It not right at all kumkamata Dr Mwakyembe;kisheria TAKUKURU walifanya kosa kubwa la kiufundi la kuwapigia simu wanaotaka kuhojiwa badala ya kuwatumia barua rasmi zenye kuhahakiwa kama wamezipata ili ziingizwe kwenye rekodi za ofisi yao!
!
Usipotoshe. Uchunguzi ni wa muda mrefu. Umekuwa public hivi karibuni tu. TAKUKURU kimsingi chombo cha dola chini ya Ofisi ya Rais (Head of State). Head of State yupo juu ya mihimili yote mitatu. Rais kama Head of the Executive ndio mhimili mmoja. Lakini kama Mkuu wa Nchi ni mlinzi wa Katiba na sheria zilizotungwa kwa mujibu wa Katiba. Mbona Tume ya Maadili ya Viongozi inaendesha zoezi la kuchunguza mali za wabunge kwa kutuita na kutuhoji hamna kelele.
Msitetee uhalifu. Acheni tuhojiwe na kama tuna makosa tuwajibike. Hakuna visasi hapa!
Ahaaa....unajua kwa sababu ni mmoja wao. Kama si mmoja wao sema umejuaje.
Tatizo lako una kaujeri jeuri flani hivi. You need to have a spirit of humbleness in you if you want to go further in your political career.
Mimi nimekuuliza wewe unajuaje hao wabunge wanafanya kama ulivyodai wanafanya. Wewe ukanijibu unajua. Kunijibu kuwa unajua hujajibu swali langu. Jibu swali, wewe umejuaje wanafanya hivyo? Siyo swali gumu hili.
And does it matter if you are clean or not? Of course it does. You can't be throwing all these stones while you live in a glass house.
And don't get it twisted. I know good and well that two wrongs don't make a right.
Usipotoshe. Uchunguzi ni wa muda mrefu. Umekuwa public hivi karibuni tu. TAKUKURU kimsingi chombo cha dola chini ya Ofisi ya Rais (Head of State). Head of State yupo juu ya mihimili yote mitatu. Rais kama Head of the Executive ndio mhimili mmoja. Lakini kama Mkuu wa Nchi ni mlinzi wa Katiba na sheria zilizotungwa kwa mujibu wa Katiba. Mbona Tume ya Maadili ya Viongozi inaendesha zoezi la kuchunguza mali za wabunge kwa kutuita na kutuhoji hamna kelele.
Msitetee uhalifu. Acheni tuhojiwe na kama tuna makosa tuwajibike. Hakuna visasi hapa!
Usipotoshe. Uchunguzi ni wa muda mrefu. Umekuwa public hivi karibuni tu. TAKUKURU kimsingi chombo cha dola chini ya Ofisi ya Rais (Head of State). Head of State yupo juu ya mihimili yote mitatu. Rais kama Head of the Executive ndio mhimili mmoja. Lakini kama Mkuu wa Nchi ni mlinzi wa Katiba na sheria zilizotungwa kwa mujibu wa Katiba. Mbona Tume ya Maadili ya Viongozi inaendesha zoezi la kuchunguza mali za wabunge kwa kutuita na kutuhoji hamna kelele.
Msitetee uhalifu. Acheni tuhojiwe na kama tuna makosa tuwajibike. Hakuna visasi hapa!
Naamini wale wote wanaojitambulisha kama ni wapiganaji wa ufisadi wangekuwa wasafi ama hata kutubu yale machafu yao yaliyopita na kuacha wanayoyaendeleza sana, msingeweza kuyumbishwa. kukosa MORAL AUTHORITY (mamlaka ya kimaadili) ndiko kunakowayumbisha na sio serikali ambayo nayo pia ina haki ya kutumia mapungufu yetu kulinda maslahi yake pale yanapotishiwa.=jethro;639454
Kaeni mkijua serikali inajua vyema jinsi ya kutuyumbisha muda wote huo
Jee hilo linafanya hiyo tabia ama huo utamaduni wa kupokea na wakati mwengine kulazimisha kupewa malaki na mamilioni ya posho za ziada ya zile mlizo na haki nazo kuwa Sawa, halali na sio kukiuka maadili ya uongozi ama utanzania?tokea 1979 iyo posho 2 ipo al over the suddny wamekuja na iyo issue yao wanadhani sie ni mambumbumbu nini??
