Katika uchumi unao tukuza wewekezaji wa nje, (foreign investor) wtznia tuacheni kilalamilalamika tuanzishe kazi zetu kwa kuweka mitaji yetu pamoja.
Hao Takukuru wakienda hapo wanapewa bahasha wanatuliaSasa itakuwaje maana jamaa anasema takukuru barua hawajibu! Mbinu zote za amani walizojaribu wameshidwa...!!! Nikumpa kichapo tu maana kama wana nyanyasika nini kifanyike na wao wamnyanyase
Pale Mambo ya ndani hususan waziri wake, mkurugenzi wa uhamiaji watupe jibu. Kwa nini wanaendelea kuwapa watu wasio na vigezo vibali vya kukaa na kufanya kazi bongo ilhali watoto wao wenyewe hawana kazi?Hat Toyota nako wamerudi wahindi wamejazana kwa Kaz ambzo watz wanaweza kufanya
Hali imerudi Kama zamani
Jitendra alikuja nchini mnamo. 2012 baada ya kuondoka Vijay. Alipokuja alianza kufukuza wafanyakazi watatu nguli waliokua chini yake akishirikiana na George Hassan ili kujiweka vizuri katika ubadhirifu.
Kitendo Cha kampuni inayoingiza makontena mengi kuingia ubia na ICD tayari ni pesa nyingi kwa anayeingia mkataba kwa sababu ya storage. Anahakikisha makontena yana accrue storage then siku ya kuyatoa wanagawana storage ambayo si haba. Kontena moja ni dola 40 kwa siku..
Piga kwa kontena 80 zikae icd mwezi mzima kwa mzigo mmoja?
Pepsi wanaingiza kontena 2000 za sukari kila mwaka.
Kwanini mtu wa nje akae miaka 11 nchini? Jitendra hata ujuzi wowote wa kitisha kabla ya kuja Tanzania alikua anauza mafriji Fiji islands.
Hawa chupri Chupri wapuuzi Sana, kuna kiwanda kimoja utakuta mtu mmoja ni supervisor, huyo huyo manager, huyo huyo specialist halafu yuko na certificate. Kipindi cha mwendazake walinyooka kama rular ila kwa serikali hii mpechempeche wanamalizia hasira zao kwa wazawa na hakuna wa kuwafanya lolote.Ndani ya Kampuni inayotengeza Vinywaji baridi vya Pepsi(SBC LTD). Kumekuwa na Ubaguzi, Unyanyasaji na Uonevu wa kila aina kutoka kwa Wenzetu wa India.
Hivyo tunaomba TAKUKURU, Uhamiaji na Wizara ya Kazi ilifnayie kazi.
Wafanyakazi Walishawahi kumuandikia Barua Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU lakini hakuna hatua zozote zilizochukuliwa.
Jitendra Shechwat Sign ndo analalamikiwa sana sababu anajihisi kwamba ana uwezo wa kifedha wa kufanya chochote na ni rafiki Mkubwa wa Watendaji Serikali.
Jitendra alifukuzwa nchini na Serikali mwaka jana 2021 baada ya vibali vyake vya kufanya kazi/kuishi kumalizika. Lakini baada ya Kifo Magufuli, Wakabadilisha mafile kiujanjaujanja ili asionekane muda wa kibali cha kazi uliiaha, akarudi mwaka huo huo na kupata kibali kingine kilichosainiwa na Waziri mwenye dhamana(Hii ndo ichunguzwe pia).
Nawashauri TAKUKURU waanze kumhoji Alex Ngwebe Foti Nyirenda sababu ndo mwenye ukaribu na Watendaji wa Serikali. Hata hawa Wageni wakiitwa wanamtuma yeye kesi inaisha.
Bwana Jitendra kama akifanikiwa kumaliza kibali chake cha kazi kwa sasa atakuwa amefanya kazi miaka 11 katika kazi ya procurement lakini anajiita general manager Planning.
Tangu amerudi amekuwa mnyanyasasi mkubwa kwa Wazawa hasa wafanyakazi wa Kitanzania kwa kushirikiana na mhindi mwenye asili ya Tanzania aitwae Sachin.
Pia amehamisha kazi zilizokuwa zikifanywa na kampuni za wazawa na kuzipeleka kwa kampuni ya kihindi (Ralcot)
Kampuni zilizonyang'anywa kazi ni MC Juro, Isumba Maritime, PMM ICD, DICD zote za Watanzania ambazo zilikuwa zinamikataba ya kazi.
