Data gani sasa ndo hivyo ushaambiwaLeta data kamili
Baleke goli tano Musonda goli 1 msimu unaoendelea 2023/2024.
Tunaendelea tulipoishia.
Msimu huu..Baleke goli tano top scorer na hatrick moja..vipi huko?!
Wale chuma hikooNimemshangaa..ili kuondoa ukakasi nimeanza upya na takwimu za msimu huu unaoendelea.
Hizo takwimu ziko wapi Basi!Haya wadau, hivi karibuni kupitia usajili wa dirisha dogo tumeshuhudia timu za Simba na Yanga zikifanya usajili wa kuboresha timu zao.
Takwimu hizi ni kwa timu za kuanzia Premier na kuendelea..msituletee takwimu sijui mmecheza na Mbuni fc huko..hapana.