Yaani wakati mnashangilia na kutetea uozo wenu hamuaoni kuwa mnayaweka maisha ya watoto wao ama wenu pia hatarini...mnapoumbuliwa katika maslahi yenu basi imeshakuwa chokochoko. Na pia acha kujidanganya, kukiripuka ni wewe na watoto kama unao ama ndugu na jamaa zako pia yatawakuta yaliyowakuta wa Rwanda na Burundi.wanajipotezea muda na kujiwekea maisha ya watoto wao pabaya ni meisha waonya na kuwaambia Rwanda na Burundi ilianza chokochoko kama hizi na viongozi wakapuuzi kilichotokea buuuuuummmmm Vita ndiko huko viongozi wetu wanatupeleka.
Na mojawapo ya sababu ya kuwa hapo ni huu ushabiki hovyohovyo na ubutu wa kufikiria kwa kina nini haswa chanzo cha matatizo yetu. Kukosa maadili kwa baadhi ya wabunge wetu kama viongozi wengine ni moja ya sababu hizo na ubinafsi wa kulinda maslahi binafsi kama ambavyo wabunge wanaopinga TAKUKURU kuendelea na uchunguzi wa kashfa hii ya posho ni sababu pia....kwani wameshindwa kututoa mahali tulipo kwa ajili ya maslahi yao binafsi hawaju chakurekebisha ni kipi nanikipi cha kufanya nchi isonge mbele. Ukweli ni kwamba nchi iko nyuma sana kimaendeleo ilo liko wazi na serikali hii haicha move hata step mbili mbele
Huyu Masiha feki unayemzungumzia hapa ni nani?
- Mkuu Fundi, hatuwezi kukoroma tu for the sake of kukoroma ili tuonekane tunakoroma bila kujua sheria iliyovunjwa, kila mwananchi yuko innocent until proven otherwise na hakuna aliyejuu ya sheria wala aliye chini, ingawa that is not the case na taifa letu,
William.
Kaka unajua Mramba alihojiwa na kufikishwa mahakamani akiwa Mbunge? Unajua stori ya yule mbunge wa Morogoro aliyeburuzwa na Landrover la Polisi kwa madai ya Maji? Hawa nani alikuja hapa kuwatetea na kusema tawi la utendaji lisiingilie Bunge?
Kuna tatizo la msingi katika Taifa letu na katika mfumo wa Bunge. Fanya tafiti zako, ni Bunge la Tanzania tu duniani ndilo halina utaratibu wa kudhibiti mienendo ya Wabunge. Nchi nyingine wana mtu anaitwa Kamishna wa mienendo (Office of the Commissioner for standards). Huyu huchunguza mienendo na ile ambayo ni ya kijinai huenda katika jinai na ile ya kimaadili (hili la posho ninadhani ni la kimaadili) linakwenda kamati ya Maadili na kisha Bunge kutoa adhabu.
Mwaka 2004 Sheria ya maadili ilirekebishwa ili Bunge lipitishe 'code of conduct' kwa wabunge. Mpaka leo hatujapitisha. Mwaka 2008 niliwasilisha muswada binafsi ili kuunda code na kisha kuunda ofisi ya Kamishna huyu. Mpaka leo Ofisi ya Spika imekalia muswada huu na kukataa kuupeleka kuwa gazzetted ili ujadiliwe Bungeni.
Hivi MwanaKijiji unajua wabunge wanasafiri kwa mabasi kutoka Dar kuja Dodoma na wanagushi risiti kuwa wanakuja kwa magari yao na wanalipwa. Unajua Wabunge wakiwa hawapo Bungeni au kwenye Kamati wanasainiana posho za vikao?
Tunafanya makosa, halafu hakuna code wala mamlaka ya kutuchunguza halafu tuachiwe. Hapana. Mwanakijiji wewe kwa heshima yako hupaswi kutetea uvunjifu wa maadili.