Kazi zote wamepewa ICD moja tu ya HESU investment kwa kushirikiana na Ralcot.
Swali ni;
Kwanini Wageni wapewe kazi zinazoweza kifanywa na Watanzania?
Mtaani watu hawana ajira lakini Wageni kutoka India Wamejazana Viwandani kufanya kazi ambazo Watanzania wanaweza fanya.
Mwaka jana Gazeti la The Guardian walimhoji imekuaje yupo Nchini akadai yeye si Msemaji.
View attachment 2154923
Pia hii ni Barua Wafanyakazi Waliandikia TAKUKURU ambayo haikujibiwa wala kufanyiwa kazi
View attachment 2154925View attachment 2154926
View attachment 2154929
Pia unaweza soma kwa kina wanaolalamikiwa hapa. Japo imeandikwa SIRI, hakuna Siri yoyote kwenye jambo Ovu, inatakiwa iwe wazi kila mtu aone.
View attachment 2154939View attachment 2154940
Tunaomba Vyombo vya Serikali mfanyie kazi.
Ikibidi pitisheni Sensa kwenye haya Makampuni ya Kigeni tujue wapo wangapi na wanafanya nini.
Uhamiaji fanyeni kama Mlivyofanya CI GROUP.
Soma;
1). Bomu la Kampuni ya Wahindi yaanikwa
2). Wafanyakazi CI-Group walipa faini ya Sh 52 milioni
Kitu msichoelewa ni kwamba, SBC sio kampuni ya Wahindi. Wahindi wapo pale kama wafanyakazi ila maboss.Wamnyanyase kwa nguvu gani ya hela waliyo nayo?
Watu wanategemea watoto wao watengeneze uchochoro wa kuelekea chooni kupitia hio kazi ya SBC Tz Ltd kwa huyo huyo kanjibahi. Lazma wavumilie unyanyasaji tu ili maisha yaenda na hicho kidogo kiendelee kupatikana.
Pia kwa polisi njaa njaa hawa anaweza tuma kibaraka tu akakuweka ndani kwa sh 1 million tu ukateseka ndani kwa kosa la kubambikiwa.
Tunaweka mitaji, tunaanzisha kampuni ili tupate tenda ya kuwasaidia wageni. Sasa kampuni itafanya Nini kama wageni wanakuja na wageni wao?Katika uchumi unao tukuza wewekezaji wa nje, (foreign investor) wtznia tuacheni kilalamilalamika tuanzishe kazi zetu kwa kuweka mitaji yetu pamoja.
Hujawah fanya na wahind kwanza hawafuati sheria za nchiIncomptent culture ni tatizo kubwa sana Tanzania, unaweza kuta malalamiko ya hawa wafanyakazi chanzo chake ni kubanwa kwa mirija ya wizi.....halafu takukuru hii tabia ya kupewa taarifa na kukaa kimya imekuwa tabia yao sugu hii inaonyesha pia wao pia sio comptent eneough kwa nafasi walizopewa
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Ethiopia wale kabila la oromia walikua wanawapiga risasi yaan ufungue kiwanda usiwaajiri wazawa hao ma-experts wako wote watakua wanawindwa na risasi huko mtaaniSasa itakuwaje maana jamaa anasema takukuru barua hawajibu! Mbinu zote za amani walizojaribu wameshidwa...!!! Nikumpa kichapo tu maana kama wana nyanyasika nini kifanyike na wao wamnyanyase
Watanzania ni waoga mno na wabinafsi mno, ushenzi huu hawawezi kuufanya hapo SA maana raia wake wangewapelekea moto mkali, why wafanyakazi hapo wakawaonyesha hao wahindi kuwa hii nchi ni ya kwetu, Watanzania mmezoea watu wawapiganieni wakati mmejificha kwenye vivuli vyenu, iam sorry Sina hata chembe ya huruma kwenu, amkeni amkeni na ondoeni woga, watu lazima wafe kwa ajili ya mafanikio ya next generation,elewa hao maafisa wa kitanzania wanaishi maisha bora,wanatibiwa kwenye private 🏥, au nje, watoto wao wanasoma private schools au nje, uoga wenu ndio umeyaleta haya, huyo mhindi hawezi akaleta ushenzi huo hapo Botswana 🇧🇼 atarudishwa india in a plastic bag.Ndani ya Kampuni inayotengeza Vinywaji baridi vya Pepsi(SBC LTD). Kumekuwa na Ubaguzi, Unyanyasaji na Uonevu wa kila aina kutoka kwa Wenzetu wa India.
