Tamko la CHADEMA - Aprili 14, 2013

Status
Not open for further replies.
mmhh! tunakoenda sio salama, kama CDM waweza kuyajua haya, kikwete anafanya nini Ikulu, mbona naona yupo uchi?

Wote tunashanga hilo labda hatuba yake mwisho wa mwezi itakuwa ya kutangaza kujiuzulu. Tangu sakata la Richmond walimstahi tuu sasa kansa ya kuwahujumu watanzania inaendelea kumtafuna, nasema haya kwa sababu suala hili lazima Rais analijua na kama halijui basi si yeye anayeongoza nchi hii.
 

Mkuu ZeMarcopolo

Mbona unajichanganya sana. Hebu jisome vizuri tena.
 

asante sana mkuu...umesema sana, kama wanatumia kichwa kufikiri wamesikia
 

Sasa umekuja kutoa ufafanuzi wa namba au kupinga tamko la chama chako??
 
Hili tamko lenye taarifa za kutunga ni tisa, kumi ni uhalisia wa video ya kigaidi ya lwaka, mwanasheria wakili shshushu amekichimbia chama kwenye shimo la takataka
 
Mkuu ZeMarcopolo

Mbona unajichanganya sana. Hebu jisome vizuri tena.

Makene,

Twende kwanza tukajadili lengo lililowafanya muingize namba ya Zitto kwenye tamko.

Je, mnataka kumchafua Zitto?

Je, harakati zenu za kumfanya Msacky aonekane mtuhumiwa zina lengo gani?

Tukutane kwenye ile thread ya Zitto...
 

mkuu inamaana Marando kaandaa na kutoa tamko hilo bila wewe kuhusishwa? kama ndivyo basi naamini kuwa CHADEMA kuna vurugu inaendelea kubwa na mwisho wake utakuwa mbaya.

Leka dutigite kwa sasa
 
Duuu baada ya kuchamba kwingi leo wameshika MAVI. X
 
Kuna watu watavuliwa nguo au watavua nguo kwa kuchanganyikiwa wenyewe mchana kweupe...... The truth will always come to the surface
 
Sasa umekuja kutoa ufafanuzi wa namba au kupinga tamko la chama chako??

tulieni dawa iingie vizuri mamburula...mmeingizwa choo cha kike na shushushu marando ambaye anakula mshahara wa serikali hata hamshtuki mnapiga mayowe tu hapa
 
CHADEMA MUOGOPENI MUNGU

Muendelezo wa matamko yasiyokuwa na mashiko ya chadema juu ya mambo mbalimbali nchini sasa yanapaswa kupuuzwa kwani wanajaribu kuwahadaa wananchi. Wanatoa Majibu mepesi kwenye maswali magumu ambayo wanaharakati na wapenda maendeleo wa nchi hii wanauliza mathalani kwa nini chama kinachojiita CHA demokrasia Leo hii kimekuwa kinakandamiza demokrasia mfano 1. Pindi mh Zitto alisema atagombea uraisi kupitia chadema kukajitokeza kundi la watu ndani ya chama hicho wakasema Zitto anakivuruga chama na wakati huo huo mwenyekiti aw chama hicho akawatangazia watu wa KARATU kuwa Mungu akimpa uhai DKT SLAA ndiye atakuwa mgombea wa uraisi!! Watu wanajiuliza Mchakato wa kumpata SLAA ulifanyika lini, wapi, kwa katiba ipi?
Aidha pia wakati Watanzania wakiwa na msononeko, mfadhaiko wa moyo kuwa chama kinachojipambanua kuwa kinapigania maslahi ya wananchi kimegeuka kuwa TISHIO kwa umma, kinapanga na kuratibu na kutekeleza mauaji ya watu wasio na hatia!! Video clip iliyotapakaa kila kona ya websites za mitandao mbalimbali inaonyesha kuwa KIONGOZI wa juu wa chadema anayeshughulika na masala ya ulinzi na usalama bwana Lwakatare anapanga namna ya utekelezaji wa mauaji ya WAANDISHI habari ambao wao kwao ni tishio kwa uhai wa CHADEMA! Lakini pia anaelezea namna mipango mingine ya mauaji yaliwahi kupangwa na kwa namna hayakuweza kuzaa matunda Kama alivyosema swala la Igunga, na Iringa. Hizi ni tuhuma nzito ambazo zinahitaji tafakuru ya kina ya wananchi juu ya usalama wao na ni nini hasa maana ya dhana ya demokrasia ambayo inaendeshwa na vyama pinzani!
Tamko la CHADEMA kupitia kwa mwanasheria wake bwana MARANDO ni dhahiri chama hicho kimepoteza dira, kinamchoko wa kifikra na sasa kinatafuta kila njia na hila kijisafisha machoni mwa Watanzania kuwa sio chama cha kigaidi. Kama bwana marando anaushaidi wa kimawasiliano ya watu anaohisi wametengeneza clip ya Lwakatare ( ugaidi) ni vyema akapeleka ushaidi huo mahakamani kwani ndipo Haki utafutwa na kupatikana na aache kuwahadaa wananchi kwa matamko yasiyokuwa na tija. Watanzania wanaimani na Mahakama yao hata chadema wameshawahi kukiri wanaimani na Mahakama kwani hata wao wamekuwa wakishinda kesi nyingi tu kupitia Mahakama lakini wakati mwingine wanasema Mahakama si Huru.

