Wakuu,
Salaam.
Muda huu ninapoandika ni kwamba Makumira University kunaendelea tamasha kubwa sana la vijana wanachuo linalohus mwelekeo wa taifa letu na vijana.
Makamanda wa CDM waliopo ni Mwenyekiti taifa-Mbowe,
Mbunge Arusha mjini -G. Lema,
Mbunge wa viti maalum-Grace Kiwelu na wengine wengi.