SN.BARRY
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 4,040
- 8,895
Huu ni ushauri wa bure.
TAMISEMI shughulikieni matatizo ya msingi sio kujipa makazi mengi msiyoweza kuyamaliza.
Toeni vibali Halmashauri ziajiri waalimu na watumishi wa afya kisha taarifa zao zitumwe huko kwenu/DODOMA.
Halmashauri zina wasomi wa kila aina hivi kweli hawawezi kuajiri waalimu wa Primary na Secondary.
DC, DED, DSO, HR, MAAFISA ELIMU, CWT N.K MNAWEZA KUUNDA PANEL MKAFANYA HILO ZOEZI KWA MAFANIKIO KABISA.
TAMISEMI shughulikieni matatizo ya msingi sio kujipa makazi mengi msiyoweza kuyamaliza.
Toeni vibali Halmashauri ziajiri waalimu na watumishi wa afya kisha taarifa zao zitumwe huko kwenu/DODOMA.
Halmashauri zina wasomi wa kila aina hivi kweli hawawezi kuajiri waalimu wa Primary na Secondary.
DC, DED, DSO, HR, MAAFISA ELIMU, CWT N.K MNAWEZA KUUNDA PANEL MKAFANYA HILO ZOEZI KWA MAFANIKIO KABISA.