Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,457
- 27,104
Naona Wengi Hapa Ni Magube tu
Wanaitwa lab scientistWenye digrii/bachela wanaitwaje?
Pole aisee. Afu usiwe unatoa ushauri kwa kitu usicho kijua. Nacte transcript zinaruhusiwa afu kuhusu kupoteza mda is not your matter aisee.. Hata nilivyokuwa nasoma nilikuwa napoteza mda tu.. Kwa upande wako.Ushauri wa kijinga upo wapi sasa hapo?
Hakuna mzaha mkuu, kuwa muelewa transcipt haziruhusiwi utakuwa unapoteza muda na pesa zako tu.
Punguza munkari kuwa na subira.
Pole aisee. Afu usiwe unatoa ushauri kwa kitu usicho kijua. Nacte transcript zinaruhusiwa afu kuhusu kupoteza mda is not your matter aisee.. Hata nilivyokuwa nasoma nilikuwa napoteza mda tu.. Kwa upande wako.
Kuna mtu kani pm baada ya kuona umeandika izo pumbu zako hapoKama unajua zinaruhusiwa kwanini ulikuwa unauliza?
Hakuna mtu wa kukupangia wewe kazi mwenye transcript wakati wenye vyeti kamili wapo wa kutosha.
Tatizo hampendi kusikia ukweli na mna papara mno.
Kuna mtu kani pm baada ya kuona umeandika izo pumbu zako hapo
Mkuu achana na dogo naona ana stress....Kama unajua zinaruhusiwa kwanini ulikuwa unauliza?
Hakuna mtu wa kukupangia wewe kazi mwenye transcript wakati wenye vyeti kamili wapo wa kutosha.
Tatizo hampendi kusikia ukweli na mna papara mno.
Hapana bachelor ni scientist technologist ni diplomaMkuu, ni wale wataalamu wa maabara wenye digrii/ bachelor ya laboratory technology
Bwana afya ngazi ya cheti bwana afya diploma bwana afya degree'Environmental health assistant II',
'Assistant environmental health officer II' and
'Environmental health officer'
Kwa kwenye hizo professional title aelezee kidogo.
Aaanteni sana
Mkuu achana na dogo naona ana stress....
Kwa ushauri nakazia bila full transcript with certificate hakuna kuitwa kwenye usaili na kuna baadhi ya kozi hapo zitahitaji certificate ya profession husika so dogo ajitahidi kuwa mvumilivu hadi mwakani
Watu wanaomba halafu hawaitwi maigizo
Wasanifu wa dawa huwa wanatoa ngazi ya cheti??Mkuu hebu Nisaidie Diploma Wa Pharmacy wanahusika Hapo?
• Pharmaceutical technician (Fundi Sanifu Madawa)
Qualifications in term of academic profession!Bwana afya ngazi ya cheti bwana afya diploma bwana afya degree
Wasanifu wa dawa huwa wanatoa ngazi ya cheti??
Kimsingi omba kwa diploma hiyo hiyo
Kuna baadhi ya kozi hazina certificate mfano clinical dentistry diploma advance diploma na bachelorMkuu Naomba Tofauti ya Hizo Assist. Pharmacist II na Pharmacist II
wewe nani mpaka ukatishe watu tamaa?nafasi hizi zimetoka na zinahusu watanzania hivyo acha ajaribu bahati yake punguza roho mbaya....wewe unafikiri atakuzibia nafasi?kama lizki yako ni yako tu mkuu mbona una wasiwasi?Mkuu achana na dogo naona ana stress....
Kwa ushauri nakazia bila full transcript with certificate hakuna kuitwa kwenye usaili na kuna baadhi ya kozi hapo zitahitaji certificate ya profession husika so dogo ajitahidi kuwa mvumilivu hadi mwakani