TAKUKURU na Uhamiaji, Mchunguzeni Jitendra Shechwat wa Kiwanda cha Pepsi(SBC LTD). Anatuhumiwa kwa Rushwa na Unyanyasaji

dubu

JF-Expert Member
Oct 18, 2011
3,496
3,461
Ndani ya Kampuni inayotengeza Vinywaji baridi vya Pepsi(SBC LTD). Kumekuwa na Ubaguzi, Unyanyasaji na Uonevu wa kila aina kutoka kwa Wenzetu wa India.

Hivyo tunaomba TAKUKURU, Uhamiaji na Wizara ya Kazi ilifnayie kazi.

Wafanyakazi Walishawahi kumuandikia Barua Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU lakini hakuna hatua zozote zilizochukuliwa.

Jitendra Shechwat Sign ndo analalamikiwa sana sababu anajihisi kwamba ana uwezo wa kifedha wa kufanya chochote na ni rafiki Mkubwa wa Watendaji Serikali.

Jitendra alifukuzwa nchini na Serikali mwaka jana 2021 baada ya vibali vyake vya kufanya kazi/kuishi kumalizika. Lakini baada ya Kifo Magufuli, Wakabadilisha mafile kiujanjaujanja ili asionekane muda wa kibali cha kazi uliiaha, akarudi mwaka huo huo na kupata kibali kingine kilichosainiwa na Waziri mwenye dhamana(Hii ndo ichunguzwe pia).

Nawashauri TAKUKURU waanze kumhoji Alex Ngwebe Foti Nyirenda sababu ndo mwenye ukaribu na Watendaji wa Serikali. Hata hawa Wageni wakiitwa wanamtuma yeye kesi inaisha.

Bwana Jitendra kama akifanikiwa kumaliza kibali chake cha kazi kwa sasa atakuwa amefanya kazi miaka 11 katika kazi ya procurement lakini anajiita general manager Planning.

Tangu amerudi amekuwa mnyanyasasi mkubwa kwa Wazawa hasa wafanyakazi wa Kitanzania kwa kushirikiana na mhindi mwenye asili ya Tanzania aitwae Sachin.

Pia amehamisha kazi zilizokuwa zikifanywa na kampuni za wazawa na kuzipeleka kwa kampuni ya kihindi (Ralcot)

Kampuni zilizonyang'anywa kazi ni MC Juro, Isumba Maritime, PMM ICD, DICD zote za Watanzania ambazo zilikuwa zinamikataba ya kazi.

Kazi zote wamepewa ICD moja tu ya HESU investment kwa kushirikiana na Ralcot.

Swali ni;

Kwanini Wageni wapewe kazi zinazoweza kifanywa na Watanzania?

Mtaani watu hawana ajira lakini Wageni kutoka India Wamejazana Viwandani kufanya kazi ambazo Watanzania wanaweza fanya.

Mwaka jana Gazeti la The Guardian walimhoji imekuaje yupo Nchini akadai yeye si Msemaji.
IMG-20220318-WA0014.jpg

Pia hii ni Barua Wafanyakazi Waliandikia TAKUKURU ambayo haikujibiwa wala kufanyiwa kazi
IMG-20220318-WA0013.jpg
IMG-20220318-WA0008.jpg


IMG-20220318-WA0015.jpg

Pia unaweza soma kwa kina wanaolalamikiwa hapa. Japo imeandikwa SIRI, hakuna Siri yoyote kwenye jambo Ovu, inatakiwa iwe wazi kila mtu aone.
IMG-20220318-WA0007.jpg
Screenshot_20220318-093438.png

Tunaomba Vyombo vya Serikali mfanyie kazi.

Ikibidi pitisheni Sensa kwenye haya Makampuni ya Kigeni tujue wapo wangapi na wanafanya nini.

Uhamiaji fanyeni kama Mlivyofanya CI GROUP.

Soma;

1). Serikali Yaombwa Kuingilia Kati Unyanyasaji Kiwanda cha SBC Tanzania, Uongozi Wagoma Kufafanua

2). Bomu la Kampuni ya Wahindi yaanikwa

3). Wafanyakazi CI-Group walipa faini ya Sh 52 milioni
 
Sema hawa “Chori chori” sometimes wanazingua sana, nishawahi fanya nao kazi kuna sense flani wanayo kuona kama we “blacks” are shits, ni vile tu serikali yetu inawapa kipaumbele kwa so called “uwekezaji” kuna uhitaji wa kuwachunguza na kuwafatilia kwa makini regardless wanatoa fursa nyingi za ajira hasa kwa vijana lakini kuna mambo mengi sana ya ajabu yanaendelea kwenye maofisi/viwanda vyao.



