Takwimu za CHADEMA toka 1995

Takwimu za CHADEMA toka 1995

huku ni kujidanganya.. kawaulize nccr mageuzi, mwaka 1995 walikuwa na wabunge kibao wa kuchaguliwa ambao hakuna chama kilichowahi kufikia hata hii chadema

Pole sana lkn lazima muishi kwa ma2main kwan cku zenu zinahesabika
 
huku ni kujidanganya.. kawaulize nccr mageuzi, mwaka 1995 walikuwa na wabunge kibao wa kuchaguliwa ambao hakuna chama kilichowahi kufikia hata hii chadema

wabunge wa majimbo NCCR mwaka 1995 walikuwa 24, wawili kati yao (Makongoro & Wassira) wakavuliwa ubunge mahakamani na mmoja (Mrema) akapoteza ubunge baada ya kuhama chama
- mwaka 2010 wabunge wa CHADEMA wa majimbo walikuwa 23 na mwaka mmoja na nusu baadae akaongezeka mmoja kupitia uchaguzi mdogo Arumeru Mashariki
USILINGANISHE VISIVYOLINGANISHIKA!
 
cjui km watafaulu wengi wao kurudi tena bungen maana hali ni mbaya sana kwao.
 
nakumbuka hivi karibuni msanii chamelion akiwa kwenye ndoto alijirusha ghorofani na kuvunjika viungo vya mwili wake ikiwa ni pamoja na kiuno

Mwambie msanii mwenzake JK. Najua mshahara wa kwanza utapata tarehe 7 Mei 2013! Najua mnapewa valeur kabla ya ku-log-in. Karibu umetukuta.
 
huku ni kujidanganya.. kawaulize nccr mageuzi, mwaka 1995 walikuwa na wabunge kibao wa kuchaguliwa ambao hakuna chama kilichowahi kufikia hata hii chadema

Misukule mna kazi sana; Kuilinganisha CHADEMA na NCCR-Mageuzi ni sawa na kulinganisha usiku na mchana.
 
hebu pitia takwimu fupi za chadema

mwaka1995 tulishinda wabunge 4, madiwani 42.

Mwaka2000, tulishinda wabunge 5 madiwani 75.

Mwaka 2005 wabunge 11 madiwani 103"

mwaka 2010 wabunge 48, madiwani. 467.

Itakua vp 2015 kama si kwenda ikulu? Mchango wako ni muhim sn kufanikisha chadema kushika dola.haa!!
brilliant
 
you long eyes but you dont see in swahili they may call you kipofu.

Mkuu hayo ndo matunda ya kukimbia umande kwa kuendekeza posho za Lumumba; Elewa hizo posho zina mwisho na mwisho wake umesha karibia. Sasa hapo umeandika nini, ni vyema ungetumia kiswahili tu tungekuelewa;
 
TIQO , I hope your not joking!
Nikitumia simple mathematics naona kama una fanya kichekesho fulani hivi hapa JF!.

Bunge la Tanzania lina jumla ya wabunge 231 na pia Tanzania ina jumla ya madiwani 4,453.

Nikiziangaliaa takwimu zako kama unavyotaka kubainisha kwenye msingi wa hoja yako, Tokea mwaka 1995 mpaka mwaka 2010, CHADEMA imekuwa ikipata wastani wa wabunge 15 kati ya 231 katika chaguzi kuu tatu za Taifa. Huku pia ikipata wastani wa madiwani 156 kati ya madiwani 4,453 wa Tanzania.

Simple equation, kama hiyo idadi utajumlisha na pia ukaangalia multiplier effect utakuwa unaleta kichekesho ukidai kwa takwimu hizi kama CHADEMA itakuwa chama tawala kwa idadi ya wabunge na madiwani.

Kwa takwimu hizi kama zitasimama zilivyo, CHADEMA come 2016 itakuwa na wabunge 63 out of 231 na pia itakuwa na madiwani 623 out of 4,453 but if, takwimu zako unataka zisimame kama upendavyo.

Kwa mtiririko huu, CHADEMA haitapata hata nusu ya wabunge wa bunge la Jamhuri ya Muungano la 2016 ili tuanze kufikiria uwezekano wa kuwa na nguvu bungeni katika upitishwaji au kutopitishwa kwa sheria mbali mbali bungeni.

