Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,312
- 10,493
Ni suala la muda tu, Kabul itakuwa chini ya udhibiti wa Taliban. Kinachoendelea ni mashambulizi makali kutoka kila upande wa mji. Kiongozi wa Taliban anasisitiza kuwa hataki umwagaji wa damu na anawaomba askari wajisalimishe. Majeshi ya Serikali kibao yanasalimu amri. Rais Ghan kabaki kutoa matamko ya kishujaa yasiyo na tija, kifupi anachezea kichapo!
Anga la mji limetapakaa helikopta za USA katikati ya moshi wa mizinga zikiwawahisha watu wake Uwanja wa ndege wa Kabul ambapo wanapakiwa kwa ndege then wanahama nchi.
NB: America Hana perment friend wala permanent enemy, akishachukua anachokitafuta anakuacha ujifie katikati ya maharamia!!!
Update: Serikali imesema wananchi wawe na Amani, mazungumzo yapo pazuri... Taliban wapo getini, wameambiwa wasishambulie bila ulazima
Update: Taliban wameukamata Uwanja mkubwa wa Ndege wa Bagram na gereza lenye wafungwa 5000
Taliban wameahidi kuwasamehe viongozi wote wa Serikali.
Bado askari wa Taliban wameamriwa kukaa getini mwa mji, wasiingie mjini mpk waambie.
Wanawake wameombwa na Taliban kwenda kujificha mahali salama.
Wanaotaka kuondoka Kabul wameruhusiwa kuondoka anytime bila bugudha.
Anga la mji limetapakaa helikopta za USA katikati ya moshi wa mizinga zikiwawahisha watu wake Uwanja wa ndege wa Kabul ambapo wanapakiwa kwa ndege then wanahama nchi.
NB: America Hana perment friend wala permanent enemy, akishachukua anachokitafuta anakuacha ujifie katikati ya maharamia!!!
Update: Serikali imesema wananchi wawe na Amani, mazungumzo yapo pazuri... Taliban wapo getini, wameambiwa wasishambulie bila ulazima
Update: Taliban wameukamata Uwanja mkubwa wa Ndege wa Bagram na gereza lenye wafungwa 5000
Taliban wameahidi kuwasamehe viongozi wote wa Serikali.
Bado askari wa Taliban wameamriwa kukaa getini mwa mji, wasiingie mjini mpk waambie.
Wanawake wameombwa na Taliban kwenda kujificha mahali salama.
Wanaotaka kuondoka Kabul wameruhusiwa kuondoka anytime bila bugudha.