Tambo za waziri Muhongo

Huyo waziri wenu Muhongo ni kichaa, sijui JK alimuokotea Milembe?

Alisema mgao wa umeme utakuwa historia lakini umetamalaki ndio maana anatumia matusi na kashfa Kama shield...
 

na akina lusinde ambao hata form four ni shida sijui wasemaje?

amewadharirisha ccm waliohakikisha anashinda lkn pia wananchi wa Simanjiro kwa kumchagua kuwa mbuge wao!
 
Prof. Muhongo ni mtu wa facts and figures. Wengi huchukizwa wanapopewa facts. Kiongozi wa wale wanaolilia udalali wa gesi naona yupo kimya sasa. Bila shaka anajipanga kuanza kulialia upya.
 

Sihai kama ulihoandka ni shihi. Nenda asome ni wa nini China,S. Korea, Malaysia SA ya leo zimefanya nini na zainendelea kufanya nini kujena uwezo wa wananci wao katika kumiliki uchumi wao. Uliyoysema ndio yametufikisha hapa tulipo yakiwa ni mawazo ya WB na IMF. Nchi zilizoimamia agenda yao ikiwa ni pamoja na Ethiopia kuna mabadiliko makubwa kiuchumi kuliko hapa kwetu.
 
Siwezi kufanya kazi na mjita kwasababu sijaajiriwa.

Mkuu usiseme hivyo!

Hata kama una ofisi yako unaweza kumwajiri hapo ndo utajuta kumfahamu! Ofisi yako lakini utatamani uikimbie!!
 

Tatizo Mtu akiongea Ukweli Nchi hii anaanza kuchambuliwa , Mnapenda kudanganywa sana
Amezidi kwa tambo na yeye!!

Eti linamwambia Mbowe nafikiri hanifahamu, nimekuwa mkuu wa Geology Afrika nzima sasa Wizara hii ni nini kwangu? Utafikiri lenyewe ndo litakaa hapo milele!!
 
Mkuu usiseme hivyo!

Hata kama una ofisi yako unaweza kumwajiri hapo ndo utajuta kumfahamu! Ofisi yako lakini utatamani uikimbie!!

Kesho yake atakuta dismissal letter
 
Vile vijiji vilisaidia kuleta umoja na mshikamano ila sio kupunguza umasikini.

Kule kama ndo kulikuwa kuleta umoja, ilikuwa ni wrong strategy, the results are too bad, worse. Tanzania hakuna umoja kati yetu, tafsiri sahihi nadhani nikusema kuna hofu na ujinga.
 
Kule kama ndo kulikuwa kuleta umoja, ilikuwa ni wrong strategy, the results are too bad, worse. Tanzania hakuna umoja kati yetu, tafsiri sahihi nadhani nikusema kuna hofu na ujinga.

Watu wanabadilika muda unavyozidi kwenda mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…