Waache TAKUKURU wafanye kazi yao. Lazima Wabunge tujue kuwa hatupo juu ya sheria na kwamba tupo accountable na answerable kwa vitendo vyetu (for actions and inactions).
Wale wote wanaojidai kuwa wao nido MASIHA wa matatizo yetu na wako mstari wa mbele kuwakomboa watanzania wakati wao wenyewe wamejaa uchafu, uozo, nia mbaya, chuki, ubaguzi, siasa hovyohovyo, ukosefu wa maadili na zaidi tamaa ya wao kufanikisha THEIR TURN TO EAT....
Chagua mwenyewe, mimi ninao wangu wengi tu...na nimekuwa nikiwataja kwa uwazi kabisa...
Hivi ni vitisho mkuu, hujui kilicho nyuma ya Rwnada na Burundi.
Hata kama siyo safi yuko tayari kuchunguzwa. Na wengine wakubaliUnaamini Zitto yeye yuko msafi na hafanyi kama anavyodai wengine wanavyofanya?
Mkuu Mwenzangu Mwanakijiji,
Hizo ni nadharia tu na hii inaonesha ni mapenzi gani uliyonayo na yakiyo kubuhu kwa Mwakyembe.Naomba kukwambia kuwa Unapenda sana ushabiki na hili nilishakuonya muda mrefu na hautaki kuliacha.
Sauala la mwakyembe kuhojiwa halina uhusiano wowote na kwamba itafikia stage watu watanyamazishwa.Mwakyembe kachukua posho mara mbili which ni wizi kama anavyosema zito na mimi namuunga mkono zito
Cha msingi ,Mwakyembe ahojiwe na kama vipi afunguliwe mashtaka ya Rushwa.Hatuwezi kuwa na watu ambao hawashikiki eti kisa ni kamamnda wa ufisadi.
ukamanda gani huo wakati hata ubunge alioupata aliupata kwa kutoa Rushwa.au ukamanda ni kwa ajili ya watu wachache ambao yey hawapendi?
Mpaka sasa naunga Mkono Dr. Edward Hoseah na PCCB kuwa jamaa ahojiwe na afikishwe mahakamani kwa kukika sheria ya Rushwa ya mwaka 2007.
kuhusu Kinga ya Mbunge,Kinga ipo katika hoja za bunge tu na siyo kwenye tabia ya kula posho mara mbili.
Duh,
Naona sasa JF imekuwa kama michezo ya kidali poh. Yaani mkuu waberoya umeamua kuongea utumbo kiasi hiki. Kwamba unaleta michezo ya kitoto ya kutaka kuonekana nani popular vile. Yaani mambo yale ya high school kind of.
Mf:
Waberoya -- baba yangu anamzidi baba yako
Zitto -- no, baba yangu ni bora kuliko baba yako
mwanajf mwingine -- baba yangu ni askari polisi wakati baba yako ni mlinzi
waberoya -- baba yangu akitoka kuoga nyumba yote inajaa moshi
Zitto -- nyie hamnijui mimi kuwa ni mbunge kwa hiyo baba yangu ni mdosi.
mwanajf mwingine -- acha hizo wewe, ndio maana una koti la njano.
waberoya -- nyie wote na baba zenu mkichanganywa na maji mnabaki maji tu
kengele inagongwa na watoto wanakimbia kurudi darasani.
Haya ya umbea na jinsia za kiume na kike sijui yameingia vipi hapa? Au ndio kuishiwa huku?
wakati huo huo wakati wakiwa darasani ***
waberoya -- unajua ukoo wetu ni mkubwa kuliko wa mwalimu sayi?
Zitto -- acha hizo wewe, ukoo wangu unazidi wa kwako na mwl Sayi.
*** Mwl Sayi -- hivi nyie hapo si mnyamaze?
Waberoya -- sawa mwl tutanyamaza baada ya huyu chakubanga hapa
mwanajf mwingine -- unamwita nani chakubanga?
waberoya -- wewe hapo na baba yako polisi
*** Mwl Sayi -- nyie watoto acheni bange zenu
Waberoya -- hapana mwl, siyo bange, ni bangi
Mwl Sayi - what.......ever!!!!!!!!