Let’s meet at the top, cheers 🍻
 
Ukifanya kaz kwa wahindi hata kutoboa kweny maisha inakuaga ngum kinoma hao makanjibai hawataki kuona hata umebadilisha shati, tunawatukuza ila huko kwao India wengi maisha yao mabovu tu wanaendesha Bajaj Kama sisi alafu wanakuja kutuvimbia huku mtu mweusi wanakuona kama siyo binadam
 
Jitendra alikuja nchini mnamo. 2012 baada ya kuondoka Vijay. Alipokuja alianza kufukuza wafanyakazi watatu nguli waliokua chini yake akishirikiana na George Hassan ili kujiweka vizuri katika ubadhirifu.
Kitendo Cha kampuni inayoingiza makontena mengi kuingia ubia na ICD tayari ni pesa nyingi kwa anayeingia mkataba kwa sababu ya storage. Anahakikisha makontena yana accrue storage then siku ya kuyatoa wanagawana storage ambayo si haba. Kontena moja ni dola 40 kwa siku..
Piga kwa kontena 80 zikae icd mwezi mzima kwa mzigo mmoja?
Pepsi wanaingiza kontena 2000 za sukari kila mwaka.
Kwanini mtu wa nje akae miaka 11 nchini? Jitendra hata ujuzi wowote wa kitisha kabla ya kuja Tanzania alikua anauza mafriji Fiji islands.
 
Ndani ya Kampuni inayotengeza Vinywaji baridi vya Pepsi(SBC LTD). Kumekuwa na Ubaguzi, Unyanyasaji na Uonevu wa kila aina kutoka kwa Wenzetu wa India.

Hivyo tunaomba TAKUKURU, Uhamiaji na Wizara ya Kazi ilifnayie kazi.

Wafanyakazi Walishawahi kumuandikia Barua Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU lakini hakuna hatua zozote zilizochukuliwa.

Jitendra Shechwat Sign ndo analalamikiwa sana sababu anajihisi kwamba ana uwezo wa kifedha wa kufanya chochote na ni rafiki Mkubwa wa Watendaji Serikali.

Jitendra alifukuzwa nchini na Serikali mwaka jana 2021 baada ya vibali vyake vya kufanya kazi/kuishi kumalizika. Lakini baada ya Kifo Magufuli, Wakabadilisha mafile kiujanjaujanja ili asionekane muda wa kibali cha kazi uliiaha, akarudi mwaka huo huo na kupata kibali kingine kilichosainiwa na Waziri mwenye dhamana(Hii ndo ichunguzwe pia).

Nawashauri TAKUKURU waanze kumhoji Alex Ngwebe Foti Nyirenda sababu ndo mwenye ukaribu na Watendaji wa Serikali. Hata hawa Wageni wakiitwa wanamtuma yeye kesi inaisha. Alex ni Mmalawi.

Bwana Jitendra kama akifanikiwa kumaliza kibali chake cha kazi kwa sasa atakuwa amefanya kazi miaka 11 katika kazi ya procurement lakini anajiita general manager Planning.

Tangu amerudi amekuwa mnyanyasasi mkubwa kwa Wazawa hasa wafanyakazi wa Kitanzania kwa kushirikiana na mhindi mwenye asili ya Tanzania aitwae Sachin.

Pia amehamisha kazi zilizokuwa zikifanywa na kampuni za wazawa na kuzipeleka kwa kampuni ya kihindi (Ralcot)

Kampuni zilizonyang'anywa kazi ni MC Juro, Isumba Maritime, PMM ICD, DICD zote za Watanzania ambazo zilikuwa zinamikataba ya kazi.

Kazi zote wamepewa ICD moja tu ya HESU investment kwa kushirikiana na Ralcot.

Swali ni;

Kwanini Wageni wapewe kazi zinazoweza kifanywa na Watanzania?

Mtaani watu hawana ajira lakini Wageni kutoka India Wamejazana Viwandani kufanya kazi ambazo Watanzania wanaweza fanya.

Mwaka jana Gazeti la The Guardian walimhoji imekuaje yupo Nchini akadai yeye si Msemaji.
View attachment 2154923
Pia hii ni Barua Wafanyakazi Waliandikia TAKUKURU ambayo haikujibiwa wala kufanyiwa kazi
View attachment 2154925View attachment 2154926

View attachment 2154929
Pia unaweza soma kwa kina wanaolalamikiwa hapa. Japo imeandikwa SIRI, hakuna Siri yoyote kwenye jambo Ovu, inatakiwa iwe wazi kila mtu aone.
View attachment 2154939View attachment 2154940
Tunaomba Vyombo vya Serikali mfanyie kazi.

