TAKUKURU; Lowassa Kawakosea nini?


Mkuu, sentensi yako ya pili ni vema isomeke: "Cha kushangaza mko BIASED" badala ya "Cha kushangaza mko BIAS". Vilevile, matumizi ya neno "nature" kwenye sentensi yako ya mwisho si sahihi, yanatoa picha nyingine kabisa ya uliyotarajia. Mwalimu Msonda
 
Wewe Lowassa unamhurumia kwa nini? Kwani Lowassa siyo fisadi? Kwani hajatoa Rushwa? Mbona yeye hajalalamika?
 
Mtoa mada ungeenda kuripoti takukuru juu ya uhalifu wake huo. Yaani unataka kuhalalisha hoja kwa kuhalalisha kosa (rushwa)?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…