Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Hajaniambia mtu, bali namfaham vizuri tue, tena sana tu!
Huyu ana akili za darasani ila sio za maisha
Hajaniambia mtu, bali namfaham vizuri tue, tena sana tu!
Huyu ana akili za darasani ila sio za maisha
Thank u very much kwa kuonyesha umbumbumbu wakoKuwa na CV kubwa kuna tofauti na kuwa na akili za kutambua na kuchanganua mambo.
Huyu ana akili za darasani ila sio za maisha
Kati ya wanasiasa na viongozi serikalini wenye tambo, jeuri, majivuno, majigambo au misifa prof. SOSPETER MUHONGO anaweza kuingia tano bora kama sio kuongoza. Kwa haraka haraka jana tu katika mjadadala wa wizara ya nishati na madini aliweza kusikika kwa tambo zifuatazo;
1. Watu wanajifanya wana ushahidi tena ushahidi feki! Mimi nina ushahidi wa gari zima la tani moja
2. Mbowe ananionea huruma wizara yangu kuwa kubwa inahitaji kugawanywa! Nadhani hanifahamu vizuri, mimi nimeongoza tafiti za geology afrika nzima
3.Nilidhani Ole Sendeka ni genious kumbe...watu wameniletea cheti chake cha matokeo ya sekondari
Kwa aliyemsikia jana au siku nyingine yoyote ongezea tambo zake, ikiwezekana ongezea hata kauli za voja za viongozi wengine
Vita ya Sendeka, Muhongo yakolea bungeni
Lakini jana Ole Sendeka aliyezungumza na gazeti hili alisema kuwa waziri huyo ni mbumbumbu na hajui kanuni na taratibu za CCM katika suala zima la kuwasilisha malalamiko au ushahidi wa jambo fulani. Anapeleka CD kwa Spika wa Bunge, kwani Spika ni karani wa CCM? Hajui kanuni za Bunge, wala za CCM.
Mkuu. Nichangie au nijibu hoja zako takriban tatu au nne bila kuingiza siasa au vyama vya siasa kama ifuatavyo:
1. Si kazi ya serikali kukuza mitaji ya wananchi,mitaji inakuzwa na taasisi mbalimbali katika sekta binafsi na za uma mfano mabenki nk. Kazi ya serikali ni kuweka sheria na ku regulate shughuri zao.
2. Si kazi ya serikali kushawishi wafanyabiashara waungane. Wenyewe wanatakiwa wajitambue,wawe wamoja na wasipigane majungu.
3. Kuhusu serikali kuanzisha shirika/kampuni kisha iuze shea,ndicho serikali inachofanya,tayari TPDC inasimamia gas na utafutaji mafuta,na soon itauza share ,na ndio maana mnaambiwa nendeni TPDC mkaeleweshwe,hamtaki mnabaki kupiga majungu mtaani. Mwisho umesema kiongozi mzuri ni yule anayezungumza machache na kutenda mengi,sawa,sasa mbona hayo machache anayozungumza Prof .Mhongo hamyasikilizi,mnampiga majungu tu ili aache kazi zake awe kila siku anajibu majungu ili atoke kwenye mstari? Nawachukia baadhi ya viongozi wa CCM wasio wachapakazi na mafisadi. Lakini Prof. at least naona afanyacho.
Umeongea kweli ila hapo namba moja kwa Taifa kama letu au mataifa ya Africa kwa ujumla bado serikali inatakiwa ifanye kubwa kwa kuwa Tanzania tunatumia zaidi mantiki kuendesha mambo yetu badala ya sheria. Kwa namba mbili naungana na wewe ila kwa kuwa nchi yetu bado tupo kwenye traditional society bado kwa namna moja ama nyingine serikali ina nafasi ya kuhamasisha wafanyabiashara hasa wachanga kuhusu umuhimu wa kujiunga ili na wao waweze kukusanya mapato makubwa zaidi kwa kuwa tukisema tujifanye kama nchi za ulimwengu wa kwanza ambazo wananchi wana uelewa mkubwa na sheria zao ndio zinaongoza viongozi hatuwezi kufika kule tunapokusudia. (tunatakiwa tupige combination pale unapoona mwitikio ni mdogo kama serikali piga kelele wananchi wako wajiunge ila pia wale ambao wapo tayari wape fursa na kama hakuna komaa na wawekezaji kwa kuwa mwisho wa siku watu watajifunza)Mkuu. Nichangie au nijibu hoja zako takriban tatu au nne bila kuingiza siasa au vyama vya siasa kama ifuatavyo:
1. Si kazi ya serikali kukuza mitaji ya wananchi,mitaji inakuzwa na taasisi mbalimbali katika sekta binafsi na za uma mfano mabenki nk. Kazi ya serikali ni kuweka sheria na ku regulate shughuri zao.