RAI yangu kwa Chadema
Kuitisha kikao cha haraka kwa viongozi wa juu wa chama kutathimini, kutafakari maamuzi yake ya kupanga, kuratibu, na kutekeleza mateso ya kigaidi,kinyama Kama sera ya kuhadaa wananchi kuwa Ccm na vyombo vya dola vinapanga mauaji, na Mateso ya wapigania Haki! Kwani ukweli sasa umejulikana. Pili viongozi wa juu aw chadema watubu na kuomba radhi kwa Watanzania juu ya mipango yake ovu ya mateso na mauaji na mwisho kabisa waombe kwa Mungu wawe na HOFU YA MUNGU.
 
Habari za usiku wanabodi.

Mimi natoa yaliyo moyoni kwa mawazo yangu HURU.

Mimi DONYONGIJAPE, mzawa wa SIMANJIRO, naamini kabisa kwamba mtu mbaya kwa CHADEMA ni LWAKATARE. Inaonekana kabisa amefanya lile Tukio akijua kabisa anarekodiwa, na ndio maana akaongea hayo aliyoongea eili kuiharibia CHADEMA. NDIYO, ana uwezo huo, tena inaonekana alijipanga kabisa kuongea hayo yeye na huyo Ludovick. Ndio maana walikuwa wakipeana leading Questions.

Ninachokiona ni kwamba, Bw. Lwakatare amekula njama na Mwigulu, Ludo, Zoka, Zitto etc ili waichafue CHADEMA. Huyu siyo mtu wa kutetea kabisa katika sakata hili. Ni mtu aliyekuwa anafanya kile anachojua na ni MSALITI.

CHADEMA isipoteze nguvu na MUDA kumtetea huyu MSALITI, kwa maana mwisho wa siku ATAKIRI na CHADEMA itashindwa kesi kwa KISHINDO na NDIO itakuwa MWISHO WAKE.
 


THINK AGAIN... uamuzi wao wa kuja na hizi taarifa uta pre-empty any stupid move ambayo walengwa walikuwa wanafikiria kutoka nayo.
 
kuna tamko umesoma, au umetumwa kuja kupima upepo....

