA BUDI KUMUUNGA MKONO PINDA kwani mauaji ya wenzetu wenye ulemavu wa ngozi umelitia taifa letu aibu ulimwenguni pote!!
 
Atubu kwa Mungu kwa uongo na kuomba radhi pia kutokana na kauli yake kuhusu Meremeta. Maana siku ile pia alitaka kulia. Na papo hapo aongeze kasi ya kuchua hatua juu ya maazimio ya bunge kuhusu Richmond. Tutamsamehe.

Lakini mbona kuna ambao wapo kwenye orodha ya mafisadi bado wanaendelea kupeta tu humo serikalini?

Unajua akishatolewa kafara huyu, tutajenga utamaduni wa kuchukua hatua kwa maneno na matendo ya viongozi wetu kama tukio la Lowassa kujiuzulu lilivyoamsha shauku zaidi ya kuwabana mafisadi. Ila binafsi naweza kumsamehe Pinda akifanya mambo hayo hapo juu manake huyu ni bora mara kumi ya Kikwete

Asha
 
Atubu kwa Mungu kwa uongo na kuomba radhi pia kutokana na kauli yake kuhusu Meremeta. Maana siku ile pia alitaka kulia. Na papo hapo aongeze kasi ya kuchua hatua juu ya maazimio ya bunge kuhusu Richmond. Tutamsamehe.
Lakini mbona kuna ambao wapo kwenye orodha ya mafisadi bado wanaendelea kupeta tu humo serikalini?
Asha

Huwa wanasubiri kwanza, akiisha maliza kutoa kauli yake hiyo ambayo kwa sasa si yake mpaka atakapoisoma, then tunaanzisha haya. Ila mkianza haya hata kabla anaweza kuingia mitini. Ila akiingia mitini itakuwa bomba kweli maana Tutaendelea kumjadili tu, ila akitoa kauli hiyo hatutakuwa na budi kumsamehe( Ila msamaha wake ni mengine na hilo uliloandika avitolee ufafanuzi pia)
 
Atubu kwa Mungu kwa uongo na kuomba radhi pia kutokana na kauli yake kuhusu Meremeta. Maana siku ile pia alitaka kulia. Na papo hapo aongeze kasi ya kuchua hatua juu ya maazimio ya bunge kuhusu Richmond. Tutamsamehe.

Lakini mbona kuna ambao wapo kwenye orodha ya mafisadi bado wanaendelea kupeta tu humo serikalini?

Unajua akishatolewa kafara huyu, tutajenga utamaduni wa kuchukua hatua kwa maneno na matendo ya viongozi wetu kama tukio la Lowassa kujiuzulu lilivyoamsha shauku zaidi ya kuwabana mafisadi. Ila binafsi naweza kumsamehe Pinda akifanya mambo hayo hapo juu manake huyu ni bora mara kumi ya Kikwete

Asha
So unamaanisha pinda atolewe kafara kwa statement aliyotoa?..and why?...kwa nini msiseme hao watu wanaouwa viumbe vya watu wasipigwe makafara au hao mafisadi...

Hili ni kosa la kwanza la PM wetu kama akikosea mara ya pili yeah..."fool me once shame on you fool me twice shame on me"....si kwenye bible i think kitabu cha Peter kinasema mungu alisamehe mara 70..kwa nini na sisi tusimsamehe kwa kughafrika kwake
 
Back
Top Bottom