Takwimu: Baleke vs Musonda

Haya wadau, hivi karibuni kupitia usajili wa dirisha dogo tumeshuhudia timu za Simba na Yanga zikifanya usajili wa kuboresha timu zao.

Takwimu hizi ni kwa timu za kuanzia Premier na kuendelea..msituletee takwimu sijui mmecheza na Mbuni fc huko..hapana.
Hizo takwimu ziko wapi Basi!
 
Back
Top Bottom