Nna umri mdogo (21) namalza degree mwaka huu..nina maono ya maendeleo lakn nataman sn kuolewa..tymz za ucku natamani ningekua na mwanaume wangu nimpe mzigo tn nataman kuzalishwa hta mwaka huu. Hv ninavyotaman ni kawaida au ni ujinga ninao?
nashukuruSoma bibie soma... au unataka yakutokee yale ya
"Sifa ya Moyo Tamaa, Moyo Sifa yake kutamani
Tamaa ya moyo, yaweza kukweka matatizoni
Unatamani kuzaa, wakati bado upo shuleni...
subiri pm kutoka kwangusio ujinga nipm ntakushauri vizuri,
20% - Tamaa Mbaya - YouTubeSoma bibie soma... au unataka yakutokee yale ya
"Sifa ya Moyo Tamaa, Moyo Sifa yake kutamani
Tamaa ya moyo, yaweza kukweka matatizoni
Unatamani kuzaa, wakati bado upo shuleni...
nmekuskiaNi ujinga ulionao!Umri wako bado mdogo sana,kuwa na tamaa ya kugegedwa ni kawaida kwa umri wako lakini unatakiwa kuzishinda tamaa,utambue kuwa unatakiwa kuzingatia masomo kwanza sababu kuolewa kupo tu muda wowote unaweza kuolewa,tena utakapokuwa na elimu wanaume watakuja wa kila aina kazi itakuwa kwako ya kufanya uchaguzi!
Soma kwanza,acha ujinga
bac kesho nko bampa na pst wangu..shetan ashindweWew binti lazima unapepo la ngono sio bure
ntakwambia tu!Wewe huna vigezo vya huyo wa kukuoa/kukuzalisha!
Sent from my iPhone using JamiiForums app
Nna umri mdogo (21) namalza degree mwaka huu..nina maono ya maendeleo lakn nataman sn kuolewa..tymz za ucku natamani ningekua na mwanaume wangu nimpe mzigo tn nataman kuzalishwa hta mwaka huu. Hv ninavyotaman ni kawaida au ni ujinga ninao?
ukwel..wameolewa wotehujawaona wenye miguu mitatu hapo chuoni?
unahisi hutaolewa?
au kwa sababu wasichana wa rika lako baada ya kushindwa kuendelea na shule wana watoto/wameolewa?
maliza vema, tafuta ajira mambo mengine yatakuja
kumbuka: ktk kila jambo mtangulize Mungu