2. Si kazi ya serikali kushawishi wafanyabiashara waungane. Wenyewe wanatakiwa wajitambue,wawe wamoja na wasipigane majungu.
3. Kuhusu serikali kuanzisha shirika/kampuni kisha iuze shea,ndicho serikali inachofanya,tayari TPDC inasimamia gas na utafutaji mafuta,na soon itauza share ,na ndio maana mnaambiwa nendeni TPDC mkaeleweshwe,hamtaki mnabaki kupiga majungu mtaani. Mwisho umesema kiongozi mzuri ni yule anayezungumza machache na kutenda mengi,sawa,sasa mbona hayo machache anayozungumza Prof .Mhongo hamyasikilizi,mnampiga majungu tu ili aache kazi zake awe kila siku anajibu majungu ili atoke kwenye mstari? Nawachukia baadhi ya viongozi wa CCM wasio wachapakazi na mafisadi. Lakini Prof. at least naona afanyacho.
misifa ni jadi ya kabila la wajita, hawaendekezi mali ila sifa. Kama muhongo-jina lake ni mwijarubi, kama anatuhumiwa ufisadi basi ccm hakuna mtu wa kunywea maji. Dini na kabila lake wizi unawasingizia. Uliza cv yake, darasa la nne alimaliza lini kwani rekodi zinaonyesha alikwaa kisiki. Amesomea musoma mjini, mennonite primary.kati ya wanasiasa na viongozi serikalini wenye tambo, jeuri, majivuno, majigambo au misifa prof. Sospeter muhongo anaweza kuingia tano bora kama sio kuongoza. Kwa haraka haraka jana tu katika mjadadala wa wizara ya nishati na madini aliweza kusikika kwa tambo zifuatazo;
1. Watu wanajifanya wana ushahidi tena ushahidi feki! Mimi nina ushahidi wa gari zima la tani moja
2. Mbowe ananionea huruma wizara yangu kuwa kubwa inahitaji kugawanywa! Nadhani hanifahamu vizuri, mimi nimeongoza tafiti za geology afrika nzima
3.nilidhani ole sendeka ni genious kumbe...watu wameniletea cheti chake cha matokeo ya sekondari
kwa aliyemsikia jana au siku nyingine yoyote ongezea tambo zake, ikiwezekana ongezea hata kauli za voja za viongozi wengine
Hii kauli naichukia sana
misifa ni jadi ya kabila la wajita, hawaendekezi mali ila sifa. Kama muhongo-jina lake ni mwijarubi, kama anatuhumiwa ufisadi basi ccm hakuna mtu wa kunywea maji. Dini na kabila lake wizi unawasingizia. Uliza cv yake, darasa la nne alimaliza lini kwani rekodi zinaonyesha alikwaa kisiki. Amesomea musoma mjini, mennonite primary.
Hii siyo lugha nzuri kwa kiongozi wa umma; ni lugha ya mtaani tena kwa watu wasiokuwa na elimu ya kutosha. Profesa anatakiwa kutumia lugha yenye staha hata kama anaamini hayo anayoyasema ni ya kweli. Kiongozi anayetuambia tukasindike tu juice na nyanya hatufai hata kama ni msomi mzuri au genius. Mwalimu Nyerere angemvua huo uwaziri kesho yake. Kazi ya waziri wa madini siyo kuvuna tu hayo madini. Jukumu lake la msingi ni kuhakikisha kuwa rasilmali hiyi inatumiwa katika njia ambayo ni endelevu na inayowanufaisha wenye rasilmali hiyo. Hilo Profesa hajalisomea na halijui. Ndiyo maana anatumia lugha ya kijeuri namna hii. Anajua pia kuwa demokrasia yetu imebakwa; wabunge wa chama chake wamejipanga kumlinda kwa gharama yoyote hata kama anatudharau, anatudhalilisha, haoni haja ya kutuwezesha kushiriki kwenye miradi ya madini na gesi, nk. Shame on this country.