Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Chaaaaa! Ndo great thinkers hawa..... ..
Hivi nikichika mnahisi ntabadilika nini? Mnadhani hii ni NTanzania. Gosh....
Kha Yani mlivyong'ang'ana nimeachika, Hivi Mnadhani Mimi Ndoa ndo Kila kitu Kwangu ?? Kha! Kwani nikiachika ntakuwa wa ngapi ? Anyways divorce za Marekani ziko public Embu nileteeni hiyo divorce yangu... Toka lini Mwanamke wa kipare akaachika nyie? Haachiki mtuuuuu.? Ulieleta topic unanichukia utadhani nilikuibia Bwana .... Bye bitches
Kumbe Mange upo JF
 
Katika wadada wanaotafuta kiki za pikipiki ni mange kimambi.eti tukupe ubunge! Wewe si mzungu gombania huko kwa wazungu wenzako. Kukosa ubunge isiwe sababu ya kuichamba serikali utakavyo. Siku marekani Kama manzese tu sasa wewe lingia huko kwa wazungu ukijua sisi washamba. If you have no discipline no member of parliament
 
Katika wadada wanaotafuta kiki za pikipiki ni mange kimambi.eti tukupe ubunge! Wewe si mzungu gombania huko kwa wazungu wenzako. Kukosa ubunge isiwe sababu ya kuichamba serikali utakavyo. Siku marekani Kama manzese tu sasa wewe lingia huko kwa wazungu ukijua sisi washamba. If you have no discipline no member of parliament

Uandishi wako tu unaonyesha ndo umetoka Tunduru juzi ukahadhithiwa kuliko Mange ,eti anataka ubunge ,
 
Unaelewa maana kamili ya demokrisia?
Labda kwa tafsiri yenu inamaanisha kutokua na msimao kwenye chochote unachosimamia.leo kikiwa kibaya kesho kitakua kisafimno kama tu kinaleta na kutetea maslahi yako binafsi..........na mifano ya hili haiishii kwa Mange tu..najua unafahamu
 
''Tumeona new faces ,na old faces zilizorudi ni watu wanaopiga kazi kweli kweki kama Magufuli,Mwakyembe,Nyalandu etc.

Unajua Tanzania ni nchi yenye potential sana.At the moment kuna matatizo kidogo ya utendaji kwenye uongozi mzima wa nchi na watu wenye uchu wa madaraka kama CHADEMA wanatumia matatizo tuliyonayo sasa hivi kuwadanganya wananchi kwamba CHADEMA ndio suluhisho.

Watanzania nina hili la kuwaambia siku mtakayo wakabidhi CHADEMA nchi yetu,labda mtakuwa na umeme kwenye majumba yenu,ila pia tutakuwa tunalala tukisikia sauti za mitutu ya bunduki next door.

Kwanini wewe kama mtanzania unayelalamika kuwa CCM hawaiongozi nchi vizuri kwanini wewe usiende kugombea ubunge huko CCM,au nyadhifa yoyote serikalini ili ubadilishe mambo? Mbona kuna vijana wengi mwaka jana wamegombea na wameingia mjengoni,kama January Makamba. Kuliko kukaa na kulaumu jiulize na wewe unaifanyia nini nchi yako,CHADEMA,NCCR MAGEUZI,CUF na upinzani mwingine wowote sio solution.Solution ni sisi wenyewe na sio kukabidhi nchi yetu watu wasio na experience, au chama kichanga kilichojaa wauza sura. BE WARNED MTANZANIA.
''
hii ni sehemu ya interview aliyofanya na blog ya wazalendo25 sometimes back.Ona anachokifanya sasa akiwa kona ya hao hao Chadema!!
Unafiki kwa kwenda mbele...
 
Huu ni ujinga bora mage anaposting vitu vyenye akili mara nyingi hivi vingine ushuzi
Vitu gani vya akili anavyopost? Hebu leo tembelea ukurasa wake wa Instagram halafu nambie kipi cha maana zaidi ya kujiingiza kwenye ugomvi na chuki dhidi ya Zari? Angalia anavyoattack watu bila hata kuwa na evidences angalia anavyotaka kuondoa haki za watoto kwa sababu ya Chuki tu aliyonayo dhidi ya watu Fulani.

Sijawahi kumuona Mange kama mwanaharakati Bali mwanamke aliyezongwa na matatizo ya kila namna na anatumia ukurasa wake kujifariji.
 
Vitu gani vya akili anavyopost? Hebu leo tembelea ukurasa wake wa Instagram halafu nambie kipi cha maana zaidi ya kujiingiza kwenye ugomvi na chuki dhidi ya Zari? Angalia anavyoattack watu bila hata kuwa na evidences angalia anavyotaka kuondoa haki za watoto kwa sababu ya Chuki tu aliyonayo dhidi ya watu Fulani. Sijawahi kumuona Mange kama mwanaharakati Bali mwanamke aliyezongwa na matatizo ya kila namna na anatumia ukurasa wake kujifariji.
Eti uharakati?! Kutoa siri za mamlaka serikalini mtandaoni nawo ni uharakati! Kweli tumekosa role models, angerudi na kushiriki kwenye pilikapilika za watoto yatima, elimu kwa wasiojiweza, kushiriki kujenga shule au hata uchimbaji visima kwa wanaohitaji huduma hapo tungeelewa, lakini post zimejaa matusi ya nguoni mwanzo mwisho hapo uharakati gani?!
 
Uandishi wako tu unaonyesha ndo umetoka Tunduru juzi ukahadhithiwa kuliko Mange ,eti anataka ubunge ,
Gwa kukajha hapo inaonekana wewe Ndio umetoka kule Santilya Jana. Mange alifanya kampeni 2015 akitegemea kupata walau nafasi ktk awamu hii kwa kampeni aliyoifanya. Na kumbuka kuwa alitoka Marekani akaja bongo kutaka kuwania ubunge wa Kinondoni lkn akatiwa ndani na ilimpasa aondoke tena baada ya kuhangaikiwa sana na Joyce Kiria pamoja na Mwanasheria wa Chadema kama sikosei Kibatala.

Kumbuka kipindi anataka kugombea ubunge tayari ndoa yake ilikuwa chali na alitaka kutumia kihezo hicho kuwa anatekeleza majukumu yake kama mbunhe Tanzania so watu wasingefuatilia kuhusu ndoa yake na nadhani alipata jeuri na kujiona kuwa yeye ni MTU Mwenye hadhi yake.

Baada ya matarajio yake kwenda kombo,si viti maalum,DAS wala nani sasa huyu Ndio Mange baada ya Matarajio yake kutokamilika.

Wape hi wa mporoto wote
 
Dah Kwa nahisi yake anayoweka.mpaka wanaume mmetukanwa ( ndio mambo ya pombe sio) halafu Ana mtoto teenagee na yeye yupo insta. Heshima iko wapi kwa mtoto wake? Mara wanaume huyu kanitaka hakuna asietongozwa bwana au Yule hana hela.angekuwa na hela angemuacha mzungu angemkubali mbongo.labda Kwa leo nisingizie pombe tu
 
Back
Top Bottom