Kumbe Mange upo JFChaaaaa! Ndo great thinkers hawa..... ..
Hivi nikichika mnahisi ntabadilika nini? Mnadhani hii ni NTanzania. Gosh....
Kha Yani mlivyong'ang'ana nimeachika, Hivi Mnadhani Mimi Ndoa ndo Kila kitu Kwangu ?? Kha! Kwani nikiachika ntakuwa wa ngapi ? Anyways divorce za Marekani ziko public Embu nileteeni hiyo divorce yangu... Toka lini Mwanamke wa kipare akaachika nyie? Haachiki mtuuuuu.? Ulieleta topic unanichukia utadhani nilikuibia Bwana .... Bye bitches
Kumbe Mange upo JF
Achape Kazi? Ya kuuza K.Mange jembe letu, aliachwa Winnie Mandela sembuse Mange .Mange chapa kazi
Achape Kazi? Ya kuuza K.
Bhati mbaya ni yeye tu Mange, ila mama yako simtukani.Kama anavyouzwa mama ako
Katika wadada wanaotafuta kiki za pikipiki ni mange kimambi.eti tukupe ubunge! Wewe si mzungu gombania huko kwa wazungu wenzako. Kukosa ubunge isiwe sababu ya kuichamba serikali utakavyo. Siku marekani Kama manzese tu sasa wewe lingia huko kwa wazungu ukijua sisi washamba. If you have no discipline no member of parliament
Bhati mbaya ni yeye tu Mange, ila mama yako simtukani.
anhaa kumbe aiseeSiku nyingi hajaonekana humu labda alikula block ya maisha, ila ningependa awepo awe anajibu mashambulizi
Labda kwa tafsiri yenu inamaanisha kutokua na msimao kwenye chochote unachosimamia.leo kikiwa kibaya kesho kitakua kisafimno kama tu kinaleta na kutetea maslahi yako binafsi..........na mifano ya hili haiishii kwa Mange tu..najua unafahamuUnaelewa maana kamili ya demokrisia?
Unafiki kwa kwenda mbele...''Tumeona new faces ,na old faces zilizorudi ni watu wanaopiga kazi kweli kweki kama Magufuli,Mwakyembe,Nyalandu etc.
Unajua Tanzania ni nchi yenye potential sana.At the moment kuna matatizo kidogo ya utendaji kwenye uongozi mzima wa nchi na watu wenye uchu wa madaraka kama CHADEMA wanatumia matatizo tuliyonayo sasa hivi kuwadanganya wananchi kwamba CHADEMA ndio suluhisho.
Watanzania nina hili la kuwaambia siku mtakayo wakabidhi CHADEMA nchi yetu,labda mtakuwa na umeme kwenye majumba yenu,ila pia tutakuwa tunalala tukisikia sauti za mitutu ya bunduki next door.
Kwanini wewe kama mtanzania unayelalamika kuwa CCM hawaiongozi nchi vizuri kwanini wewe usiende kugombea ubunge huko CCM,au nyadhifa yoyote serikalini ili ubadilishe mambo? Mbona kuna vijana wengi mwaka jana wamegombea na wameingia mjengoni,kama January Makamba. Kuliko kukaa na kulaumu jiulize na wewe unaifanyia nini nchi yako,CHADEMA,NCCR MAGEUZI,CUF na upinzani mwingine wowote sio solution.Solution ni sisi wenyewe na sio kukabidhi nchi yetu watu wasio na experience, au chama kichanga kilichojaa wauza sura. BE WARNED MTANZANIA.''
hii ni sehemu ya interview aliyofanya na blog ya wazalendo25 sometimes back.Ona anachokifanya sasa akiwa kona ya hao hao Chadema!!
Mm pia nilisikia uliigiza nae pamoja.Jamani nasikia ni nwigizaji wa picha Za ngono NY. Eti ni kweli?
Mkuu ni kweli alisaidia CCM 2015 kushika madaraka tena2015???Mkuu albadir imekuchanganya nini?
Vitu gani vya akili anavyopost? Hebu leo tembelea ukurasa wake wa Instagram halafu nambie kipi cha maana zaidi ya kujiingiza kwenye ugomvi na chuki dhidi ya Zari? Angalia anavyoattack watu bila hata kuwa na evidences angalia anavyotaka kuondoa haki za watoto kwa sababu ya Chuki tu aliyonayo dhidi ya watu Fulani.Huu ni ujinga bora mage anaposting vitu vyenye akili mara nyingi hivi vingine ushuzi
Eti uharakati?! Kutoa siri za mamlaka serikalini mtandaoni nawo ni uharakati! Kweli tumekosa role models, angerudi na kushiriki kwenye pilikapilika za watoto yatima, elimu kwa wasiojiweza, kushiriki kujenga shule au hata uchimbaji visima kwa wanaohitaji huduma hapo tungeelewa, lakini post zimejaa matusi ya nguoni mwanzo mwisho hapo uharakati gani?!Vitu gani vya akili anavyopost? Hebu leo tembelea ukurasa wake wa Instagram halafu nambie kipi cha maana zaidi ya kujiingiza kwenye ugomvi na chuki dhidi ya Zari? Angalia anavyoattack watu bila hata kuwa na evidences angalia anavyotaka kuondoa haki za watoto kwa sababu ya Chuki tu aliyonayo dhidi ya watu Fulani. Sijawahi kumuona Mange kama mwanaharakati Bali mwanamke aliyezongwa na matatizo ya kila namna na anatumia ukurasa wake kujifariji.
Gwa kukajha hapo inaonekana wewe Ndio umetoka kule Santilya Jana. Mange alifanya kampeni 2015 akitegemea kupata walau nafasi ktk awamu hii kwa kampeni aliyoifanya. Na kumbuka kuwa alitoka Marekani akaja bongo kutaka kuwania ubunge wa Kinondoni lkn akatiwa ndani na ilimpasa aondoke tena baada ya kuhangaikiwa sana na Joyce Kiria pamoja na Mwanasheria wa Chadema kama sikosei Kibatala.Uandishi wako tu unaonyesha ndo umetoka Tunduru juzi ukahadhithiwa kuliko Mange ,eti anataka ubunge ,