Hata wanaume mbna, au kwa kuwa hawasemi?Kwa hii nchi ilipofika, inabidi kila mzazi mwenye mtoto wa kike ajitahidi juu ya uwezo wake kumjengea uwezo wa kimawazo na kifedha pia ili kumuepusha na hizi changamoto zilizopo hasahasa kwenye vitu kama rushwa ya ngono
Nao wanahitaji kumegwaifike mahali watendaji wakuu wa upangaji wa vituo wakuu wa taasisi wawe wote ni wanawake
Huu mfano huu!!!Kwamba walimu wanagawa sana nyapu akina to yeye huku wamevalia shanga 20 kiunoni! Na wanapenda sana doggy style huku mguu mmoja wameunyanyua juu!
Achana nae kaamua,umesahau huyu ndo anatetea kuliwa nyuma kwa wanaume.Mi namwangalia kwa darubinHuu mfano huu!!!
Jamaa kanisimamia ukucha leo
Pole sana....sehemu za siri za mwanamke mpumbavu ndizo zinazotesekaJamaa kanisimamia ukucha leo
SurePole sana....sehemu za siri za mwanamke mpumbavu ndizo zinazoteseka
Achana nae kaamua,umesahau huyu ndo anatetea kuliwa nyuma kwa wanaume.Mi namwangalia kwa darubin
Yaan we acha tyuuh.Jamaa kanisimamia ukucha leo
Tembo anaponzwa na mkonga..acha misambwanda iliwe..maisha yenyewe ndio haya haya...kesho hakuna aijuaye.Kuna wale madogo wanaitwa maafisa utumishi wanajigongea waalimu wenye misambwanda mpaka nawaonea wivu.....hakuna watu laini kama waalimu wa kike yaani akiwa na shida ni rahisi mno kutoa mzigo
Naenda nae taratibu aisee
Ushawahi kuwa na manzi mweupe ndani halafu avue nguo abaki naked..!!.Una ulimbukeni mwingi saana,kwahiyo kwako weupe ni uzuri
Sio kwangu,hata dada zako na baba ako wanajua weupe ndo uzuriUna ulimbukeni mwingi saana,kwahiyo kwako weupe ni uzuri
Baada ya kugundua uhalifu chombo cha dola kinachukua hatua gani!!! Kututangazia ktk media badala ya kuwanasa wahalifu!! Gross misuse of taxpayers hard earned monies.Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Dodoma imebaini kughubikwa na vitendo vya rushwa ya ngono katika upangaji wa vituo vya kazi kwa waajiriwa wa idara ya elimu.
Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Dodoma, Sosthness Kibwengo akitoa taarifa kuhusu utendaji wa taasisi hiyo, amesema TAKUKURU imefanya uchambuzi katika mifumo sita ikiwemo mfumo wa elimu na kubaini uwepo wa mianya ya rushwa katika sekta hiyo.
“Tumebaini kuwa maeneo hatarishi ya uwepo wa rushwa ya ngono ni katika upangaji wa vituo vya kazi kwa asilimia 72,” amesema Kibwengo.
Aidha ameeleza kuwa eneo lingine hatarishi kwa uwepo wa rushwa ya ngono ni eneo la uhamisho wa walimu ndani ya halmashauri hiyo ambayo ni kwa asilimia 63.
Hata hivyo ameongeza kuwa taasisi hiyo imefuatilia utekelezaji wa miradi 41 ikiwemo sekta ya ujenzi, afya, maji na elimu yenye thamani ya shilingi bilioni 11.2 na kubaini miradi 10 ina upungufu ikiwemo vifaa viinavyotumika kutokidhi ubora.
Chanzo: Swahili Times