Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
- Thread starter
- #121
tehetehe mbona mama Ngina hakuniosha ishara hata moja ya hizo? loh! ila ananipenda
NG`WANA ONG`WA DOYI huyo kaanza kukupenda majuzijuzi tu......................mlipoanzana allikuwa hakufahamu na hamu pia ilikuwa imepoa ndiyo maana dalili hukuweza kuzishtua...........