mungu bariki tanzania no 2
mungu bariki chadema
 
CHADEMA MUOGOPENI MUNGU

Muendelezo wa matamko yasiyokuwa na mashiko ya chadema juu ya mambo mbalimbali nchini sasa yanapaswa kupuuzwa kwani wanajaribu kuwahadaa wananchi. Wanatoa Majibu mepesi kwenye maswali magumu ambayo wanaharakati na wapenda maendeleo wa nchi hii wanauliza mathalani kwa nini chama kinachojiita CHA demokrasia Leo hii kimekuwa kinakandamiza demokrasia mfano 1. Pindi mh Zitto alisema atagombea uraisi kupitia chadema kukajitokeza kundi la watu ndani ya chama hicho wakasema Zitto anakivuruga chama na wakati huo huo mwenyekiti aw chama hicho akawatangazia watu wa KARATU kuwa Mungu akimpa uhai DKT SLAA ndiye atakuwa mgombea wa uraisi!! Watu wanajiuliza Mchakato wa kumpata SLAA ulifanyika lini, wapi, kwa katiba ipi?
Aidha pia wakati Watanzania wakiwa na msononeko, mfadhaiko wa moyo kuwa chama kinachojipambanua kuwa kinapigania maslahi ya wananchi kimegeuka kuwa TISHIO kwa umma, kinapanga na kuratibu na kutekeleza mauaji ya watu wasio na hatia!! Video clip iliyotapakaa kila kona ya websites za mitandao mbalimbali inaonyesha kuwa KIONGOZI wa juu wa chadema anayeshughulika na masala ya ulinzi na usalama bwana Lwakatare anapanga namna ya utekelezaji wa mauaji ya WAANDISHI habari ambao wao kwao ni tishio kwa uhai wa CHADEMA! Lakini pia anaelezea namna mipango mingine ya mauaji yaliwahi kupangwa na kwa namna hayakuweza kuzaa matunda Kama alivyosema swala la Igunga, na Iringa. Hizi ni tuhuma nzito ambazo zinahitaji tafakuru ya kina ya wananchi juu ya usalama wao na ni nini hasa maana ya dhana ya demokrasia ambayo inaendeshwa na vyama pinzani!
Tamko la CHADEMA kupitia kwa mwanasheria wake bwana MARANDO ni dhahiri chama hicho kimepoteza dira, kinamchoko wa kifikra na sasa kinatafuta kila njia na hila kijisafisha machoni mwa Watanzania kuwa sio chama cha kigaidi. Kama bwana marando anaushaidi wa kimawasiliano ya watu anaohisi wametengeneza clip ya Lwakatare ( ugaidi) ni vyema akapeleka ushaidi huo mahakamani kwani ndipo Haki utafutwa na kupatikana na aache kuwahadaa wananchi kwa matamko yasiyokuwa na tija. Watanzania wanaimani na Mahakama yao hata chadema wameshawahi kukiri wanaimani na Mahakama kwani hata wao wamekuwa wakishinda kesi nyingi tu kupitia Mahakama lakini wakati mwingine wanasema Mahakama si Huru.

RAI yangu kwa Chadema
Kuitisha kikao cha haraka kwa viongozi wa juu wa chama kutathimini, kutafakari maamuzi yake ya kupanga, kuratibu, na kutekeleza mateso ya kigaidi,kinyama Kama sera ya kuhadaa wananchi kuwa Ccm na vyombo vya dola vinapanga mauaji, na Mateso ya wapigania Haki! Kwani ukweli sasa umejulikana. Pili viongozi wa juu aw chadema watubu na kuomba radhi kwa Watanzania juu ya mipango yake ovu ya mateso na mauaji na mwisho kabisa waombe kwa Mungu wawe na HOFU YA MUNGU.
 

mbona unarudiarudia kwamba line uliacha kuitumia katikati ya mwaka jana?
Msacky hawezi kuwa adui wa chama chako hata kama ni rafiki yako?
 
mbona unarudiarudia kwamba line uliacha kuitumia katikati ya mwaka jana?
Msacky hawezi kuwa adui wa chama chako hata kama ni rafiki yako?

maadui wa chadema wanapaswa kutekwa na kuteswa? Look at u
 
tulieni dawa iingie vizuri mamburula...mmeingizwa choo cha kike na shushushu marando ambaye anakula mshahara wa serikali hata hamshtuki mnapiga mayowe tu hapa

rafiki hapa ni jamiiforum sio facebook, nimemuuliza swali ZK sasa wewe unakuja na maneno yako ya udaku. unapotaka quote watu jaribu kuwa selective na aina ya watu unao wa-quote.
 

kazi ipo hii kama kweli bac tunakoenda ni kubaya. Dat why baadhi ya watu walikuwa wanatabiri kifo cha cdm, kumbe sio utabari ni hujuma, kweli mungu na waungwana shetani na wahuni
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…