Morgan Fisherman
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 1,894
- 2,228
Habarini wanaJamii.
kuna msemo wa unesema "silence is the best answer too" tafasiri "ukimya ni jibu sahihi pia" basi twendeni moja kwa moja kwenye hoja ili uweze kutambua muda wa kukaa kimya kwajili ya kujilindia heshima yako ,kulinda heshima za watu wengine na kuepusha mikwazano .
1. kaa kimya ukiona umepandwa na hasira.
2. kaa kimya kama hauna vielelezo(facts) vilivokamilika kuhusu unachotaka uzungumze.
3. kaa kimya kama hujathibitisha stori au kitu unachotaka uzungumze.
4. kaa kimya kama maneno yako yatamvunja moyo mtu aliedhaifu.
5. kaa kimya kama ni muda wa kusikiliza unachoambiwa au kinachoongelewa.
6. kaa kimya kama utaona maneno yako yatadharau vitu vitakatifu kama imani au dini ya mtu.
7. kaa kimya kama utashawishika kuleta utani uliojaa dhambi au usio na maadili mema.
8.kaa kimya kama maneno yako yatakufanya udharaulike baadae au mbeleni.
9.kaa kimya kama maneno yako yataleta maana tofauti kwa mtu au watu unaoongea nao.
10. kaa kimya kama habari au jambo halikuhusu.
11. kaa kimya kama maneno yako yatakua na uongo ndani yake au unashawishika kusema uongo.
12. kaa kimya kama maneno yako yatashusha heshima ya mtu mwingine.
13. kaa kimya kama maneno yako yatapelekea kuvunjika kwa urafiki au undugu.
14. kaa kimya kama upo kwnye hali mbaya hasa kimawazo au kama hujui unachotaka kukisema.
15. kaa kimya kama huwezi ongea kitu bila kupayuka kwa sauti kubwa au kwa ustaarabu.
16. kaa kimya kama maneno yako hayataleta picha nzuri kwa Mungu wako,marafiki zako na familia yako.
17.kaa kimya kama baadae utaona ni sahihi usingeongea ulichokiongea.
18. kaa kimya kama umeshasema kuhusu hicho kitu zaidi ya mara moja.
19. kaa kimya kama unaona maneno yako yatamtibua mtu mkorofi asie na adabu na mpumbavu.
20. kaa kimya kama ukiwa unafanyia kazi unachotaka kukisema.
"yoyote atakae chunga ulimi na mdomo wake atajiepusha na balaa" -zaburi 21:23.
kuna msemo wa unesema "silence is the best answer too" tafasiri "ukimya ni jibu sahihi pia" basi twendeni moja kwa moja kwenye hoja ili uweze kutambua muda wa kukaa kimya kwajili ya kujilindia heshima yako ,kulinda heshima za watu wengine na kuepusha mikwazano .
1. kaa kimya ukiona umepandwa na hasira.
2. kaa kimya kama hauna vielelezo(facts) vilivokamilika kuhusu unachotaka uzungumze.
3. kaa kimya kama hujathibitisha stori au kitu unachotaka uzungumze.
4. kaa kimya kama maneno yako yatamvunja moyo mtu aliedhaifu.
5. kaa kimya kama ni muda wa kusikiliza unachoambiwa au kinachoongelewa.
6. kaa kimya kama utaona maneno yako yatadharau vitu vitakatifu kama imani au dini ya mtu.
7. kaa kimya kama utashawishika kuleta utani uliojaa dhambi au usio na maadili mema.
8.kaa kimya kama maneno yako yatakufanya udharaulike baadae au mbeleni.
9.kaa kimya kama maneno yako yataleta maana tofauti kwa mtu au watu unaoongea nao.
10. kaa kimya kama habari au jambo halikuhusu.
11. kaa kimya kama maneno yako yatakua na uongo ndani yake au unashawishika kusema uongo.
12. kaa kimya kama maneno yako yatashusha heshima ya mtu mwingine.
13. kaa kimya kama maneno yako yatapelekea kuvunjika kwa urafiki au undugu.
14. kaa kimya kama upo kwnye hali mbaya hasa kimawazo au kama hujui unachotaka kukisema.
15. kaa kimya kama huwezi ongea kitu bila kupayuka kwa sauti kubwa au kwa ustaarabu.
16. kaa kimya kama maneno yako hayataleta picha nzuri kwa Mungu wako,marafiki zako na familia yako.
17.kaa kimya kama baadae utaona ni sahihi usingeongea ulichokiongea.
18. kaa kimya kama umeshasema kuhusu hicho kitu zaidi ya mara moja.
19. kaa kimya kama unaona maneno yako yatamtibua mtu mkorofi asie na adabu na mpumbavu.
20. kaa kimya kama ukiwa unafanyia kazi unachotaka kukisema.
"yoyote atakae chunga ulimi na mdomo wake atajiepusha na balaa" -zaburi 21:23.