Waberoya (huku akimgeukia Zitto) -- au wewe unasemaje?
Zitto -- je kwenye nini?
Waberoya -- ni bange au bangi?
Zitto -- ni bange
Waberoya -- wewe nawe sasa unaniangusha
Flap flap flap flap (mwl Sayi anasogea taratibu)
*** Hivi nyie mna matatizo gani?
Zitto -- sio mimi mwl, ni hawa wachagga (huku akinyoosha kidole)
Mwanajf mwingine -- mimi sio mchaga, mimi ni msukuma
Waberoya -- si ulisema wewe mnyaki?
***** makelele kibao hata hawaeleweki ...
Zitto -- Nani kasema yeye mnyaki?
Waberoya -- sio wewe mheshimiwa zitto, ni huyu mtoto wa polisi!
Zitto -- ah haaa
Mwl Sayi -- Zitto na waberoya, wachaga wamewakosea nini?
waberoya -- simu yangu imeishiwa chaja
Mwl Sayi -- simu ya nini sasa hapa?
Waberoya -- sio lazima ujibiwe..... message sent.
Yes ... Ni bange na sio bangi.
Hili la kusema kuwa hakuna sheria iliyovunjwa ndilo hilohilo linalotumika kuwaacha watuhumiwa lukuki wa UFISADI kuendelea na madaraka na majukumu yao. Watuhumiwa ambao hata badhi yao walivyolazimika kuwajibika kisiasa bado tunashurutisha tena kwa mwamko mkubwa sana kuwa waendelee kuwajibishwa kichama na kisheria hata kama tunajua kuwa kuna uwezekano mkubwa sheria hizohizo zinawapa upenyo mkubwa wa kutokea...
Uongozi ni zaidi ya kufuata sheria tu hata kama zina mapungufu. Uongozi ni suala la maadili. Maadili kaka taifa, chama, serikali, jamii na hata ule upeo wa kibinadamu tu....
Je, kitendo cha kupokea na wakati mwengine kwa moja ka moja ama kwa kificho kulazimisha kupewa posho zaidi ya ile halali wanayopewa na bunge sio ukosefu wa maadili wao kama viongozi?
Je, unadhani ni haki watanzania kuendelea kuaminishwa kuwa ukosefu wa maadili wa aina hiyo ni sawa mradi kwa kuwa hakuna sheria inayokataza.
Je unadhani kuwa hiyo vita ya UFISADI itafanikiwa huku ikiongozwa na watu waliokosa Utimilifu na Mamlaka ya Kimaadili (MORAL AUTHORITY) kama hawa "WAPIGANAJI" wetu/wenu?
Tujisahihishe jamani kabla hatujazama katika janga linalotujongea.....
Kujisafisha wenyewe kwanza na ndiko kutatuwezesha kusafisha mfumo kama ambavyo tunapenda kujiaminisha ndio nia zetu...
KUmbe hapa kuna tatizo kubwa sana la kikatiba. Kama rais ni mkuu wa mhimili mmoja na wakati huo huo ni mlinzi wa mihimili ile miwili mingine, inapotokea akaegemea ule mhimili ambao yeye ni mkuu wake(serikali), nani atamkemea na kumrekebisha?. TAKUKURU kimsingi chombo cha dola chini ya Ofisi ya Rais (Head of State). Head of State yupo juu ya mihimili yote mitatu. Rais kama Head of the Executive ndio mhimili mmoja. Lakini kama Mkuu wa Nchi ni mlinzi wa Katiba na sheria zilizotungwa kwa mujibu wa Katiba.
!
Siyo walipokuwa wabunge, hata sasa hivi watueleze wanapoenda ziara ziwe za ndani au nje ya nchi serikali haiwalipi posho? Mbona huku tunachangishwa kuwapokea na tunawalaza na kuwalisha - je posho hizo wanazitumia lini?Naomba niulize maswali.
6. Pinda na JK walishapokea kiasi gani wakati wakiwa wabunge?