Wewe uliyetaka kwenda kufanya kazi Kenya Mungu akupe nini!Mkuu
Rocket Science
Inahitajika
Ipo ingia ajira za ukweli hizoHizi ajira za uongo
Tangazo halina muhuri
Pia website ya TAMISEMI hakuna kitu hicho
Niingie website ipi?Ipo ingia ajira za ukweli hizo
Niingie website ipi?
Kama hapo barua imesema tembelea www.tamisemi.go.tz lakini hakuna kitu ,
Niwekee hiyo website niione
Jaman hizi ajira zimetokea na Vip tulio maliza 2017 na vyeti hatuna!
Wakuu samahan naomba kuuliza endapo sijapata cheti naweza kuapply kwa kutumia result transcript na ikakubalika??
Ushauri wa kijinga sana huo.. Ulio toa.... Punguza masiala. Sio kila sehemu på mizaha..
Mngesubiri vyeti kwanza hizi waachieni kaka na dada zenu wamesota sana mtaani.
Naomba mnieleweshen mwenzio niapply kwa kutumia transcript??Ushauri wa kijinga sana huo.. Ulio toa.... Punguza masiala. Sio kila sehemu på mizaha..
Amejaribu ubabe amechemka kabaki kujichekesha tu majukwaani uchumi hoi chezea ccm ww"" Magufuli Dikteta""
Laboratory ScientistsWenye digrii/bachela wanaitwaje?
Ushauri wa kijinga sana huo.. Ulio toa.... Punguza masiala. Sio kila sehemu på mizaha..
Yaan ndio zinatupta hivhviJaman hizi ajira zimetokea na Vip tulio maliza 2017 na vyeti hatuna!