Tamaa ya ngono ni mbaya kinyama!

Tamaa ya ngono ni mbaya kinyama!

Ngareroo

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2019
Posts
2,144
Reaction score
2,513
Mambo ni nini aseee? I hope mko yechu. Acha niende direct kwenye msala.

Ebhana kunae Chaliangu mmoja ivi anapiga mbishe kwenye ofisi flani apa Chuga Townika kati apa waga anapiga mbishe za kupiga picha "Photo studio" na mbanga kaa izo zinazohusiana na Mapichapicha.

Sasa kunae mamiloox mmoko ivi waga ni pisi ya Boss wake. Pisi pisi kweli iko magoli ile laana,,sasa Babaako waga anaitamani kinyama, sema ni pisi ya mjuba anaamua kuvunga2 Kirasta.

Juzi Boss wake alimpa Laptop yake kuna picha ilitakiwa azinyonye azihamishie kwenye laptop yake then azi-edit, coz laptop yake ndo ina application ya Ku-edit "Adobe Photoshop", akasema Checherechuneche yaani aiko kwede.

Sasa wakati kachomeka USB wire anazihamisha Mara chap anaona file kwenye laptop ya Boss limeseviwa bila jina'unnamed'..mjuba aka'click dubwii! Lahaula Lakwata kudere ivi anakutana na Videos 3 za Boss akimsukumia moto manzi ake yule ambae waga anamtamani kwa siku mingi joh..akaona hii ni fursa chaliangu, so akazihamisha na zile Chapcheree kisha akapita hivi.

Mishale ya Saa3 night chalii akamvutia ng'ora manzi ake na Boss akamwambia aibuke ghetto amtunuku papuchi chap kwa haraka,,et akashangaa "Khee Hivi wee una akili kweli?Na boss wako namwambia mkosa heshima wewe!" Mjamaa akamwambia "We mamsi kuwa mpole acha kuleta mangendembwee shazi, me videos zako za uchi ukiwa unakatwa show kali na boss nnazo apa fyade, ukijifanya mjafanja nazisambaza alafu utakubali show" manzi hakuamini ikabidi chalii amtumie Moja kwanza, manzi kuiona si apagawa, chalii akamwambia sio iyo2 zipo za kuzidi..Manzi ndo akawehuka kabisa akaanza kuhema kaa mbogo, ikabidi manzi akubali kuzuka ghetto kwa muuni ili chalii asije akakichafua. Bas manzi akampanga chalii ampe dakika20 atakua kashazuka ghetto.

Kumbe manzi mjanja aka'report Polisi ile issue. Unaambiwa chaliloo yupo ndichi anamsubili manzi ili aje asukume moto wa kushanto, ghafla Manzi uyapa yuko na Ma'mwera "Maaskari", inaskitisha sana.

@NgarenaroBoy
 
Sasa hivi hata dushe haisimami imelala haina hamu haahahaha.

Ndo maana mimi napenda kula Mtungi kuliko mademu aisee.

Mimi nina mwanangu alikuwa mtu wa totoz kweli alikuwa anafanya delloite .. alipata hepatitis b nikamuona stage zote mpaka kifo chake.. tamaa ya wanawake imeniondoka kabisa... demu hata akijilengesha namkwepa... mke wangu mwenyewe simuamini amini...

Mitungi ndio starehe yangu kipenzi na usingizi nikilewa
 
Mimi nina mwanangu alikuwa mtu wa totoz kweli alikuwa anafanya delloite .. alipata hepatitis b nikamuona stage zote mpaka kifo chake.. tamaa ya wanawake imeniondoka kabisa... demu hata akijilengesha namkwepa... mke wangu mwenyewe simuamini amini...

Mitungi ndio starehe yangu kipenzi na usingizi nikilewa
Sema kweli mtungi ni raha man hauna stress, unakunywa unalala raha mstarehe na usingizi mzito. Mademu mm mbali mbali. Niko secta ya afya najua hali ilivyo mbaya VVU
 
Yani jinsi ulivyoandika nimecheka sana kama namuona msela akisubiri kupiga machine kumbe anaenda nyea ndoo na kazi hana. Yani ukiendekeza ngenye unaweza kufa kihasara kabisa.
😂😂😂😂😂
 
Mambo ni nini aseee? I hope mko yechu. Acha niende direct kwenye msala.

Ebhana kunae Chaliangu mmoja ivi anapiga mbishe kwenye ofisi flani apa Chuga Townika kati apa waga anapiga mbishe za kupiga picha "Photo studio" na mbanga kaa izo zinazohusiana na Mapichapicha.

Sasa kunae mamiloox mmoko ivi waga ni pisi ya Boss wake. Pisi pisi kweli iko magoli ile laana,,sasa Babaako waga anaitamani kinyama, sema ni pisi ya mjuba anaamua kuvunga2 Kirasta.

Juzi Boss wake alimpa Laptop yake kuna picha ilitakiwa azinyonye azihamishie kwenye laptop yake then azi-edit, coz laptop yake ndo ina application ya Ku-edit "Adobe Photoshop", akasema Checherechuneche yaani aiko kwede.

Sasa wakati kachomeka USB wire anazihamisha Mara chap anaona file kwenye laptop ya Boss limeseviwa bila jina'unnamed'..mjuba aka'click dubwii! Lahaula Lakwata kudere ivi anakutana na Videos 3 za Boss akimsukumia moto manzi ake yule ambae waga anamtamani kwa siku mingi joh..akaona hii ni fursa chaliangu, so akazihamisha na zile Chapcheree kisha akapita hivi.

Mishale ya Saa3 night chalii akamvutia ng'ora manzi ake na Boss akamwambia aibuke ghetto amtunuku papuchi chap kwa haraka,,et akashangaa "Khee Hivi wee una akili kweli?Na boss wako namwambia mkosa heshima wewe!" Mjamaa akamwambia "We mamsi kuwa mpole acha kuleta mangendembwee shazi, me videos zako za uchi ukiwa unakatwa show kali na boss nnazo apa fyade, ukijifanya mjafanja nazisambaza alafu utakubali show" manzi hakuamini ikabidi chalii amtumie Moja kwanza, manzi kuiona si apagawa, chalii akamwambia sio iyo2 zipo za kuzidi..Manzi ndo akawehuka kabisa akaanza kuhema kaa mbogo, ikabidi manzi akubali kuzuka ghetto kwa muuni ili chalii asije akakichafua. Bas manzi akampanga chalii ampe dakika20 atakua kashazuka ghetto.

Kumbe manzi mjanja aka'report Polisi ile issue. Unaambiwa chaliloo yupo ndichi anamsubili manzi ili aje asukume moto wa kushanto, ghafla Manzi uyapa yuko na Ma'mwera "Maaskari", inaskitisha sana.

@NgarenaroBoy

Kwa hiyo hiyo kipochi manyoa hailiwi tena
 
Mimi nina mwanangu alikuwa mtu wa totoz kweli alikuwa anafanya delloite .. alipata hepatitis b nikamuona stage zote mpaka kifo chake.. tamaa ya wanawake imeniondoka kabisa... demu hata akijilengesha namkwepa... mke wangu mwenyewe simuamini amini...

Mitungi ndio starehe yangu kipenzi na usingizi nikilewa

Tuma namba inbox za mke wako nataka nimpende
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom