Hizo takwimu zako siyo za kweli, 1995 Mkapa hakufikisha 85% isitoshe umeweka namba tu kwamba 2015 CCM ilipatata 57% lkn hausemi CCM ilishinda kwa tofauti ya Asilimia ngapi, hiyo ndiyo muhimu, kwa taarifa yako 2015 CCM ilishinda kwa tofauti ya kura Milioni 2 au tofauti ya 20%, sasa hii ni tofauti kubwa sana kuweza kusema ulivyosema kwamba mwisho wa CCM umekaribia, vyama ambavyo husema hivi huwa vinashindwa kwa tofauti ya labda ya kura kama 5000 hivi lkn CCM inashinda kwa tofauti ya kura Milioni 2 hlf unaongelea mwisho wa CCM? Ingekuwa CCM ilishinda kwa tofauti ya < 5% hapo sawa lkn 20% hilo pengo ni kubwa sana kuweza kuzibwa ndani ya miaka 4, unahitaji miaka 20 au chaguzi kuanzia 4 zijazo na Upinzani wamaintain trajectory waliokuwa nayo 2015 ili kuweza kusawazisha hiyo tofauti!
Usisahau chaguzi za Kata kati ya Kata 20 CCM inashinda Kata 19 na hii ni mwaka mmoja baada ya Uchaguzi Mkuu 2015, sasa utaona hakuna dalili kwamba mwisho wa CCM umekaribia,...