Kwa mtaji huu, CHADEMA has a long walk to ruling party.
 
Hiyo ilikuwa NCCR mwaka 1995 na huku tunakoelekea ni CDM 2015 na hakika hautaamini yajiriyo kudadekii!


huku ni kujidanganya.. kawaulize nccr mageuzi, mwaka 1995 walikuwa na wabunge kibao wa kuchaguliwa ambao hakuna chama kilichowahi kufikia hata hii chadema
 
huku ni kujidanganya.. kawaulize nccr mageuzi, mwaka 1995 walikuwa na wabunge kibao wa kuchaguliwa ambao hakuna chama kilichowahi kufikia hata hii chadema
Angalia hiyo gradual increase usiangalie chama ambacho kiliibuka from nowhere na ghafla kikabeba umaarufu mkubwa. Mwaka 1995 NCCR mageuzi ilipata umaarufu mkubwa kwa sababu ya Mrema na si vinginevyo.
 
wewe kweli hamnazo kabisa. kapige kwanza mswaki halafu urudi tena hapa.

Dah! Hivi wewe sasa ndo unazo? Ina maana mtu asipokuwa na mawazo au mtizamo unaofanana na wa kwako ndo anakuwa hamnazo? Kumbe matusi tunajifunzia huku then tunayapeleka hadi bungeni. ustaarabu ni kupingana kwa hoja na sio maneno machafu.

Am out!
 
[TABLE="width: 259"]
[TR]
[TD]MWAKA[/TD]
[TD] Wabunge[/TD]
[TD] Madiwani[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]1995[/TD]
[TD="align: right"]4[/TD]
[TD="align: right"]42[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]2000[/TD]
[TD="align: right"]5[/TD]
[TD="align: right"]75[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]2005[/TD]
[TD="align: right"]11[/TD]
[TD="align: right"]103[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]2010[/TD]
[TD="align: right"]48[/TD]
[TD="align: right"]467[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]2015[/TD]
[TD="align: right"]144[/TD]
[TD="align: right"]1400[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
huku ni kujidanganya.. kawaulize nccr mageuzi, mwaka 1995 walikuwa na wabunge kibao wa kuchaguliwa ambao hakuna chama kilichowahi kufikia hata hii chadema

mi ndo maana nakuita wewe ni mpumbavu lete DATA hizo za NCCR
 
Magamba wakiona hizo takwimu wanaogopa kweli! Hakika ninaona mwanga mkubwa kuelekea ikulu 2015
 
Tutawapa viti vingi vya ubunge tu lakini c urais..
 
you long eyes but you dont see in swahili they may call you kipofu.

Those are you views!!! I am sure of my opinion. I can see further!!! I know wrong and right!! I can make valauble judgements!!! I am never a blind person!!! Even if my eyes may turn blind but mind and thoughts are unblind!!!
 
Ianze kwanza kupasuka ile ya upande mwingine kwa kuwa imejaa uongo, matusi, kejeli, ahadi hewa, udhaifu, ulegelege etc. Kwa haya na mengine ni lazima ngoma ipasuke. I am neutral civilian with an open mind, and long eyes!!

Mheshimiwa kweli??// yaani wewe ni "neutral civilian with an open mind, and long eyes!!"' nakukaribisha kwenye wenye mtazamo huo japokuwa sentensi zako mmmmh nukta zinakuwa nyingi..lol haujaathiriwa u C-quine i mean CHADEMA/CCM quin?....
 
Mheshimiwa kweli??// yaani wewe ni "neutral civilian with an open mind, and long eyes!!"' nakukaribisha kwenye wenye mtazamo huo japokuwa sentensi zako mmmmh nukta zinakuwa nyingi..lol haujaathiriwa u C-quine i mean CHADEMA/CCM quin?....

Mkuu hapana kabisa, usinielewe vibaya. Mimi siyo mwanachama wa chama chochote cha Siasa ila ni mpambanuaji wa masuala ya kisiasa na mpiga kura kwa kuwa nina kadi ya mpiga kura. Katika uchaguzi sifungamani na chama chochote, ninamchagua yule nionaye anafaa kuniongoza bila kujali itikadi yake. Kweli ukweli tusema ukweli kwa maslahi ya taifa.
 
Back
Top Bottom