Hivyo tunaomba TAKUKURU, Uhamiaji na Wizara ya Kazi ilifnayie kazi.
Wafanyakazi Walishawahi kumuandikia Barua Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU lakini hakuna hatua zozote zilizochukuliwa.
Jitendra Shechwat Sign ndo analalamikiwa sana sababu anajihisi kwamba ana uwezo wa kifedha wa kufanya chochote na ni rafiki Mkubwa wa Watendaji Serikali.
Jitendra alifukuzwa nchini na Serikali mwaka jana 2021 baada ya vibali vyake vya kufanya kazi/kuishi kumalizika. Lakini baada ya Kifo Magufuli, Wakabadilisha mafile kiujanjaujanja ili asionekane muda wa kibali cha kazi uliiaha, akarudi mwaka huo huo na kupata kibali kingine kilichosainiwa na Waziri mwenye dhamana(Hii ndo ichunguzwe pia).
Nawashauri TAKUKURU waanze kumhoji Alex Ngwebe Foti Nyirenda sababu ndo mwenye ukaribu na Watendaji wa Serikali. Hata hawa Wageni wakiitwa wanamtuma yeye kesi inaisha.
Bwana Jitendra kama akifanikiwa kumaliza kibali chake cha kazi kwa sasa atakuwa amefanya kazi miaka 11 katika kazi ya procurement lakini anajiita general manager Planning.
Tangu amerudi amekuwa mnyanyasasi mkubwa kwa Wazawa hasa wafanyakazi wa Kitanzania kwa kushirikiana na mhindi mwenye asili ya Tanzania aitwae Sachin.
Pia amehamisha kazi zilizokuwa zikifanywa na kampuni za wazawa na kuzipeleka kwa kampuni ya kihindi (Ralcot)
Kampuni zilizonyang'anywa kazi ni MC Juro, Isumba Maritime, PMM ICD, DICD zote za Watanzania ambazo zilikuwa zinamikataba ya kazi.
Kazi zote wamepewa ICD moja tu ya HESU investment kwa kushirikiana na Ralcot.
Swali ni;
Kwanini Wageni wapewe kazi zinazoweza kifanywa na Watanzania?
Mtaani watu hawana ajira lakini Wageni kutoka India Wamejazana Viwandani kufanya kazi ambazo Watanzania wanaweza fanya.
Mwaka jana Gazeti la The Guardian walimhoji imekuaje yupo Nchini akadai yeye si Msemaji.
View attachment 2154923
Pia hii ni Barua Wafanyakazi Waliandikia TAKUKURU ambayo haikujibiwa wala kufanyiwa kazi
View attachment 2154925View attachment 2154926
View attachment 2154929
Pia unaweza soma kwa kina wanaolalamikiwa hapa. Japo imeandikwa SIRI, hakuna Siri yoyote kwenye jambo Ovu, inatakiwa iwe wazi kila mtu aone.
View attachment 2154939View attachment 2154940
Tunaomba Vyombo vya Serikali mfanyie kazi.
Ikibidi pitisheni Sensa kwenye haya Makampuni ya Kigeni tujue wapo wangapi na wanafanya nini.
Uhamiaji fanyeni kama Mlivyofanya CI GROUP.
Soma;
1). Bomu la Kampuni ya Wahindi yaanikwa
2). Wafanyakazi CI-Group walipa faini ya Sh 52 milioni
Hivi SBC ni kampuni ya mhindi?Ndani ya Kampuni inayotengeza Vinywaji baridi vya Pepsi(SBC LTD). Kumekuwa na Ubaguzi, Unyanyasaji na Uonevu wa kila aina kutoka kwa Wenzetu wa India.
Hivyo tunaomba TAKUKURU, Uhamiaji na Wizara ya Kazi ilifnayie kazi.
Wafanyakazi Walishawahi kumuandikia Barua Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU lakini hakuna hatua zozote zilizochukuliwa.
Jitendra Shechwat Sign ndo analalamikiwa sana sababu anajihisi kwamba ana uwezo wa kifedha wa kufanya chochote na ni rafiki Mkubwa wa Watendaji Serikali.
Jitendra alifukuzwa nchini na Serikali mwaka jana 2021 baada ya vibali vyake vya kufanya kazi/kuishi kumalizika. Lakini baada ya Kifo Magufuli, Wakabadilisha mafile kiujanjaujanja ili asionekane muda wa kibali cha kazi uliiaha, akarudi mwaka huo huo na kupata kibali kingine kilichosainiwa na Waziri mwenye dhamana(Hii ndo ichunguzwe pia).
