manning
JF-Expert Member
- Apr 1, 2013
- 5,092
- 11,947
Hizo ni ndoto za abunwasi chadema kwisha baada ya kufunda ndoa na ukawa mchepuko sio dili baki njia kuu
I see watani zangu CCM hadi nawaonea huruma. Kama itapata hata wabunge 20 itkuwa bahati kubwa .Mr Sita mwenyekiti wa BMK kaimaliza kabisa, huku vijijini watu hawataki kusikia kabisa habari za CCM wanaitwa wasakiti na wanyang'anyi wa fedha za wanyonge huku watoto wao wakisomea chini ya miti na kukalia mawe na viloba vya mchanga.