Ikibidi pitisheni Sensa kwenye haya Makampuni ya Kigeni tujue wapo wangapi na wanafanya nini.

Uhamiaji fanyeni kama Mlivyofanya CI GROUP.

Soma;

1). Bomu la Kampuni ya Wahindi yaanikwa

2). Wafanyakazi CI-Group walipa faini ya Sh 52 milioni
"Alex ni mmalawi"! Naona tatizo lako ni ubaguzi, umeanza na mwingine na umemaliza na mwingine.
Sijui kama unajua kuwa baba yake Alex ndiye aliyepandisha bendera mlima Kilimanjaro usiku wa Uhuru na kabla ya kuingia jeshini miaka ya 50 alisoma Tabora Boys Secondary School. Nakushauri usiandike usichokijua mpaka uwe na uhakika.
 
Incomptent culture ni tatizo kubwa sana Tanzania, unaweza kuta malalamiko ya hawa wafanyakazi chanzo chake ni kubanwa kwa mirija ya wizi.....halafu takukuru hii tabia ya kupewa taarifa na kukaa kimya imekuwa tabia yao sugu hii inaonyesha pia wao pia sio comptent eneough kwa nafasi walizopewa

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
"Alex ni mmalawi"! Naona tatizo lako ni ubaguzi, umeanza na mwingine na umemaliza na mwingine.
Sijui kama unajua kuwa baba yake Alex ndiye aliyepandisha bendera mlima Kilimanjaro usiku wa Uhuru na kabla ya kuingia jeshini miaka ya 50 alisoma Tabora Boys Secondary School. Nakushauri usiandike usichokijua mpaka uwe na uhakika.
Wewe ndiye hujui kitu. Soma hata Historia ya Alexander alopandisha Bendera alizaliwa wapi? Na unajua huko likizo ya Malawi walienda kwa nani?

Nyirenda alizaliwa tarehe 2 Februari 1936 Karonga Malawi, wakati wazazi wake wakiwa katika likizo ndefu ya Krismasi kutoka Tanganyika.

Wewe unayemsema alishajifia. Usitishwe na majina.. Watanzania wangapi wana Uraia wa Marekani na Norway? Kama Alex rafiki yako Muulize Vizuri ana Uraia wa Wapi.

Wakina Kagame Kabila, Museveni na wengine wengi wamesoma Tanzania tena shule ulizozitaja na wamefanya kazi. Watoto wa John Gideon Okello yule Rais wa Kwanza wa Zanzibar wapo Wapi?

Subiri Uhamiaji waje hapo.
Screenshot_20220318-122454.png
Screenshot_20220318-122526.png
 
Ndani ya Kampuni inayotengeza Vinywaji baridi vya Pepsi(SBC LTD). Kumekuwa na Ubaguzi, Unyanyasaji na Uonevu wa kila aina kutoka kwa Wenzetu wa India.

Hivyo tunaomba TAKUKURU, Uhamiaji na Wizara ya Kazi ilifnayie kazi.

Wafanyakazi Walishawahi kumuandikia Barua Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU lakini hakuna hatua zozote zilizochukuliwa.

Jitendra Shechwat Sign ndo analalamikiwa sana sababu anajihisi kwamba ana uwezo wa kifedha wa kufanya chochote na ni rafiki Mkubwa wa Watendaji Serikali.

Jitendra alifukuzwa nchini na Serikali mwaka jana 2021 baada ya vibali vyake vya kufanya kazi/kuishi kumalizika. Lakini baada ya Kifo Magufuli, Wakabadilisha mafile kiujanjaujanja ili asionekane muda wa kibali cha kazi uliiaha, akarudi mwaka huo huo na kupata kibali kingine kilichosainiwa na Waziri mwenye dhamana(Hii ndo ichunguzwe pia).

Nawashauri TAKUKURU waanze kumhoji Alex Ngwebe Foti Nyirenda sababu ndo mwenye ukaribu na Watendaji wa Serikali. Hata hawa Wageni wakiitwa wanamtuma yeye kesi inaisha.

Bwana Jitendra kama akifanikiwa kumaliza kibali chake cha kazi kwa sasa atakuwa amefanya kazi miaka 11 katika kazi ya procurement lakini anajiita general manager Planning.

Tangu amerudi amekuwa mnyanyasasi mkubwa kwa Wazawa hasa wafanyakazi wa Kitanzania kwa kushirikiana na mhindi mwenye asili ya Tanzania aitwae Sachin.

Pia amehamisha kazi zilizokuwa zikifanywa na kampuni za wazawa na kuzipeleka kwa kampuni ya kihindi (Ralcot)

Kampuni zilizonyang'anywa kazi ni MC Juro, Isumba Maritime, PMM ICD, DICD zote za Watanzania ambazo zilikuwa zinamikataba ya kazi.

