Mlangaja
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 579
- 218
Katika vitabu vitakatifu, kitu ambacho hutakatifuza watu, yaani husafisha najisi huitwa sadaka. Kwa miaka michache takukuru imekuwa ikafanya kazi ya kutakasa watu. Yaani mtu anakuwa na tuhuma fulani takukuru inamtakasa. Kiongizi amefanya jambo fulani takukuru inamtakasa.
Jamini naomba mnisaidie, je takukuru ni chombo cha kiserikali cha kutakasa viongozi? Je takukuru iliwekwa kwa madhumuni ya kuwa sadaka ya kutakasa watu? Naombeni msaada.
Jamini naomba mnisaidie, je takukuru ni chombo cha kiserikali cha kutakasa viongozi? Je takukuru iliwekwa kwa madhumuni ya kuwa sadaka ya kutakasa watu? Naombeni msaada.