Atakua anamaanisha TAWLA - ( Tanzania Women Lawyers Association)
Wako Ilala Sharif Shamba.
Unataka kumshtaki nani mpenzi?
habari zenu ndugu zangu naomba mnifahamishe hii talwa ilipo na nitapoenda nimuone nani kwanza atakae nisaidia
Talwa lol kweli ww ni unlucky
he nimekosea wapenzi kumbe ni tawla,mume ananipelekesha sana nimechoka nimemvumilia sana
habari zenu ndugu zangu naomba mnifahamishe hii talwa ilipo na nitapoenda nimuone nani kwanza atakae nisaidia