Tambiko la Wanyaturu kwa gari la Lissu, wahusika bora wajitokeze

haya mambo yapo boss wangu kama huamini kisasi ktk nguvu za asili yanafanya kazi tena wanapukutika kbs... Sema kwa sasa matapeli ni wengi ila ukimkuta mkali wa hizi kazi mchezo anaucheza na matokeo chanya yanapatikana chapu tu... Sema hawa nao wafanya matukio kama hayo wanakuwa wamejithatiti kiaina kwahiyo nao hawapo kiuwepesi wepesi
""Kwani si baada ya mila, mkungu wa ndizi unaninginizwa juu, basi kila ndizi inavyoanguka........ Ndivyo roho zinavyochomoka!
 
Baada ya serikali kupitia polisi kuamua kufumbia macho kesi ya shambulio la kukusudia kumuua Lissu na majuzi kufunga rasmi mjadala huo kwa kumrudishia kielelezo cha kesi (evidence) ghafla jambo hilo limechukua sura mpya.

Gari hilo lililosheheni matundu ya risasi zilizokusudia kuondoa uhai wa Lissu limekabidhiwa kwa wazee wa kimila nao wamepiga dua zao.

Wajuzi wa mambo ya asili waliofuatilia tukio hilo wanasema wahusika na hata waliojua mpango huo na kunyamaza ni vyema wakajitokeza sasa kabla ya dhahma hazijaanza kuwaangukia ambapo watatamani bora hata wangekuwa polisi ndio wamewakamata.

Wakati ni sasa bora hata wajitokeze kuliko kusubiri yajayo, kwanza Lissu ni mnyenyekevu wakitubu atawasamehe.
No.moja kalala chato
 
wameamua kujiingiza mazima kwenye masuala ya uchawi na ushirikina, baada ya maombi, ibada na misa nyingi sana za shukrani?🐒

kwamba wameona zawadi ya uhai alizowajalia Mungu hazitoshi, right?🐒
Huwezi elewa wewe maana akili yako umeichimbia chini. Tambiko za asili zipo hata kabla ya dini za wazungu na waarabu ziingie. Na tambiko za asili sio uchawi wala ulozi
 
Hili jambo naona bado halieleweki. Tambiko sio ushirikina hata kidogo maana huwa linafanywa kwa maombi ya Mila zenu na uwazi mtupu.
Mbona maombi mengine yanafanywa makanisani na misikitini? Au hayo ni kwa vile ni ya wazungu?
Lipo kisheria au kisera?
 
haya mambo yapo boss wangu kama huamini kisasi ktk nguvu za asili yanafanya kazi tena wanapukutika kbs... Sema kwa sasa matapeli ni wengi ila ukimkuta mkali wa hizi kazi mchezo anaucheza na matokeo chanya yanapatikana chapu tu... Sema hawa nao wafanya matukio kama hayo wanakuwa wamejithatiti kiaina kwahiyo nao hawapo kiuwepesi wepesi
CCM ni washirikina wazuri sn
 
Yule alitewatuma tayari yuko motoni,nq aliyesimamia lile shambulio sasa hili makalio yake yameumuka kama mwanamama vile.
Na bado, wapo wale waliochomoa CCTV pale nyumbani, walio ondoa walinzi gemini na waliokataa taarifa ya tume ya bunge kuweka hadharani hawaponi maana laana lazima iwaangukie.
Kinara kaondoka ndio tena akiwa kijana kabisa (62yrs)maana kwa cheo chake umri huo ni mdogo pengine kuzuia asije fanyia na wengine.
 
Baada ya serikali kupitia polisi kuamua kufumbia macho kesi ya shambulio la kukusudia kumuua Lissu na majuzi kufunga rasmi mjadala huo kwa kumrudishia kielelezo cha kesi (evidence) ghafla jambo hilo limechukua sura mpya.

Gari hilo lililosheheni matundu ya risasi zilizokusudia kuondoa uhai wa Lissu limekabidhiwa kwa wazee wa kimila nao wamepiga dua zao.

Wajuzi wa mambo ya asili waliofuatilia tukio hilo wanasema wahusika na hata waliojua mpango huo na kunyamaza ni vyema wakajitokeza sasa kabla ya dhahma hazijaanza kuwaangukia ambapo watatamani bora hata wangekuwa polisi ndio wamewakamata.

Wakati ni sasa bora hata wajitokeze kuliko kusubiri yajayo, kwanza Lissu ni mnyenyekevu wakitubu atawasamehe.
Kondakta
 
Back
Top Bottom