Nawashauri TAKUKURU waanze kumhoji Alex Ngwebe Foti Nyirenda sababu ndo mwenye ukaribu na Watendaji wa Serikali. Hata hawa Wageni wakiitwa wanamtuma yeye kesi inaisha.
Bwana Jitendra kama akifanikiwa kumaliza kibali chake cha kazi kwa sasa atakuwa amefanya kazi miaka 11 katika kazi ya procurement lakini anajiita general manager Planning.
Tangu amerudi amekuwa mnyanyasasi mkubwa kwa Wazawa hasa wafanyakazi wa Kitanzania kwa kushirikiana na mhindi mwenye asili ya Tanzania aitwae Sachin.
Pia amehamisha kazi zilizokuwa zikifanywa na kampuni za wazawa na kuzipeleka kwa kampuni ya kihindi (Ralcot)
Kampuni zilizonyang'anywa kazi ni MC Juro, Isumba Maritime, PMM ICD, DICD zote za Watanzania ambazo zilikuwa zinamikataba ya kazi.
Kazi zote wamepewa ICD moja tu ya HESU investment kwa kushirikiana na Ralcot.
Swali ni;
Kwanini Wageni wapewe kazi zinazoweza kifanywa na Watanzania?
Mtaani watu hawana ajira lakini Wageni kutoka India Wamejazana Viwandani kufanya kazi ambazo Watanzania wanaweza fanya.
Mwaka jana Gazeti la The Guardian walimhoji imekuaje yupo Nchini akadai yeye si Msemaji.
View attachment 2154923
Pia hii ni Barua Wafanyakazi Waliandikia TAKUKURU ambayo haikujibiwa wala kufanyiwa kazi
View attachment 2154925View attachment 2154926
View attachment 2154929
Pia unaweza soma kwa kina wanaolalamikiwa hapa. Japo imeandikwa SIRI, hakuna Siri yoyote kwenye jambo Ovu, inatakiwa iwe wazi kila mtu aone.
View attachment 2154939View attachment 2154940
Tunaomba Vyombo vya Serikali mfanyie kazi.
Ikibidi pitisheni Sensa kwenye haya Makampuni ya Kigeni tujue wapo wangapi na wanafanya nini.
Uhamiaji fanyeni kama Mlivyofanya CI GROUP.
Soma;
1). Bomu la Kampuni ya Wahindi yaanikwa
2). Wafanyakazi CI-Group walipa faini ya Sh 52 milioni
Na Watumiaji wa bidhaa waunge mkono bidhaa za nyumbani.Katika uchumi unao tukuza wewekezaji wa nje, (foreign investor) wtznia tuacheni kilalamilalamika tuanzishe kazi zetu kwa kuweka mitaji yetu pamoja.
So, kwa nini hao wenye kiwanda, ambao ni wabongo, wanaajiri wahindi? Tujiulize kwa nn?Kitu msichoelewa ni kwamba, SBC sio kampuni ya Wahindi. Wahindi wapo pale kama wafanyakazi ila maboss.
Je huyu Samson Nyirenda ambaye Yuko G4S Security ni Cash in logistics manager mbeya, ni kati Yao hao kina Nyirenda?Wewe ndiye hujui kitu. Soma hata Historia ya Alexander alopandisha Bendera alizaliwa wapi? Na unajua huko likizo ya Malawi walienda kwa nani?
Nyirenda alizaliwa tarehe 2 Februari 1936 Karonga Malawi, wakati wazazi wake wakiwa katika likizo ndefu ya Krismasi kutoka Tanganyika.
Wewe unayemsema alishajifia. Usitishwe na majina.. Watanzania wangapi wana Uraia wa Marekani na Norway? Kama Alex rafiki yako Muulize Vizuri ana Uraia wa Wapi.
Wakina Kagame Kabila, Museveni na wengine wengi wamesoma Tanzania tena shule ulizozitaja na wamefanya kazi. Watoto wa John Gideon Okello yule Rais wa Kwanza wa Zanzibar wapo Wapi?
Subiri Uhamiaji waje hapo.
View attachment 2155143View attachment 2155144
.40usd daily *80 containers=3200 usd *30days= (96,000 usd)
Kila mwezi anaingiza millioni mia mbili ishilini na mbili 222,000,000 Wow😿😿😿
.
Hapewi zote. Huwa anapewa between ten and twenty percent.
Sasa ipigi kila mwezi , na Kuna miezi wanakua na container zaidi ya mia mbili.
Nisalimie George Hassan