Naomba Takwimu tafadhaliJINI mnyonya damu Balekeee
Huyu jamaa ni nyokoLibaleke linajua
Goal 14 tangu afike simba
Mayele ana mengi ya kujifunza kwakeHuyu jamaa ni nyoko

amefunga mfululizo kwenye mechi tano (5) za mashindano yote [Ligi Kuu, Kombe la Shirikisho la TFF na Ligi ya Mabingwa Afrika].
️
️ vs Ihefu [NBC PL]
️
️
️ vs Ihefu SC [ASFC]
️ vs Raja AC [CAF CL]
️
️ vs Horoya AC [CAF CL]
️
️
️ vs Mtibwa Sigar [NBC PL]Mkuu Baleke apewe heshima, kumpambanisha na mtu mmoja sio sawa yule anatakiwa kupambana na kundi.
AajaajahaaMkuu Baleke apewe heshima, kumpambanisha na mtu mmoja sio sawa yule anatakiwa kupambana na kundi.
Paw kwani uzi ukisoma
Jean Baleke Vs Mayele & Musonda kuna shida gani
AhaahaahahView attachment 2583551
Mkuu jionee mwenyewe mavitu haya
Uzi ni wa baleke Vs musonda au tuwaruhusu mumuongeze na mayele ?Ahaahaahah
Mayele ashafunga mengi kama hayo
Leta jingine