Kazi zote wamepewa ICD moja tu ya HESU investment kwa kushirikiana na Ralcot.

Swali ni;

Kwanini Wageni wapewe kazi zinazoweza kifanywa na Watanzania?

Mtaani watu hawana ajira lakini Wageni kutoka India Wamejazana Viwandani kufanya kazi ambazo Watanzania wanaweza fanya.

Mwaka jana Gazeti la The Guardian walimhoji imekuaje yupo Nchini akadai yeye si Msemaji.
View attachment 2154923
Pia hii ni Barua Wafanyakazi Waliandikia TAKUKURU ambayo haikujibiwa wala kufanyiwa kazi
View attachment 2154925View attachment 2154926

View attachment 2154929
Pia unaweza soma kwa kina wanaolalamikiwa hapa. Japo imeandikwa SIRI, hakuna Siri yoyote kwenye jambo Ovu, inatakiwa iwe wazi kila mtu aone.
View attachment 2154939View attachment 2154940
Tunaomba Vyombo vya Serikali mfanyie kazi.

Ikibidi pitisheni Sensa kwenye haya Makampuni ya Kigeni tujue wapo wangapi na wanafanya nini.

Uhamiaji fanyeni kama Mlivyofanya CI GROUP.

Soma;

1). Bomu la Kampuni ya Wahindi yaanikwa

2). Wafanyakazi CI-Group walipa faini ya Sh 52 milioni

Unazingua mwanangu! Mnshidwa nini kumvizia uko street mkampa vitasa? Vizia mtaani andaa wahuni wampe kichapo uvueni nguo piga picha mwambie akileta Kelele zinasambaa office yote
 
Incomptent culture ni tatizo kubwa sana Tanzania, unaweza kuta malalamiko ya hawa wafanyakazi chanzo chake ni kubanwa kwa mirija ya wizi.....halafu takukuru hii tabia ya kupewa taarifa na kukaa kimya imekuwa tabia yao sugu hii inaonyesha pia wao pia sio comptent eneough kwa nafasi walizopewa

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Kaka wengi wa expatriate wanaofanya kazi hapa nchini wana viburi ubaguzi na uonevu! Hayajakukuta ndo maana unasema unayoyasema…..Watanzania wengi sana wanaonewa na kunyanyasika sana sehemu za kazi. Serikali iliyotegemewa kuwatetea wazawa ndo kwanza ipo kimya na haichukui hatua. Kwa mfano hiyo barua si imepelekwa takukuru, then takukuru wajibu na kufafanua kama hizo tuhuma ni za uzushi..
 
Wewe ndiye hujui kitu. Soma hata Historia ya Alexander alopandisha Bendera alizaliwa wapi? Na unajua huko likizo ya Malawi walienda kwa nani?

Nyirenda alizaliwa tarehe 2 Februari 1936 Karonga Malawi, wakati wazazi wake wakiwa katika likizo ndefu ya Krismasi kutoka Tanganyika.

Wewe unayemsema alishajifia. Usitishwe na majina.. Watanzania wangapi wana Uraia wa Marekani na Norway? Kama Alex rafiki yako Muulize Vizuri ana Uraia wa Wapi.

Wakina Kagame Kabila, Museveni na wengine wengi wamesoma Tanzania tena shule ulizozitaja na wamefanya kazi. Watoto wa John Gideon Okello yule Rais wa Kwanza wa Zanzibar wapo Wapi?

Subiri Uhamiaji waje hapo.
View attachment 2155143View attachment 2155144
Sheria ya uhamiaji inasemaje kuhusu raia walioachwa na mwingereza siku ya Uhuru, na baba yake aliwezaje kuendelea jeshini baada ya Uhuru.
Unasumbuliwa na ukabila na ninaona hata Marehemu Karume ungehoji
 
Kaka wengi wa expatriate wanaofanya kazi hapa nchini wana viburi ubaguzi na uonevu! Hayajakukuta ndo maana unasema unayoyasema…..Watanzania wengi sana wanaonewa na kunyanyasika sana sehemu za kazi. Serikali iliyotegemewa kuwatetea wazawa ndo kwanza ipo kimya na haichukui hatua. Kwa mfano hiyo barua si imepelekwa takukuru, then takukuru wajibu na kufafanua kama hizo tuhuma ni za uzushi..
Nini wajibu wa vyama vya wafanyakazi sehemu za kazi, serikalini hakuna wazungu, waarabu hata wachina lakini malalamiko ni yaleyale ya kutolipwa stahiki zao au kuongezewa mishahara.
Ukianza kutaja kabila la mtu ujue kunatatizo kwako.
 
Back
Top Bottom