amakyasya
JF-Expert Member
- Jun 26, 2013
- 3,480
- 918
Kati ya wanasiasa na viongozi serikalini wenye tambo, jeuri, majivuno, majigambo au misifa prof. SOSPETER MUHONGO anaweza kuingia tano bora kama sio kuongoza. Kwa haraka haraka jana tu katika mjadadala wa wizara ya nishati na madini aliweza kusikika kwa tambo zifuatazo;
1. Watu wanajifanya wana ushahidi tena ushahidi feki! Mimi nina ushahidi wa gari zima la tani moja
2. Mbowe ananionea huruma wizara yangu kuwa kubwa inahitaji kugawanywa! Nadhani hanifahamu vizuri, mimi nimeongoza tafiti za geology afrika nzima
3.Nilidhani Ole Sendeka ni genious kumbe...watu wameniletea cheti chake cha matokeo ya sekondari
Kwa aliyemsikia jana au siku nyingine yoyote ongezea tambo zake, ikiwezekana ongezea hata kauli za voja za viongozi wengine
1. Watu wanajifanya wana ushahidi tena ushahidi feki! Mimi nina ushahidi wa gari zima la tani moja
2. Mbowe ananionea huruma wizara yangu kuwa kubwa inahitaji kugawanywa! Nadhani hanifahamu vizuri, mimi nimeongoza tafiti za geology afrika nzima
3.Nilidhani Ole Sendeka ni genious kumbe...watu wameniletea cheti chake cha matokeo ya sekondari
Kwa aliyemsikia jana au siku nyingine yoyote ongezea tambo zake, ikiwezekana ongezea hata kauli za voja za viongozi wengine